lami

  1. K

    Mbezi mwisho-Bunju via Mbezi High School, lami inabaki kuwa kimini

    Nimeshangaa sana hii barabara kukosa tena kwenye bajeti ya mwaka ujao. Sasa lami itakuwa ikiyatoa mabasi stand yakapita mbezi high school kidogo lami inaishia hapo. Kwa kweli ni maajabu sana. Hivi kwa ubusy wa ile barabara kweli unaweza kuiacha kwa miaka kumi yote??! Kwa kweli nimeshangaa na...
  2. goroko77

    Mbuge Flatei Massay apiga sarakasi Bungeni kuonesha kulalamika kuhusu ahadi anazopewa kila mara bila kutekelezwa, afanya marejeo ya sauti za mawaziri

    Mbuge wa Mbulu ameoneshwa kukerwa hadi kuamua kupiga sarakasi bungeni bila kujali uwepo wa spika Ni sawa mmbuge kupiga sarakasi au mweleka kuonesha kukerwa na ahadi zizizo tekelezeka? === Kuruka sarakasi kwa mbunge Flatei ni jambo analotamani kulifanya mara nyingi, Mei 17, 2021 pia alipokuwa...
  3. Nyuki Mdogo

    Usagara mwanza: eneo sqm 4248 linauzwa. Linatazamana na barabara kuu ya Lami, Buhongwa-usagara

    Hello Jf Hili ni eneo lenye mita za mraba 4,248 limepimwa tayari beacon zipo Hati ipo, inasoma Biashara na Makazi Halina tatizo lolote. Unaweza Weka Biashara yoyote unayoona inafaa (KAMA KITUO CHA MAFUTA), YARD YA MAGARI ama ukajenga makazi BEI ELEKEZI NI 160 million Tshs. mpigie mwenye...
  4. Bushmamy

    Miundombinu ya Barabara viwango vya lami Vijijini zinasahaulika

    Ukweli ni kwamba maisha ya mjini yanategemea sana maisha ya watu wa vijijini, vijijini ndo kwenye lishe, utajiri na mali ghafi zote Muhimu kwa nchi nzima na hata nje ya nchi. : Lakini tatizo linakuja pale barabara za mjini tu ndo zinazingatiwa haswa katika uwekaji wa Lami lakini sehemu nyingi...
  5. Sky Eclat

    Hii picha ilipigwa 1910 mitaa ya Poplar East London. Wakati huo si barabara zote za London zilikua na lami

    Gari ya Council ilimwaga maji barabarani kupunguza vumbi. Ilikua siku za kiangazi na vijana walijipooza kwa maji.
  6. Bushmamy

    Arusha: Barabara ya muhimu kama hii inakosaje Lami?

    Hii barabara ni ya vumbi Inatokea Tengeru kupitia chuo cha mifugo kuelekea mbuguni. Barabara hii hiyo inapita katika taasisi ya Tari hot Tengeru. Na pia inapita katika chuo cha Maendeleo ya jamii (TICD) na chuo cha mifugo cha Tengeru,bila kusahau kuwa bara bara hii ndio inayopita katika chuo...
  7. Pdidy

    Manispaaa wekeni lami njia ya makaburi ya Ununio tusifukue makaburi

    Kwa ambaye ameenda Aprili akienda leo atashangaa makaburi ya Ununio yalivyoongezeka mji umepanu Kinondoni inasubiri sana yamepangika kwa heshima ukiwaza sana unaweza omba ubakie huko Kuna njia ya kuingilia makaburini opposite na Kanisa la Lutherani tunaomba Manispaa wekeni lami ile njia...
  8. Bushmamy

    Barabara ya Engosengiu Arusha inahitajika Lami, haipitiki

    Ni muda sasa wananchi wa kata ya Sinoni wanaotumia bara bara ya Engo wamekuwa wakilalamika ubovu wa barabara ya Engosengiu kutokea kipande cha makutano ya Reli, mjini hadi kwa mamalaizer kuelekea Nado, chakusikitisha hii ni moja ya bara bara ambayo ipo katika kata za mjini kabisa. Kipindi...
  9. CM 1774858

    Bajeti moja ya barabara ya Rais Samia inaweza kujenga mara mbili ya barabara zote za lami zilizojengwa kwa miaka mitano iliyopita

    Bajeti moja ya barabara,madaraja na viwanja vya ndege ya Rais Samia FY2021|22 inaweza kujenga mara mbili ya barabara zote za lami zilizojengwa kwa miaka mitano iliyopita, "Hakuna kama Samia " Kasi ya Rais Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea maendeleo endelevu Watanzania hawa masikini...
  10. J

    Wananchi wa Mwasonga wamtaka Ndugulile kufuatilia kilio cha barabara ya lami ya Kibada-Mwasonga

    WANANCHI WA MWASONGA WAMTAKA NDUGULILE KUFUATILIA KILIO CHA BARABARA YA LAMI YA KIBADA-MWASONGA Wakazi wa Mwasonga leo tarehe 2 Oktoba 2021 wamefanya kikao na Mbunge wa Kigamboni Mhe. Faustine Ndugulile (Mb) kwa lengo la kujadili changamoto mbalimbali za eneo hilo ikiwa ni pamoja na umeme...
  11. FRANCIS DA DON

    Je, ni kwanini barabara ya maji chumvi (Jeshini - Tabata Kimanga) haipigwi lami pamoja ya kuwa na umuhimu kupindukia?

