TANZANIA inatarajiwa kujitangaza kimataifa kupitia Mkutano wa 28 (COP 28) wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi, utakaofanyika Dubai Umoja wa Falme za Kiarabu kuanzia Novemba 28 hadi 12 Disemba 2023.
-
Hayo yamesemwa leo Novemba 11, 2023 na Waziri wa...