lebanon

Lebanon ( (listen), Arabic: لُبْنَان‎ lubnān, Lebanese Arabic pronunciation: [lɪbˈneːn]), officially known as the Lebanese Republic, is an Arabic speaking country in the Middle-East, located in Western Asia. It is bordered by Syria to the north and east and Israel to the south, while Cyprus lies just west of it across the Mediterranean Sea. Lebanon's location at the crossroads of the Mediterranean Basin and the Arabian hinterland has contributed to its rich history and shaped a cultural identity of religious diversity. Lebanon is home to roughly 6 million people and covers a territory of just 10,452 km2 (4,036 mi2), making it among the smallest countries in Asia by land area. Arabic speakers comprise the majority of the country's population, while Arabic is the official language, and spoken Lebanese Arabic is used alongside Modern Standard Arabic in daily life.
The earliest evidence of civilization in Lebanon dates back over seven thousand years, predating recorded history. Lebanon was home to the Phoenicians, a maritime culture that flourished for almost three thousand years (c. 3200–539 BC). In 64 BC, the Roman Empire conquered the region, and it eventually became among the empire's leading centers of Christianity. The Mount Lebanon range saw the emergence of a monastic tradition known as the Maronite Church. As the Arab Muslims conquered the region, the Maronites held onto their religion and identity. However, a new religious group, the Druze, established themselves in Mount Lebanon as well, generating a religious divide that has lasted for centuries. During the Crusades, the Maronites re-established contact with the Roman Catholic Church and asserted their communion with Rome.
Lebanon was conquered by the Ottomans in the 16th century and remained under their rule for the next 400 years. Following the empire's collapse after World War I, the five provinces constituting modern Lebanon came under the French Mandate. Upon independence in 1943, Lebanon established a unique confessionalist form of government, with the major religious sects apportioned specific political powers. Lebanon initially enjoyed political and economic stability, which was shattered by the bloody Lebanese Civil War (1975–1990) between various political and sectarian factions. The war partially led to military occupations by Syria (1975 to 2005) and Israel (1985 to 2000).
Despite Lebanon's small size, Lebanese culture is renowned both in the Arab world and globally, powered by its large and influential diaspora. Prior to the civil war, the country enjoyed a diversified economy that included tourism, agriculture, commerce, and banking. Its financial power and stability through the 1950s and 1960s earned Lebanon the name of "Switzerland of the East", while its capital, Beirut, attracted so many tourists that it was known as "the Paris of the Middle East". Since the end of the war, there have been extensive efforts to revive the economy and rebuild national infrastructure. While still recovering from the political and economic effects of the conflict, Lebanon remains a cosmopolitan and developing country, with among the highest levels of Human Development Index and GDP per capita in the Arab world outside of the oil-rich economies of the Persian Gulf.Lebanon was a founding member of the United Nations in 1945 and is a member of the Arab League (1945), the Non-Aligned Movement (1961), Organisation of the Islamic Cooperation (1969), and the Organisation internationale de la francophonie (1973).

View More On Wikipedia.org
  1. A

    Ujumbe wa Netanyahu kwenda kwa mamlaka ya Lebanon na watu wake

    Benjamin Netanyahu amewatahadharisha na kuwasihi raia wa Lebanon 🇱🇧 akiwaomba kushikamana na kutumia wakati huu kuiondosha Hezbollah, Netanyahu amesema kwamba kundi hilo la kigaidi limekuwa likifadhiliwa na Iran ili kulinda interests za Iran mashariki ya kati ikiwa ni pamoja na kuishambulia...
  2. B

    Naibu wa Nasrallah aihutubia dunia kuweka mustakabala wa vita Lebanon

    Bila shaka Natenyahu naye alikuwa mbele ya runinga: Kwa muda wote hadi sasa Israel imeshindwa kusonga mbele kusini mwa Lebanon. Uwezo wao uko pale pale, na mpambano kaskazini mwa Israel yamepanuka. Hawajachagua kiongozi na kwa wakati wao watamchagua. Kamwaga pongezi za kutosha kwa HAMAS...
  3. N'yadikwa

    Israeli yaendelea kukiwasha Lebanon licha ya onyo la Iran

    Jeshi la Israel limesema Jumanne hii limeanza operesheni za ardhini kusini-magharibi mwa Lebanon, likipanua uvamizi wake hadi eneo jipya ikiwa ni mwaka mmoja tangu IDF na Hizbollah waanzishe uhasama wa kubadilishana vichapo. The regional tensions triggered a year ago by Palestinian armed group...
  4. U

    IDF yaagiza wakazi kwenye vijiji na miji 25 Lebanon ya Kusini kuhama makazi yao mara moja kwa usalama wa familia zao

    Wadau hamjamboni nyote? IDF inaendelea na operesheni kubwa ya kijeshi nchini Lebanon Imeagiza wakazi kwenye vijiji na miji 25 huko Kusini mwa Lebanon kuondoka kwenye makazi yao kulinda Usalama wao. Magaidi ya Hezbollah mengi yamejificha maeneo hayo hivyo IDF inataka kuyashughulikia lakini pia...
  5. U

    Ndege hatari 100 za IDF zafanya mashambulizi makubwa na kusambaratisha maeneo 120 yaliyo ngome kuu za Hezbollah Lebanon kusini

