Poleni kwa msiba....
The IDF Spokesperson's Unit confirmed that a fighter jet killed Hamas terrorist Hadi Mustafa on Wednesday. Mustafa was a key Hamas operative and significant in directing terror squads and promoting attacks against Israel.
Mustafa was killed while in a vehicle on Wednesday...
Lebanon wanaendelea kupokea adhabu kwa ajili ya Hezbollah...
Three civilians were killed in an Israeli strike on a residential building in the south Lebanon city of Nabatiyeh this evening, a Lebanese security source says.
“Three civilians dead in the Israeli strike, including two women,” a...
Israel imeendelea kupoteza ushindi baada ya askari wake kuuwawa sasa hivi katika mpaka wa Lebanon, Baada ya rocket kutupwakatika ardhi ya Israel na kuua vikosi vyake na mapambano bado ni makali sana siya rocket wala ya Drone hali ni tete sana! tazama sasa hivi Live Hapa Kichapo wanachopewa...
Wapiganaji wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon wameshambulia kwa makombora vituo na ngome za kijeshi za Israel kaskazini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu, na kusambaratisha mfumo wa kamera za usalama wa utawala huo haramu.
Kwa mujibu wa kanali ya televisheni ya al-Mayadeen, wanajihadi wa...
Hii ni baada ya Israel kudhihirisha wana uwezo wa kupiga popote, wana nia, uwezo na nguvu....na wanapiga.
==========
Most of Hamas's military leaders based in Beirut escaped the Lebanese capital due to fears of being targets of assassinations, KAN News reported Sunday night, citing a source...
Dunia iwazuie hawa mayahudi. Wameua yena Kamanda Mwandamizi (Senior Commander) wa Hezbollah huko Lebanon.
Jamaa wanapiga kila sehemu hawa Waisrael nashindwa waelewa. Wanaenda piga kuua maadui hadi nchi nyingine? Dunia inaangalia tu. Ni nini hiki jamani? Hali ni mbaya kwa sasa jamaa wameamua...
Israel bado wanaonya, ifahamike hawajafanya kitu Lebanon, hapa wanaendelea kuonya tu. Endeleeni kuwachokoza ila msije mkalalamika na kulia lia kama inavyotendeka Gaza.
=======
Israeli strike in Aita Shaab (AP)
The recent Israeli airstrikes in southern Lebanon have reignited memories of the...
Wanaukumbi.
BREAKING:
⚡ 🇱🇧Nasrallah, kiongozi wa Hizbullah:
SASA TUNAYO FURSA YA KIHISTORIA YA KUKOMBOA KILA INCHI YA ENEO LA LEBANE, PAMOJA NA ENEO LA MASHAMBA YA SHEBAA.
- Tuliwaua wanajeshi wengi wa Israeli, wakiwemo majenerali, lakini adui anaficha majeruhi wake.
-Idadi ya walemavu wa...
Waisrael wenzangu, lile Gaidi namba mbili la HAMAS lilokua mafichoni Nchini Lebanon , limeuliwa Leo Mara baada ya Ndege vita isokua na Rubani kuingia anga la Beirut Lebanon na Kuachilia kombora ambalo limemuacha Gaidi akiwa vipande vipande.
Sambamba naye, wameuliwa magaidi mengine Matano...
Mmoja ya waziri katika baraza la vita la Israel, Benny Gantz ameweka wazi kuwa muda wa majadiliano unakaribia kuisha na kwamba nchi yake itaingia kuipiga Lebanon yote iwapo Serikali ya nchi hiyo na dunia kwa ujumla watashindwa kuwaondoa wapiganaji wa Hizbulah kutoka mpakani kaskazini ya Israel...
Hali katika eneo la mpakani kusini mwa Lebanon inazidi kuwa tete, huku Israel ikishambulia kwa mabomu mji wa Bint Jbeil kwa mara ya kwanza tangu kuanza kwa vita kusini mwa Lebanon.
Kulingana na vyombo vya habari vya Lebanon, watu watatu waliuawa katika shambulio la bomu lililopiga makazi ya...
Hasan Bitmez alipata heart attack akiwa bungeni anatoa hotuba ya kuilaani Israel.
---
Turkish Health Minister Fahrettin Koca announces the death of lawmaker Hasan Bitmez, local media reports, two days after he collapsed in parliament, suffering a heart attack at the end of a livestreamed...
Israel imeshaonya Hezbolla, wakiendelea na uchokozi watasababisha huko walipo pia kufanywe shamba....
Three Lebanese soldiers were lightly injured Friday by Israeli shelling in southern Lebanon, medical sources said, while the Lebanese army reported no casualties in a second attack on a...
Kupumzika ni binguni ila kwa sasa ni mwendo wa kichapo, pia HAMAS waharakishe wanachokifanya, warejeshe maeka fasta ili turudi uwanjani.
Israeli forces are shelling targets in southern Lebanon, the Reuters news agency reports, citing state media.
There is no immediate comment from the Israel...
Kaimu waziri mkuu wa Lebanon, Najib Mikati hapo jana alifanya ziara ya kushtukiza kusini ya nchi yake na mpakani na Israel.Katika ziara hiyo aliambatana na kamanda mkuu wa majeshi ya nchi hiyo, Joseph Auon.
Katika ziara hiyo alikagua vikosi vya UNIFIL na kusema alifika eneo hilo pendwa la...
Lebanon ilikuwa na idadi kubwa ya Wakristo katika eneo la Mashariki ya Kati na ilipata mafanikio katika maendeleo na uchumi, ingawa haina utajiri wa mafuta na gesi. Ilikuwa inalinganishwa na Paris, lakini bahati mbaya ilikumbana na wimbi kubwa la wakimbizi kutoka Palestina wakati taifa la Israel...
Beirut– Prison conditions in Lebanon have dangerously deteriorated amid the country’s economic crisis, Human Rights Watch said today. Overcrowding has become the norm, health care is subpar, and the government’s failure to pay outstanding bills has endangered the food supply for the country’s...
Wananchi nchini Lebanon wameamka leo wakiwa na majira mawili ya nyakati yanayopingana, huku kukiwa na mzozo kati ya viongozi wa kisiasa na kidini kuhusu ni wakati gani saa zinapaswa kurudishwa ama kusogezwa mbele.
Waziri Mkuu wa Muda Najib Mikati alitangaza kuwa mabadiliko ya yataanza mwishoni...
Mohammad Ibrahim Bazzi ambaye amekua akifadhili magaidi ya Hezbollah, amekamatwa pamoja na utajiri wake wote..
========
ALebanese and Belgian citizen considered a key financier of Hezbollah has been arrested in Bucharest, Romania's capital, U.S. federal authorities said.
Mohammad Ibrahim...
Hivi Ulishawahi kujiuliza kwanini NCHI YA LEBANONI LEO KATIKA BENDERA YAO WANATUMIA NEMBO YA MWEREZI?
Basi Ni Kitabu kimoja tu kitakupa sababu ,Sio kingine Ni BIBLIA ,Hata Kama utanuna hakuna namna , Ni kupitia BIBLIA utaelezwa hata Mzizi wa neno ISRAELI.
Qurani itataja neno ISRAELI Lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.