kusahau

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Hii teua tengua teua ya Rais Samia iwe funzo kuwa ukiona Umeteuliwa usianze Kujisikia, kusahau ulikotoka na kudharau Watu

    Waandishi wa Habari wa Tanzania mkitaka Teuzi kwa Awamu hii ya Kulazimisha ya Sita ( wakati Kikatiba bado ni ya Tano iliyo katika Muhula wake wa Pili ) hakikisheni mnatoke BBC, Azam Media, IPP Media na TSN tu pekee. Kuna Msemaji Mmoja ( Bingwa wa Majungu ) Serikalini hakupenda Uteuzi wa Mtu na...
  2. I

    Hivi uwezekano wa Jaji wa kusahau yanayosemwa kila siku haupo?

    Kila siku jaji anaandika na kuweka mafaili lundo. Sasa nauliza tangu kesi ianze mpama leo bado anakumbuama tu aliandika nini na aliandika wapi? Je, nani wa kuhakikisha kwamaba manavyovisema vinaandikwa. Kama anavitupilia mbali mtajuaje! Kila siku mnaongea na shahidi anatoa ushahidi je Kama...
  3. S

    Je, kusahau ndoto uliyoota muda mfupi kabda ya kuamka huwa ni kawaida?

    Habari za Jumatatu wana JF Kwa ninavyoelewa ndoto zina maelezo tofauti kwa watu tofauti. Kuna fikra kadhaa lakini kubwa ni mbili Fikra(school of thought) ya kwanza wanasema ndoto ni matokeo ya mawazo yako au mambo unayoyafikiria sana au marudio ya vitu ambavyo ulishawahi kuvifanya zamani...
  4. K

    Nape Nnauye samehe na kusahau, mwache Hayati Magufuli apumzike

    Jana nilikuwa jimboni Mtama, sehemu ambayo mwakilishi wake kwenye bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Nape Moses Nnauye mwanasiasa kijana aliyewahi kuwa Mwenezi wa CCM na Waziri wakati fulani. Akiwa kwenye mikutano yake kwa wapiga kura wa Mtama, jioni ya jana ilikuwa zamu ya Nyangao...
  5. Mwamuzi wa Tanzania

    Kwanini watu hupigia kelele ushoga tu na kusahau makundi haya?

    Habari! Kuna makundi 2 kama si 3 yamesahaulika ingawa wanachokitenda hakina utofauti na ushoga. 1. Wanawake wenye tabia za kiume Hili kundi limekuwa kubwa sana na linakua kwa kasi. Vibinti vinavaa suruali, t-shirt, na nguo zingine za kiume. Hawa hata misibani hawakai kwa wanawake wenzao...
  6. marcoveratti

    Nawakumbusha tu maana binadamu tumeumbwa kusahau

    Team inayoongoza msimamo wa EPL ligi ni MANCHESTER UNITED Top Score anatokea MANCHESTER UNITED Top assists anatokea MANCHESTER UNITED Timu ilofunga magoal mengi ni MANCHESTER UNITED Team yenye hat trick mpaka asaivi ni MANCHESTER UNITED GLORY GLORY MAN UNITED...
Back
Top Bottom