Habari zenu,
Kwanza nianze kwa kusema kuwa sijatumwa wala sina chembe ya uanachama wa itikadi yeyote ya chama cha siasa,mimi ni Mtanzania halali ambaye nimeamua kwa dhati na mahaba kwa nchi yangu kukumbusha wananchi wenzangu.
NCHI HAIJIJENGI
Ipo nadharia moja kwa waliosoma DS vyuoni inasema...