lebanon

Lebanon ( (listen), Arabic: لُبْنَان‎ lubnān, Lebanese Arabic pronunciation: [lɪbˈneːn]), officially known as the Lebanese Republic, is an Arabic speaking country in the Middle-East, located in Western Asia. It is bordered by Syria to the north and east and Israel to the south, while Cyprus lies just west of it across the Mediterranean Sea. Lebanon's location at the crossroads of the Mediterranean Basin and the Arabian hinterland has contributed to its rich history and shaped a cultural identity of religious diversity. Lebanon is home to roughly 6 million people and covers a territory of just 10,452 km2 (4,036 mi2), making it among the smallest countries in Asia by land area. Arabic speakers comprise the majority of the country's population, while Arabic is the official language, and spoken Lebanese Arabic is used alongside Modern Standard Arabic in daily life.
The earliest evidence of civilization in Lebanon dates back over seven thousand years, predating recorded history. Lebanon was home to the Phoenicians, a maritime culture that flourished for almost three thousand years (c. 3200–539 BC). In 64 BC, the Roman Empire conquered the region, and it eventually became among the empire's leading centers of Christianity. The Mount Lebanon range saw the emergence of a monastic tradition known as the Maronite Church. As the Arab Muslims conquered the region, the Maronites held onto their religion and identity. However, a new religious group, the Druze, established themselves in Mount Lebanon as well, generating a religious divide that has lasted for centuries. During the Crusades, the Maronites re-established contact with the Roman Catholic Church and asserted their communion with Rome.
Lebanon was conquered by the Ottomans in the 16th century and remained under their rule for the next 400 years. Following the empire's collapse after World War I, the five provinces constituting modern Lebanon came under the French Mandate. Upon independence in 1943, Lebanon established a unique confessionalist form of government, with the major religious sects apportioned specific political powers. Lebanon initially enjoyed political and economic stability, which was shattered by the bloody Lebanese Civil War (1975–1990) between various political and sectarian factions. The war partially led to military occupations by Syria (1975 to 2005) and Israel (1985 to 2000).
Despite Lebanon's small size, Lebanese culture is renowned both in the Arab world and globally, powered by its large and influential diaspora. Prior to the civil war, the country enjoyed a diversified economy that included tourism, agriculture, commerce, and banking. Its financial power and stability through the 1950s and 1960s earned Lebanon the name of "Switzerland of the East", while its capital, Beirut, attracted so many tourists that it was known as "the Paris of the Middle East". Since the end of the war, there have been extensive efforts to revive the economy and rebuild national infrastructure. While still recovering from the political and economic effects of the conflict, Lebanon remains a cosmopolitan and developing country, with among the highest levels of Human Development Index and GDP per capita in the Arab world outside of the oil-rich economies of the Persian Gulf.Lebanon was a founding member of the United Nations in 1945 and is a member of the Arab League (1945), the Non-Aligned Movement (1961), Organisation of the Islamic Cooperation (1969), and the Organisation internationale de la francophonie (1973).

View More On Wikipedia.org
  1. Eli Cohen

    Iran imesababisha mauaji ya maelfu ya Wapalestina sasa hivi wamehamia Lebanon kuendeleza harakati zao za kitapeli.

    Ni mtoto labda ndio hajui kuwa hamas na hezbollah ni midori ya Iran. Iran atafanikisha lolote lile liendalo na utapeli wake hata kwa gharama ya damu ya watu wake wenyewe. Nini haswa madhumuni ya Iran, kufanikisha kupatikana haki kwa walebanon na wapalestina?????? Hapana madhumuni ya Iran...
  2. Webabu

    Muda huu Hizbullah yazichakaza airbases za Israel. China yasema ipo pamoja na Lebanon kujilinda

    Baada ya mashambulizi makubwa hapo jana yaliyofanywa Lebanon na jeshi La Israel kwenye maeneo IDF iliyosema ni zaidi ya 1300. Muda huu Hizbullah wanarusha mvua ya maroketi kuelekea vituo vya kijeshi vya Israel. Kwa mujibu wa matangazo hayo ya moja kwa moja makombora mawili kati ya hayo...
  3. Chachu Ombara

    Watoto 21 wuawa Lebanon katika mashambulio ya Israel huku idadi ya vifo ikifikia 274

    Mamlaka za Lebanon zimesasisha hivi punde kuwa idadi ya waliofariki kutokana na mashambulizi ya anga ya Israel leo imefikia watu takriban 274 sasa. 21 kati yao ni watoto, kulingana na wizara ya afya ya Lebanon. Watu wengine 1,024 wamejeruhiwa katika mashambulio hayo, wizara hiyo inaongeza...
  4. Beira Boy