    Tumeshuhudia vichochoro vingi huko Sinza na Kinondoni vikipigwa lami mwanzo mwisho, tena havina umuhimu wowote, maana vingi ni dead ends zinazoishia kwenye mageti ya watu. Sasa najiuliza, iweje barabara muhimu kama ile ya maji chumvi kuelekea Kimanga inayotumiwa na malaki ya raia wa T/Kimanga...
  12. Pdidy

    Prof. Mbarawa anza na Tanroads; lami ya Temboni-Kimara ni mawimbi tu

    Kwanza nikupongeze mzee wangu kwa uteuzi wako naamini Mungu hamtupi mja wake. Mwisho nimefurahi kuona umeanza kukimbizana na TANROADS kuhusu kiwango cha lami. Ukipata muda asubuhi nenda na vijana wa Tanroads mpaka kwa Musuguri geuzeni njoo Kimara hapa kati haya mawimbi ni aibu nilijaribu...
  13. N'yadikwa

    Wakazi wa Itumbi Chunya tunahitaji lami

    Migodi ya wachimbaji wadogo wa dhahabu Itumbi Chunya Mbeya ni mingi zaidi ya wachimbaji wadogo na kati 5000 tupo eneo hili, ila tuna changamoto kubwa ya kukosekana kwa barabara ya lami. Tafadhali serikali mtuwekee lami huku ili biashara yetu ya madini iwe rahisi. Tunazalisha sana madini huku...
  14. J

    Pemba waomba barabara inayoenda kwenye kaburi la maalim Seif iwekwe lami ili kuwapa wepesi maelfu ya watu wanaozuru kaburi kila siku

    Wananchi wa Pemba wameiomba SMZ iijenge kwa kiwango cha lami barabara iendayo kwenye kaburi la Maalim Seif kwani imeharibika sana hali inayopelekea magari kupakiwa umbali wa km 3 kutoka eneo la kaburi. Ombi hilo limetolewa mbele ya makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar mh Othman Masoud aliyezuru...
  15. mgt software

    Dkt. Ndugulile umetuachia Vodacom kuwa kibanda umiza? Haya sasa makabwela acha tusage lami

    Wana JF, Vodacom Kwa Sasa rasmi Kibanda umiza. Ukiacha hela kidogo Tu wanaanza kukwambia Asante Kwa kujiunga Sasa endelea kuchagua ili ushinde. Unaweza weka fedha kufungua kifurushi wataficha menu hhuku wakikuwekea fedha Za kiwango cha chini. Upati menu ulizoziona kabla ya kuweka fedha. Mfano...
  16. B

    Wito wangu kwa Serikali. Matuta yaondolewe na Barabara zilizopakwa Lami ziwekwe Lami

    Nimekuwa nikipigia sana kelele suala la kuwa na barabara ambazo zimepakwa lami na baadaye kuja wekewa matuta Serikali iziangalie. Ni mwaka wa tatu huu napata changamoto kila napowaza kununua gari za chini zenye speed. Ukiangalia barabara nyingi za hapa TZ ni kama barabara za lami.ila watu...
  17. Magari ya Biashara

    House4Sale Tunauza Nyumba aina mbalimbali kwa bei nafuu

    Nyumba ipo Mbezi beach upande wa chini Ina vyumba vitatu kimoja master Jiko, sebule, dinning na public toilet Ina eneo lenye ukubwa wa sqm 1000 Hati miliki mkononi Wahi sasa BEI ni milioni 200 Tu Mawasiliano 0677 818283 Mawasiliano 0677 818283 Mawasiliano 0677 818283 Mawasiliano 0677 818283...
  18. J

    Mkandarasi barabara ya Mwinjuma Mwananyamala mbona umeruhusu magari kupita na haujaweka lami?!

    Kutokea mwananyamala A hadi kona ya studio mkandarasi ametoa lami ya zamani kisha amefungulia barabara maisha yanaendelea. Ndio nauliza kwanini uliondoa ile lami ya zamani? Yaani umechimbachimba hadi vibarazani mwa nyumba za wenyeji halafu umejiondokea!!! Kwa mfano pale Komakoma kwa Makongoro...
  19. Superbug

    Nimelala katikati ya lami nisikanyagwe na semi. Ningekuwa chapati

    Nimetoka kuangalia mechi ya mtibwa na kmc nikawa navuka barabara hamaaadi semitrailer hii hapa Mimi nikiwa katikati ya lami . Walioniona wakapiga kelele na kufumba macho wakijua nimeshakanyagwa kumbe siku zangu bado nikajitupa haraka chini ya semi likapita juu yangu kuanzia kichwa mpaka kontena...
  20. aka2030

    Ujenzi wa 'Service Road' wakati barabara zingine hazina lami

    Kuna umuhimu gani wa kujenga serivice road kwa kiwango cha lami huki barabara nyingi jijini bado hazina lami. Mfano hii Sam Nujoma Road na Bagamoyo road hizi service road walizojenga si zingewezq kusaidia sehemu zingne zenye uhitaji wa barabara.
Back
Top Bottom