Habarini wakuu,
Baada ya hii tozo mpya kwenye mitandao ya simu matarajio yangu wale wanawake wa tuma na ya kutolea watawahi kuchakata mbinu mpya ya kupata pesa ila naona kimya mpaka sasa.
Tu-assume mmeshindwa kubuni njia mpya au bado mpo katika mchakato?
Nawasilisha