1) Wabunge 20 wataalamu waongezwe
Tofauti na wabunge wa majimbo.
- Hawa watakuwepo bungeni kuwakilisha taaluma au fani mojawapo muhimu katika maisha ya watanzania. Mifano ya fani hizo ni Elimu, Kilimo, Biashara, Uvuvi, Afya, mazingira, uwekezaji, utalii, michezo nk.
- Hawa hawatalipwa mshahara...