Joshua aliomba Mungu asimamishe jua, ingawa hakuwa na uelewa wa kisayansi kwamba ni dunia inayozunguka, siyo jua. Lakini pamoja na ufinyu wa uelewa wake, Mungu alijibu ombi lake, na usiku haukuingia hadi vita ilipoisha. Mungu alisimamisha dunia kwa muda ili kutimiza ahadi yake.
Hii ni nguvu ya...