kusaga

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. hnp

    Mashine inauzwa ya kusaga na kukoboa

    Habari wana JF! Mashine hii inauzwa na bado haijapata mteja bei yake ni Milioni 5 tu. Unapewa kila kitu ikiwemo; mzani wa kupima hadi kg 300, motor n.k. Haina tatizo lolote ni vile tu tajiri ameamua kubadili biashara. Ipo Dar Es Salaam, Gongo la Mboto-Majohe(Unaweza kuihamisha ukitaka). Mashine...
  2. jo nyaluke

    INAUZWA Watengenezaji na wauzaji wa mashine aina zote

    Tunatengeneza mashine za kusaga pamoja na kukuboa mahindi,pia mashine za chakula Cha kuku,mixer za udongo pamoja na mashine za kufyatulia matofali,nk,karbuni sana wateja wetu tunapatikana mabibo mwisho,wasililiana nasi kwa namba zifuatazo 0754043910, 0764753158
  3. Sky Eclat

    Dunia inakwenda kwa kasi sana, unaweza kusaga mahindi nyumbani bila kwenda mashine

    Wale wanaowekeza kwenye mashine za kusaga nafaka. Matumizi yatakua ni kusaga unga mwingi labda kwaajili ya taasisi au mikusanyiko ya watu. Kwa matumizi ya kawaida ya nyumbani unaweza kusaga unga wako nyumbani.
  4. J

    Jifunze na ufahamu kuhusu tatizo la kusaga meno (Bruxism)

    Tatizo la kusaga meno kwa kitabibu huitwa bruxism, hali hii inaweza kusababisha meno kuharibika na matatizo mengine ya kiafya kwenye kinywa yanaweza kutokea Kwanini Watu Husaga Meno? Hali hii husababishwa na vitu kama msongo wa mawazo, hasira na magonjwa ya usingizi Unawezaje kugundua ikiwa...
  5. codex4x

    Mashine Ya Kusaga na Kukoboa Inakodishwa

    Mashine Ipo Ruguruni (Vituo Viwili kutoka Mbezi Mwisho) Tunakodisha kwa laki 5 (Maongezi Yapo) kwa mwezi kwa mashine zote mbili na godown lake.
Back
Top Bottom