1: Biblia sio kitabu cha kidini Sio kitabu cha kubishania, Ni maelezo ya Mungu mfalme aliyeumba sio tu dunia bali trillions za sayari zenye viumbe wasiohesabika. Hiyo lazima uyasome kwa adabu.
2: Usiende na ajenda yako mfukoni. Nenda kama mualikwa wa ikulu ya mbinguni kusikiliza hotuba na...
Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, David Concar akihojiwa kuhusu Uganda kupitisha sheria ya ushoga, amesema nafasi ya Uingereza juu ya haki za LGBT+ duniani iko wazi.
"Tunaunga mkono haki za makundi yote kutendewa kwa usawa na wasibaguliwe. Makundi yenye watu wachache ikiwemo jamii ya LGBT+...
NAIBU WAZIRI KIHENZILE: MIRADI ITEKELEZWE KWA KUZINGATIA MUDA NA THAMANI YA FEDHA
"Nawapongeza Mamlaka ya Viwanja vya Ndege kwa kuweka taa katika uwanja wa ndege wa Dodoma, uwanja huu kwa ripoti kutoka Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) inaonesha unashika nafasi ya 4 kwa kuhudumia abiria...
Kwa miaka ya sasa ni rahisi sana kuona mwalimu ana Masters/PhD lakini yupo tu anafundisha huko shuleni, ila mabosi wake wote wana Shahada. Huyu mwalimu mwenye Masters/PhD anaambulia kuhujumiwa tu na mabosi hao ili kumkatisha tamaa.
Mfano, anaweza akawa amepata mchongo mahali pengine kutokana na...
Hakikisha haya mambo yanakua Siri kwako;
1. Masuala ya mahusiano yako
Hii haikumaanisha kujua status kwamba umeoa au umeolewa,hii imelenga watu ambao wanapenda kuongelea masuala ya mausiano yao mfano mwanaume kutangaza madhaifu ya mke wako kwa watu
2. Hali yako ya kifedha
3. Matatizo ya familia...
'Chai'
Aisee hili neno linakata mdadi sana humu jamiiforums. Mtu ameamua kuleta kisa chake ambacho anaamini kwa uzoefu alioupitia anaweza kuwasaidia watu wengine kimtazamo na yeye binafsi kupata mawazo mapya maana kujifunza hakujawahi kuisha.
Binafsi mimi ni mpenzi sana wa simulizi hasa mikasa...
Mkurugenzi Mtendaji wa MOI Prof.Abel Makubi amefanya kikao cha kimkakati na watumishi wa kada za wahudumu wa afya na huduma kwa wateja na viongozi wao kwa lengo la kuboresha huduma kwa wateja wanaofika MOI kupata huduma.
Prof. Makubi amewapongeza wahudumu wa afya wa Taasisi ya MOI kwa kazi...
1. JIFUNZE KURIDHIKA.
Mchezo wa Kubashiri, ni moja katibya mchezo wenye matamanio na wenye mvuto mkubwa sasa, Sasa brothers, wawekezaji, Jifunze kuridhika kile ulichokipata Baada ya Kubet Usibet kwa Tamaa, Utapunwa nakuambia.
2. STAKE KIASI AMBACHO UNAUWEZO NACHO.
Usistake kiasi kikubwa for...
UTANGULIZI
Imetokea mara nyingi tumesikia Rais akiteua au kuchangua watu mbalimbali kushika nyadhifa serikalini au pengine watu kuitwa kwenye usaili wa kazi ili kuchambua na kupata wafanyakazi bora. Pamoja na ujuzi na uzoefu wa watu, ili kuteua au kupata wafanyakazi wenye weredi na ufanisi...
Wasalaam ndugu zangu,naamini mu wazima wa afya.
Leo nataka nilale nikiwa najua ni hatua gani kama mfugaji mdogo anatakiwa kuzijua pale tu anapokuwa na wazo la kuanza ufugaji Kwa mara ya kwanza.
Nahitaji mawazo yenu ndugu zangu Ili niwe Bora zaidi ya hapa nilipo
Ili wananchi waweze kuelewa vizuri Sheria mbalimbali nchini pamoja na vifungu vyake, kunatakiwa kuwe na mtiririko mzuri katika uandishi wake pamoja na matumizi ya lugha rahisi.
Wananchi wanapaswa kuwa na uwezo wa kuelewa sheria bila kuhitaji msaada wa kisheria au ufafanuzi wa ziada. Hii...
digital rights 2023
kuzingatia
lugha
lugha rahisi
msamiati
mtiririko bora
sheria
sheria ya ulinzi wa taarifa binafsi
tanzania
ulinzi wa taarifa binafsi
Ibara ya 5 - Haki za Kukuza, Kuendesha na kusimamia
(1) Nchi Wanachama wanakubaliana kwamba DPW itakuwa na haki pekee za kukuza, kusimamia na/au kuendesha Miradi kama ilivyoelezwa katika Kiambatisho 1 sehemu ya 1, moja kwa moja au kupitia Kampuni washirika chini ya Mkataba kama itakavyoainishwa...
Watu wengi tumekua tukikimbia barabarani nyakati za asubuhi. Hizi hapa faida na masuala ya kuzingatia:
1. Unapata faida ya jua la asubuhi ambalo wengi tunalikosa tukiwa katika pilika za kawaida.
2. Muhimu kuhakikisha unafanya warm-up ya kutosha kwa sababu asubuhi mwili unakua hauna mijongeo ya...
MBUNGE NORAH MZERU ASISITIZA UTUNZAJI WA MAZINGIRA NA USALAMA MAHALI PA KAZI KIWANDA CHA NGUO CHA MAZAVA MOROGORO
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Morogoro, Mhe. Norah Waziri Mzeru mnamo tarehe 05 Machi, 2023 amefanya ziara na kutembelea Kiwanda cha Uzalishaji Nguo cha Mazava kilichopo katika...
Unapoanza biashara, kuna mambo kadhaa muhimu ya kuzingatia ili kuongeza uwezekano wa mafanikio. Kuanzisha biashara ni hatua kubwa na yenye changamoto, lakini pia inaweza kuwa fursa nzuri ya kufanikiwa na kufikia malengo yako. Hapa kuna mambo muhimu ya kuzingatia wakati unapoanza biashara:
1...
Kabla hujataka awe na hisia na wewe zaidi. Kabla hujataka akupende zaidi.
Anza kwanza kumfanya awe na imani nawe. Ili aweze kujiachia kwako. Akishakuamini ni rahisi kukupenda zaidi, kukusamehe zaidi na kuwa na hisia nawe zaidi.
Hata kwenye mahusiano, endelea kujenga imani Mana haijalishi...
Serekali iruhusu uraia wa nchi mbili kwa sababu unafaida nyingi sana, ila usingatie vegezo vifuatavyo ambavyo vigeuzwe kuwa sheria
Ukiwa raia wa nchi mbili hutakiwi kugombea urais
Ukiwa raia wa nchi mbili hutakiwi kugombea ubunge, udiwani, na uenyekiti wa mtaa
Ukiwa raia wa nchi mbili hutakiwi...
MAKANDARASI WATAKIWA KUZINGATIA TAALUMA
Makandarasi wa ndani wametakiwa kutumia wataalam wenye sifa katika kutekeleza shughuli zao, ili kuifanya miradi inayotekelezwa kuwa na viwango na kudumu kwa muda mrefu kulingana na vigezo vilivyowekwa kwenye mikataba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.