kupigana

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. B

    Bado kuna wanaopigana sababu ya mapenzi?

    Siku moja kuna jamaa, si rafiki yangu lakini tulikuwa tu afahamiana nae, amekuja na story kuwa alikuwa amevutiwa na msichana niliyekuwa natoka nae. Sikufahamu dhamira yake ila nilimjibu tu, "ongeza jitihada, unaweza kumpata"! Upande mmoja nawaza labda nilikosea, ningemwambia aache fikra zake kwa...
  2. Chikenpox

    Sijasikia popote Papa Francis aliposema waache kupigana, ameishia kuwaombea amani tu

    Nimekuzwa nikimfatilia baba mtakatifu DRC mpaka South Sudan sijaona au kusikia mahala popote aliposema waache kupigana Bali kuwaombea amani tu. Sasa sijui amani kama inaweza kupatikana kweli bila kuacha kupigana. Haya ma observation yangu msinitukane.
  3. J

    Serikali iwe makini, Urusi imekuja na mbinu hizi kuchukua vijana wa Kitanzania kwenda kupigana Ukraine

    Siku za karibuni nimekuwa nikiona matangazo mengine matandaoni ya kuwavutia vijana kwenda kusoma bure Urusi. Kabla ya vita hii inayoendelea sikuwahi kuona matangazo kama haya Sasa ukitazama kuna vijana kadhaa kutoka Afrika waliokuwa wanasoma huko wamefia vitani halafu wote walikuwa jela Hii...
  4. ASIWAJU

    Marekani kupigana vita na China 2025, Jenerali wa Marekani bw. Mike

    Jenerali wa jeshi la anga la Marekani Bw. Mike Minihan ameliandikia ujumbe jeshi la Marekani kuwa tayari kwa ajili ya kupambana na China mwaka 2025. Vyanzo vya habari: Swali kutoka kwa lieutenant katika jeshi la marekani hili hapa : Maswali yangu: 1. Ipi ni athari kubwa ya ujumbe wa jenerali...
  5. NetMaster

    Tukiachana na wachezaji Kapombe na Mwenda kupigana na kupangua vipapai, ni wachezaji gani wengine waliowahi kuhusika katika mazingira haya ?

    Ni uzi maalum kwa kumbukumbu Kwa vile sayansi haithibitishi kila kitu ikiwemo uchawi inakuwa ngumu kupata ushahidi ila wataalam wa mambo wanakwambia kwamba haya mambo ya kupigana vipapai yapo katika soka la bongo. Hadi sasa tumeweza shuhudia wachezaji hawa wawili Mwenda na Kapombe wakihusishwa...
  6. MK254

    Wafungwa waachiwa baada ya kupigana Ukraine, waombwa wasibake tena

    Baada ya Urusi kushindwa Ukraine, ilibidi watumie wafungwa, kundi la kwanza ambalo limerudi kutoka Ukraine limeachiwa huru ila kwa kuombwa wasibake wanawake... The first batch of Russian prisoners who were offered amnesty in return for fighting in Ukraine has been released, the head of Wagner...
  7. MK254

    Video: Wanajeshi wa Urusi wapokea kichapo kwa kugoma kwenda kupigana Ukraine

    Hawa ni walioponea kufa na kurudi Urusi, wamegoma hawarudi tena kwenye mapambano....
  8. Lady Whistledown

    Mamia ya Vijana wajitolea kupigana na Waasi wa M23

    Mamia ya vijana wameitikia wito wa Rais Felix Tshisekedi kujiunga na Jeshi katika vita dhidi ya waasi wa M23 ambao wanadhibiti maeneo makubwa karibu na Mji wa Goma baada ya mfululizo wa mashambulizi yaliyofanikiwa. Kundi la M23, ambalo liliundwa Miaka 10 iliyopita, linadai kutetea maslahi ya...
Back
Top Bottom