3 Lakini fahamu jambo hili: kwamba siku za mwisho kutakuwa na nyakati za taabu.
2 Maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda fedha, wenye kujisifu, wenye kiburi, watukanaji, wasiotii wazazi wao, wasio na shukrani, wasio na utakatifu;
3 wasio na ubinadamu, wasiopenda...