Habari wana JF!
Mashine hii inauzwa na bado haijapata mteja bei yake ni Milioni 5 tu. Unapewa kila kitu ikiwemo; mzani wa kupima hadi kg 300, motor n.k. Haina tatizo lolote ni vile tu tajiri ameamua kubadili biashara. Ipo Dar Es Salaam, Gongo la Mboto-Majohe(Unaweza kuihamisha ukitaka). Mashine...
Tunatengeneza mashine za kusaga pamoja na kukuboa mahindi,pia mashine za chakula Cha kuku,mixer za udongo pamoja na mashine za kufyatulia matofali,nk,karbuni sana wateja wetu tunapatikana mabibo mwisho,wasililiana nasi kwa namba zifuatazo 0754043910, 0764753158
Wale wanaowekeza kwenye mashine za kusaga nafaka. Matumizi yatakua ni kusaga unga mwingi labda kwaajili ya taasisi au mikusanyiko ya watu. Kwa matumizi ya kawaida ya nyumbani unaweza kusaga unga wako nyumbani.
Tatizo la kusaga meno kwa kitabibu huitwa bruxism, hali hii inaweza kusababisha meno kuharibika na matatizo mengine ya kiafya kwenye kinywa yanaweza kutokea
Kwanini Watu Husaga Meno?
Hali hii husababishwa na vitu kama msongo wa mawazo, hasira na magonjwa ya usingizi
Unawezaje kugundua ikiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.