Nilicho elewa ndege zetu Gharama yake ni Trilion 1.28 tu
Ukiigawanya hiyo pesa kwa Watanzania milioni 60
Trillion 1.28 ÷ milioni 60
1,280,000,000,000 ÷ 60,000,000 = 21333
Kila mtanzania atapata elfu 21.
Sasa kazi kwenu mziuze ndege zetu au mtafute bodi ya wakurugenzi yenye wataalamu wa...