Ndugu zangu,
Nadhani neno ‘deni’ si geni machoni mwetu. Ni moja ya kitu mashuhuri katika jamii zetu. Wingi wa neno deni ni ‘madeni.’ Binafsi mtu akiniuliza deni ni nini, nitamweleza kuwa; Deni ni shurti (jambo la lazima kufanya) analovikwa au kujivika kiumbe awe hai au mfu.
Ili twende sawa...