    Hezbollah wanapigana kwa maslahi ya Nani? Mbona wanawaumiza raia wa Lebanon

    Amani iwe nanyi wapendwa katika BWANA Hawa Hezbollah hupigana kwa masilahi ya Nani Hamas hupigana kwa maslahi ya nchi yao ya Palestine na hawa Hezbollah kwa masilahi yapi na ya nani Mbona wanawaumiza walebanon Kwani Israel na Lebanon zina ugomvi Je, Hezbollah pale Lebanon ni akina nani je...
  5. escapee

    Israel yafanya shambulio baya nchini Lebanon na kuua zaidi ya 50, huku zaidi ya 300 wakijeruhiwa

    At least 50 people have been killed and more than 300 wounded by Israeli air strikes in Lebanon, the ministry of health said Monday. Also read >Wakazi wa Kusini mwa Lebanon wamepokea SMS zikiwataka kuhama kwenye nyumba zao Smoke billows over southern Lebanon following Israeli air attacks...
  6. U

    News alert baada ya Sabato kumalizika, Israel yaanzisha mashambulizi mapya muda huu yakilenga na kusambaratisha maeneo zaidi ya 180

    Wadau hamjamboni nyote? Myahudi hajapoa kama unadhani hivyo nikupe pole Mara tu baada ya Sabato ya kiyahudi kuisha IDF wamefanya mashambulizi mapya makali usiku huu yakilenga shabaha maeneo takribani 180 Taarifa kamili hapo chini New wave of strikes in Lebanon as Israel braces for potential...
  7. Webabu

    Ukiondoa ushabiki, basi shambulio la Israel la simu za mkononi nchini Lebanon ni shambulio lililofeli na la aibu sana

    Mashirika yote yaliyotajwa kuwa yalihusika na kutengeneza simu za mkononi za pagers na Walkie talkie zilizowaripukia watu nchini Lebanon wamekataa kuhusishwa na vifaa hivyo.Kila mmoja akitaja kuwa zilitengenezwa na mdau mwengine. Kikawaida Israel inapoona imepata mafanikio kwenye mashambulio...
  8. Shooter Again

    Lebanon inaenda kufutwa kama Gaza

    Katika kitu ambacho wavaa kobazi wanakiogopa ni kuwatajia jina la hii nchi ya Israel mtoa roho aisee hii nchi inatembeza vichapo vya mbwa Koko Kwa Hawa wavaa magauni sio poa baada ya kuifuta Gaza huyu myahudi sio mtu mzuri aisee anataka kuifutilia mbali Lebanon maana sio Kwa kichapo hichi...
  9. U

    Israel yashambulia Lebanon kwa ndege za kivita na makombora. Maghala ya silaha na vituo vya kurushia roketi zaidi ya 100 zalipuliwa

    Wadau hamjamboni nyote? Israel imetekeleza mashambulizi makubwa ya anga kusini mwa Lebanon, ikibainisha kuwa ndege zake za kivita zimepiga zaidi ya roketi 100 za Hezbollah na maeneo mengine ya "kigaidi," ikiwa ni pamoja na ghala la silaha. Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) limesema vizindua...
  10. P

    Lebanon: Baada ya jana kwa Pagers za Hezbollah kulipuliwa, leo Radio Calls zao zalipuka; Watu 14 waripotiwa kufariki

    Sauti za milipuko zimesikika katika maeneo ya kusini mwa Beirut ambako ni moja ya ngome kuu ya Hezbollah nchini Lebanon. Milipuko hiyo imetokana baada ya Radio Calls za wafuasi wa Hezbollah kulipuka ghafla Utakumbuka kuwa jana Pagers za Hezbollah zililipuka ghafla na kusababisha vifo vya watu...
  11. Yoda

    Inawezekanaje masoko ya Lebanon yenye matatizo mengi hivi yana tiles ila yetu hayana!

