kutongoza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. B

    Kila ninayemtogoza ananikataa, nifanye nini?

    Mwenzenu na mwaka wa nne sasa hivi. Kila msichana ninayemfuata mimi hajawahi kunikubalia na wengine wananikataa kwa dharau sana halafu wasichana ninaowafuata ni wakawaida mno. Mwanzoni niliona kawaida ila sasa hivi naona kama ni tatizo. Naomba ushauri wenu.
  2. frenderPH

    Ulichukuliaje first rejection enzi hizo unajifunza kutongoza

    Woooozaaa inakuaje wadau habari zinakwendaje... Kama ilivyo ada nimekuja na mada mpya kwa wanaume yani kwamba uliichukuliaje ile first rejection kipindi unajifunza kumendea tunda la kati (kutongoza ) Okay kwa upande wangu nakumbuka ilikua 2009 hivi nilikuaga ndo nimeanza kubalehe mihemko ya...
  3. Balqior

    Ushauri: Wanaume tuache kutongoza, tuanze kununua wadada wanaojiuza barabarani

    Kwa hali ilivyo sasa kwenye ulimwengu wa mapenzi na mahusiano, wanaume wote tunajua ukweli ni kuwa sahivi mahusiano yamekuwa biashara, unamtongoza mdada leo, kesho anakuomba hela, usipompa mahusiano yanakufa, ukimpa hela mahusiano yanakua kama ofisi ya mikopo kila Wiki shida za hela haziishii...
  4. Ferruccio Lamborghini

    SMS zinatupunguzia wanaume pointi tatu muhimu

    Usiku kwenye daladala, saa ya simu yangu inaonyesha ni saa 4:47. Najilazamisha kuacha kusinzia, mara nasikia sauti za wanawake wawili wakizungumza viti vya nyuma yangu… stori zao zinanisaidia kukimbiza usingizi wangu. Nasikia mmoja anamwambia mwenzake; “basi wakati namalizia kuosha vyombo...
  5. Mwamuzi wa Tanzania

    Style mpya ya kutongoza yagundulika huko Ivory Coast. Mwanamke hachomoki

    Video inajieleza hapo chini. Haya madomo zege mshindwe nyie.
  6. never Se me

    Nimepoteza uwezo wa kutongoza nisaidiwe kabla sijawa domo zege

    Dunia imejawa na wanawake wazuri siku izi wanajiita pisi kali, bwana weeee mimi nimepoteza uwezo wakutongoza japo izo pisi kali zipo nyingi kama Mchele wa kyela mwezi wa 6 si unajua lazima ushuke bei kwa buku kapu linajaaa , Na kwambia ukweli wasingekuwapo dadapoa ningepewa umakamu mwenyekiti...
  7. E

    Ninaogopa kutongoza, nahofia kukataliwa

    .
  8. Da Vinci XV

    Mara yako ya kwanza kutongoza/kutongozwa ilikuwaje?

    Kila mtu ana Zamani yake. Zamani yenye kufarahisha na Kuleta kumbukumbu ya kujicheka mwenyewe samytimez. Miaka yetu tunabalehe, vijisimu vya goroka ndiyo vilikuwa vinachangamka, wale watoto wahuni tulikuwa tunavitumia kwa siri huku, wazazi wakipinga swala la mwanafunzi kumiliki simu. Mtu...
  9. Ben Zen Tarot

    Maneno mapya unayopaswa kuyatumia wakati wa kutongoza

    Ili uweze kumpata kirahisi mwanamke unayemtaka unatakiwa kujifunza mbinu mpya za kutongoza. Wengi wanashindwa kuwapata watoto wanaowapenda kwa sababu ya kutumia maneno ya kawaida au ambayo yamepitwa na wakati. Hivyo ili uweze kumpata mwanamke unayempenda kwa dhati basi unatakiwa kujifunza...
  10. Naanto Mushi

    Wanawake ambao ukikutana nao, hutakiwi kutongoza, ila ukimkuta wewe shika mkono muende zenu

    Hahahahaaa Yaani hizi type za hawa wanawake, wewe usijiangaishe kutongoza maana ni kama utakuwa unapoteza nguvu na maneno yako. Cha kufanya, endapo kama umekutana naye kwenye kona, wewe cha kufanya ni kushika mkono, mnapitia Condom kwa Mangi, huyoo mnatoboa mpaka geto. Ifuatayo ni list ya...
  11. Libya

    Jinsi ya kutongoza katika Zama hizi

    Usimtumie meseji za userious sanaa Kama vile, mambo?"habri ya usiku"? Umelala??? Umekula?? Una mpenzi?? Unasoma?? Unafanya kazi? Unaishi kwenu ??aumepanga??? wee mtoto wangapi?? Miaka yako??? N.k Hizi manzi huwa hazipendi maswali maswali ,kiuhalisia binadam hapendi maswali. Nakupa mbinu...
  12. J

    Umasikini ulivyonitenga na mpenzi wangu wa utotoni

    Kila nikikumbuka tukio hili moyo wangu huwa unabubujikwa na machozi mithili ya damu ya kuku anayejinjwa, sijui hata ni kwanini ila asikuambie mtu, umasikini mbaya sana! Nakumbuka miaka ya 1990s, baba yangu alipata bahati ya scholarship Marekani, chuo kimoja kinaitwa Yale. Hivyo ilimlazimu...
  13. Carleen

    Ila sisi wadada jamani...

    Nimeshindwa kuvumilia akii tena. Nitawasalimia tu hata kesho wapendwa wangu, Leo bwana nimejitokea zangu huko duniani kwenye mihangaiko, nikafika zangu kituoni, nikasubiri daladala ya ninakoelekea, ikaja nikapanda, Sasa tumepanda zetu kama watu kadhaa hivii, sina zangu hili wala lile, kulikuwa...
  14. KENZY

    Wa tatu naye kanikataa! Nakosea wapi ndugu zanguni?

    Habari zenu watu? Tukiachana na yule niliekuta kanisevu "KIBERENGE" nikapiga chini,nimeamua kusonga mbele japo bado nawasiliana nae kiaina ila hakomi kuacha kuniita hivyo akinitext tu utaona text "we kibe haujambo" inaniuma sana.. tuachane na hilo Kuna pisi moja kali niliiandikia barua...
  15. O

    Kwanini kila nikitongoza nakataliwa?

    Wanabodi, katika harakati zangu za kutafuta mwenzi nimekuwa nikikumbana na changamoto kuu ya KUKATALIWA NA KILA BINTI! Kila nikiandaa 'outing' na mabinti wengi wananikimbia na kwa wanaokubali 'outing' huwa wananipa Majibu mabaya yaani wananikatalia. Nimewahi kusikia mabinti hawanitaki eti nina...
Back
Top Bottom