kutengeneza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. husseinbrand

    Nataka kazi katika kampuni za kutengeneza katuni

    Jamani mimi najua kuchora ila nataka kupata kampuni ya kutengeneza katuni kwani napenda kuchora na kujifunza vingine.
  2. E

    Je naweza je kutengeneza Koni(Ice cream) bila machine kwaajili ya biashara?

    Wadau naomba mnielekeze namna naweza kutengeneza ice cream za koni bila kutumia machine
  3. King Evance programmer

    Nataka kutengeneza game la mpira like Dream league but litakuwa na wachezaji na commentary wa Tz

    Nimepata idea ya kutengeneza game la mpira ambalo litakuwa na leagues za tz tu na pia commentator atakuwa anaongea kiswahili na pia viwanja vitakuwa vya Tz.Je nauliza kama kuna sheria ambazo zitanibana kwa baadae maana ntatumia majina na sura za wachezaji halisi(original)
  4. E

    Nahitaji wataalamu wa coding watakaonisaidia kutengeneza application yangu na website

    Naweza kupata team ya developers?
  5. U

    Muhammad al-Jabari Kiongozi mkubwa wa magaidi wa Islamic Jihad anayeongoza kitengo cha kutengeneza silaha za maangamizi auawa leo asubuhi

    Wadau hamjamboni nyote? IDF yaendelea kutembeza kichapo kwa Viongozi wa magaidi Mashariki ya kati Muda mfupi uliopita gaidi mmoja anayehusuka na kitengo cha silaha na fedha za kikundi hatari cha Islamic jihad ameuawa kwa kombora la ndege. IDF inasema kwamba al-Jabari alikabidhiwa idara/...
  6. R

    Kuna Mtanzania amefanikiwa kutengeneza Metaverse?

    Nadhani ni kama mwaka mmoja sasa umepita kulikuwa na kijana alikuwa hewani kupitia redio mojawapo akasema yuko mbioni kutengeneza metaverse yake (virtual universe). Sijasikia lolote.
  7. W

    Wanawake wa Afrika walitumia Mitindo ya Nywele zao kutengeneza ramani za kutoroka Utumwani Miaka ya 1800

    Inawezekana umesikia mitindo mbalimbali ya nywele kama vile twende kilioni au kilimanjaro. Hiyo mitindo haikuja tu hivi hivi. Kuna Wanawake enzi za Utumwa huko walikuwa na akili za ajabu sana. Inadaiwa kuwa wapo waliotumia nywele zao kuwasiliana kwa siri au kwa mafumbo ili wasikamatwe na...
  8. Ok9

    Msaada wa kutengeneza picha zenye maneno

    Habari... Naomba namna ya kutengeneza picha kama hizi. Zenye hizo caption. Kwa simu au computer
  9. Foxhunters

    Naomba link ya LATRA niweze kutengeneza control number ya kulipia bajaji.

    Kichwa cha uzi kinajieleza.naomba kwa mwenye uelewa anisaidie
  10. Akali Trust

    Natafuta Mashine ya kutengeneza chapati 300 kwa saa

    Naomba msaada anayejua mashine ya kutengeneza chapati 200 kwa saa, anisaidie. Nimekuwa nikitumia chapat maker ila Haina uwezo huo, sasa natafuta ya kutengeneza chapati 300 kwa saa.
  11. Friedrich Nietzsche

    Natafuta anaeweza kutengeneza au wanapouza aina hii ya majiko

    Hii ni nusu oven https://youtube.com/shorts/Cq65cJXrEDc?si=OCHus-xjbSdVyx65
  12. Riskytaker

    Ni kwamba yutong wameacha kutengeneza bus za 3 by 2 seats

    Siku hizi bus zote ni 2 by 2 ukicheki gharama ya basi na abiria inayobeba inatia mashaka kuingia kwenye hii biashara. Let say bus inatoka Dar to Arusha 2#2 seat abiria 60 nauli 35,000 itachukua muda mrefu gar kurudisha pesa uliyonunulia na kupata faida.
  13. Roving Journalist

    Mariamu Sagini awaasa vijana wa kike kutengeneza nafasi za Uongozi

    Mjumbe wa Baraza Kuu UWT Taifa, Mariam Sagini amewataka vijana hasa wa kike kutengeneza historia nzuri maishani kwa kujaza nafasi za mbalimbali za uongozi hasa kadri zinavyojitokeza. Akizungumza na vijana kwenye Hafla ya Ufungaji wa Kambi la Umoja wa Vijana mkoani Katavi iliyofanyika katika...
  14. Mto Songwe

    Jeshi letu limetutenga Watanzania

    Jeshi letu limetutenga Watanzania. Napata mashaka kuamini kama hili ni jeshi la wananchi wa Tanzania ama laah. Sitaki kuamini kwamba katika jeshi zima hakuna hata mmoja mwenye akili na kuumizwa.
  15. K

    INAUZWA Nauza mashine yangu ya kutengeneza sabuni za miche

    Nauza mashine ya kutengeneza sabuni za miche iko complete na mixer ya lita 100 inafaaa kwa uwekezaji WA kiwanda kidogo.
  16. D

    Yanga kama wanataka kutengeneza Tanzania galacticals +?

    yanga kwa tetesi tu za wachezaji. ni kama wanataka kualibu mpira wetu sasa. mid field ( chama, aziz, Aucho, mudathir, pacome, max, ndemla, farid, sure boy, Mkude, ) defence ( bacca, job, yao yao, lomalisa, kibwana, gift, Nondo captain, + 2 new defenders ) forward ( mzize, guede, dube, mpole...
  17. PSEUDOPODIA

    Wanasayansi wameshindwa nini kutengeneza moyo bandia ili usaidiane na moyo halisia

    Huwa na waza sana, kwamba ili mtu awe hai ni lazima moyo uendelee kufanya kazi na kusuply damu maeneo yote ya mwili. Sasa wanasayansi wanashindwa vipi kutengenezea moyo bandia ili usaidiane na moyo halisi, ili itapofika muda moyo halisi umeshindwa kufanya kazi basi moyo bandia unaendelea...
  18. Frank Wanjiru

    Barbra: Watu wamelipwa fedha kutengeneza propaganda.

    "Propaganda zilizofadhiliwa zimefikia hatua ya kuchukiza sana kama vita za kisiasa. Kwani hatuwezi kuona kikamilifu nyuma ya hii Content rahisi iliyolipiwa ?! " ©️ Barbara Gonzalez CEO wa zamani wa Simba SC Via X
  19. SuperHb

    SoC04 Ujuzi mashuleni ili kutengeneza kizazi cha kujitegema na kufanya nchi kukua kiuchumi kwa haraka

    UTANGULIZI: Elimu-Ni chanzo Cha Cha kuondoa ujinga, na kufanya jamii na mtu mmoja mmoja kuwa na uelewa wa mambo mbalimbali, yakiwemo ya Kisiasa, Kiuchumi na Kiafya. UMUHIMU WA ELIMU I.Elimu inasaidia kuondoa ujinga II.Inasaidia Kujitambua kama binadamu iii. Inasaidia kuchochea maendeleo Kwa...
  20. uhurumoja

    Yanga inaweza kutengeneza milioni 600 kwa mwezi wa 6 na 7

    Endapo yanga watachagua team nzuri ya watu wakazungusha haya makombe mawili NBC na Crdb kuanzia dar hadi kigoma na Rukwa na kutoa offer ya Kila shabiki kupiga picha na kombe kwa sh.2000=1000 KILA kombe basi hakitakosa watu 300000 watakaotaka kupiga picha na makombe hayo kwa kiasi hicho
Back
Top Bottom