Polisi mkoani Dodoma nchini Tanzania limewakamata wahamiaji haramu tisa ambao ni raia wa Kenya kwa kosa la kuingia nchini kinyume cha sheria katika matukio mawili tofauti.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumamosi Februari 15, 2000, Kamanda wa polisi mkoani Dodoma, Gilles Muroto amesema...