    Hii nchi ya Lebanon kila siku naisikia iko vitani na Waisraeli au migogoro ya siasa za ndani kwa ndani kati yao wenyewe ila nimeshangaa masoko yao yana tiles! Sisi tunashindwaje kuweka hata zege tu bila tiles kwa soko muhimu kama la Mabibo?? Masoko yote yalitakiwa yawekwe pavement blocks.
  12. Webabu

    Shambulio la kielektroniki (pagers) la Israel kwa Lebanon ni la uwoga na kuchanganyikiwa kivita

    Tumezoea matukio mengi ya mashambulio yanapofanywa na wapinzani wa nchi za magharibi huitwa ni mashambulio ya kiuoga.Mtu anaamua kujiripua sehemu fulani au kutumia silaha kushambulia adui hadharani lakini huwa inasemwa ni shambulio la woga tu. Kwa shambulio hili lililofanywa jana na Israel kwa...
  13. HIMARS

    Jeshi la israel kuiavamia Lebanon

    Baada ya mashambulizi yasiyokoma kutoka Lebanon kwenda Israel, siku ya jana Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu alikutana na maafisa wa kijeshi na usalama na kuja na uamuzi wa kuanza opereshenk nchini Israel. Siku ya leo jeshi la Israel limepeperusha vikaratasi vikiwasihi wananchi kuondoka...
  14. Webabu

    Yahya Sinwar aipongeza Lebanon kwa moyo wao wa upendo kwa wapalestina kwa njia ya kupigana na Israel

    Kiongozi mkuu wa Hamas,ndugu Yahya Sinwar ametoa pongezi kwa viongozi wa Hizbullah ya nchini Lebanon kutokana na kuwaunga mkono wapalestina kwa njia ya kuwashambulia Israel bila kuchoka. Pongezi hizo zilitumwa kwa njia ya barua na kuwekwa wazi na vyombo vya habari vya Lebanon ni jibu la barua...
  15. I

    Israel imefanya mashambulizi kadhaa ya anga kusini mwa Lebanon na kumuua kamanda wa kikosi maalum cha Hezbollah

    Israel imeanzisha mashambulizi kadhaa kusini mwa Lebanon katika siku ya mwisho, likiwemo lililomuua kamanda mkuu wa Hezbollah. Mohammed Qassem Al-Shaer, kamanda wa kikosi cha wasomi wa Hezbollah cha Radwan Force, aliuawa katika shambulio katika kijiji cha Qaraoun katika wilaya ya Beqaa...
  16. Ritz

    Video nyingine inaonyesha shambulio la ndege isiyo lna rubani ikitua Israel kutoka Lebanon

    Wanaukumbi. Video nyingine inaonyesha shambulio la ndege isiyo na rubani ya Hezbollah dhidi ya Israel. Jumla ya ndege 3 zisizo na rubani zilifikia lengo lao. Israel wanasema walizuia mashambuli kutoka Lebanon, Israel wamepiga marafuku waandishi wa habari kupiga picha maeneo yanayoshambulia...
  17. Mathanzua

    Israel assassinates another Iran official, then commences "Pre-emptive attacks" against Hezbollah in Lebanon

    ISRAEL ASSASSINATES ANOTHER IRAN OFFICIAL, THEN COMMENCES "PRE-EMPTIVE ATTACKS" AGAINST HEZBOLLAH IN LEBANON August 24, 2024 Israel has assassinated the head of Iran's KHASH (Intelligence) Agency, in front of his home in Iran, and then commenced "pre-emptive" attacks against Hezbollah in...
  18. U

    Breaking News Kiongozi Mkuu upinzani Lebanon ataka Hezbollah wapokonywe silaha kuepusha majanga zaidi, magaidi hawezi ishinda Israel

    Wadau hamjamboni nyote? Taarifa kutokea Lebanon Wenye nchi yao sasa wamecharuka wanataka Hezbollah wafurushwe nchini mwao na Serikali yao iwe na mamlaka kamili ya kutawala Kwa nchi yote ya Lebanon Madhara ya Hezbollah kuendesha shughuli zao ni makubwa sana hivyo ni wakati muafaka kikundi...
  19. U

    IDF yafanya shambulio la ndege zisizo na rubani Lebanon, Muhammad Najam Kamanda mwandamizi Hezbollah’s auawa

    Wadau hamjamboni nyote? Kazi nzito kuwasaka na kuwapeleka jehanam magaidi wa Hezbollah inaendelea kwa kasi kubwa Muda mfupi uliopita gaidi mwingine ameliwa kichwa na drone ya IDF akiwa kusini mwa Lebanon Jina la gaidi huyo MUHAMMAD NAJAM Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo: Soma Pia...
  20. Mlaleo

    Israel yalipua Ghala la Hezbollah Nchini Lebanon- Moto wa milipuko unaendelea kuwaka

    Explosions after an Israeli airstrike that reportedly targeted ‘Hezbollah weapons depot’ in Lebanon An Israeli strike on Monday evening targeted a Hezbollah arms depot in Lebanon's eastern Bekaa Valley, two security sources told Reuters. There were no immediate reports of casualties, the...
Back
Top Bottom