Hawa ni lile kundi ambalo mimi nimelichana hapa JF hivi karibuni, lina mambo ya hovyo sana. Hili kundi linachangishana pesa huku likitoa maneno ya kashfa kwa mkuu wetu. Nina wasiwasi wana lengo la kuzuia haki isitendeke.
Vyombo vya kisheria na vya kidola viwakamate, viwahoji na ikibidi...
Kuna mama mmoja anaitwa Aisha aliolewa na Mtanzania mwenye asili ya Kioman mwaka 1979 huyu Aisha aliwakuta watoto 4 kwa huyu mumewewakiwa na umri miaka 6 wengine miaka 5 yaani bado wadogo waliozaliwa kwa wanawake wengine walioachwa.
Huyu Aisha alipoolewa aliwalea watoto hao kama watoto wake na...
"Huyo Ruto hawezi saidia Nchi yetu, anahitaji kutuonyesha factory ata moja ambayo ametengeza. Amekuwa Deputy President miaka tisa sai lakini amefanya nini? Unaangalia mtu na Uongozi wake sio mdomo. Badala ya kumsaidia Rais Uhuru Kenyatta, kazi ni kutangatanga tu.
Gavana wa Kitui - Charity Ngilu.
"Kesho J3,asubuhi, nitaungana na Familia ya CHADEMA katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya kusikiliza hukumu ya kesi inayomkabili Mdude Nyagali, Mdude amepitia miaka 5 ya mateso na uonevu usio kifani.ataheshimishwa kwa kuisimamia Imani! Naamini haki itatendeka."-
@freemanmbowetz
Ni ukweli ulio wazi ya kua Nchi yetu pendwa Tanzania ilikuwa inadidimia kwa kasi katika ktk suala la haki za raia wake. Mathalani ilikuwa imekua vigumu kwa watu kupaza sauti zao hata katika mambo yaliyo wazi kabisa kama wananchi kunyanyaswa, wafanya biashara kuonewa, wafanyanyakazi kutoongezewa...
Wakuu Salaam,
Kama kichwa cha habari kinavyosema.
Niliwahi kuwa na rafiki yangu wa karibu sana,alikuwa sio mgonjwa au sikujua anaumwa. Tulikuwa tukikutana ana tabasamu zaidi ya mimi na muda wote alikuwa anafuraha mpaka mimi alikuwa ananishauri akiniona sina furaha.
Siku moja aliniambia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.