    Wadau hamjamboni nyote? Siku ya leo Oktoba 7 ndege za Jeshi la IDF zaidi ya 100 zimefanya mashambuluzi makubwa zikilenga shabaha na kusambaratisha maeneo takribani 120 yaliyo ngome kuu za magaidi ya Hezbollah yaliyojichimbia Kusini mwa Lebanon Shambulizi hilo la hatari lilitumia takribani saa...
  6. U

    Kamanda Mkuu kikosi Cha Quds hajulikani alipo. Mara ya mwisho alikwenda Lebanon baada ya kifo cha Nasrallah

    Wadau hamjamboni nyote? Jenerali Esmail Qaani Kamanda Mkuu kikosi maalumu cha Jeshi la Iran cha Quds amepotea na hajulikani alipo Mara ya mwisho alitembelea Lebanon mara tu baada ya kuuawa Kwa Kiongozi Mkuu wa Hezbollah Hassan nasrallah Tokea wakati huo mawasiliano naye yamekatika! Taarifa...
  7. U

    Netanyau afanya ziara mpaka wa Lebanon, asema dunia imevutiwa na uwezo na uwezo wa kijeshi wa Israel

    Wadau hamjamboni nyote? Kumekucha. Waziri Mkuu Benjamin Netanyau atembelea mpaka wa Israel na Lebanon Asema ulimwengu wote umevutiwa na kushangazwa na uwezo mkubwa ulionyeshwa na IDF katika kuwashughulikia magaidi. Soma Pia: Jeshi la Israel IDF laanzisha mashambuluzi ya nguvu nchini Lebanon...
  8. Adolph Jr

    Nani anaiongoza Lebanon na Hezbollah ina nguvu gani?

    Lebanon imekuwa chini ya mashambulizi makali ya makombora kutoka kwa Israel katika muda wa wiki mbili zilizopita, ambayo yameua zaidi ya watu 1,000, na eneo lake limevamiwa na wanajeshi wa Israel. Hii ni kwa sababu ya mzozo wa sasa kati ya Israel na Hezbollah - chama cha kisiasa na wanamgambo...
  9. H

    Ndege ya kivita ya Iran imeingia Lebanon kupambana na Israel

    Leo ndege ya kivita ya Iran jet ya kivita imeonekana ikiwa imeingia katika nchi ya Lebanon kwaajili ya kuwapelekea silaha na kuisaidia Hezbollah dhidi ya Israel. Rada za Israel zimeinasa ndege hiyo ya kivita ya Iran kitu kilicho pelekea kuzuka Kwa tension kubwa kwamba iran ameanza rasmi...
  10. Ritz

    Israel imerejea kutoka kijiji cha Odaisseh nchini Lebanon kwa vifo MAJERUHI MAKUBWA baada ya wavamizi hao kukutana na jibu kali la Hezbollah

    Wanaukumbi. BREAKING: Israel imerejea kutoka kijiji cha Odaisseh nchini Lebanon kwa vifo MAJERUHI MAKUBWA baada ya wavamizi hao kukutana na jibu kali la Hezbollah. https://x.com/iriran_military/status/1842370522643886275?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw UP DATE….. ========================...
  11. MK254

    Wananchi zaidi ya milioni moja wa Lebanon wafanywa wakimbizi, Israel inaendelea kudondosha makombora

    Mliimba akbar akbar kila mara pale magaidi wa waislamu, Hezbollah walipochokoza Israel, mkaambiwa msitishe maana mkijibiwa msije mkalia, sasa imekua kilio Lebanon, watu milioni moja wakimbia makwao, na isisahaulike humo Lebanon kulikua wakimbizi wengi sana waliotoroka Syria wakitegemea Lebanon...
  12. ITR

    Wanajeshi wa Israel wanakabiliwa na shubiri huko Lebanon

    Wanajeshi wa Israel wanakabiliwa na shubiri chungu sana kwenye uvamizi wao huko nchini Lebanon. Hapo kwenye video ni kikosi maalum cha makomando cha Israel kilicho angamizwa na wapiganaji wa Hizbullah.
  13. green rajab

    Urusi imewataka raia wake wote waondoke mara moja Israel

    Benyamin Netanyaho sasa amelikoroga kagusa pumbu za Putin ngoja akutane na figisu za Red Army BREAKING: 🇷🇺🇮🇱 Russia has just ordered its citizens to immediately leave Israel after Israeli airstrikes attacked the vicinity of Russia's Khmeimim base in Syria. In light of the extremely tense...
  14. enzo1988

    Myahudi anachapika huko Lebanon! Askari wanazidi kufa huko! Alikurupuka?

    Inaonekana jamaa wa Hezbollah walijipanga zaidi ardhini kuliko angani! Leo na jana wayahudi wamepokea sana kichapo! Halafu hawaongei wanawaacha wayahudi wenyewe waongee! Ukiona wamagharibi wanaripoti jua hali ni mbaya sana! Seven more Israeli soldiers killed in Lebanon, says military Seven...
  15. enzo1988

    Je, uzoefu siyo tatizo kwa wayahudi huko vitani? Angalia umri wa huyu kamanda aliyeuawa huko Lebanon.

    Kuna kamanda ameuawa na Hezbollah huko Lebanon, ukiangalia umri wake halafu ndiyo kiongozi, napata shida kidogo! Wajuzi wa vita tupeni elimu! Israeli commander killed in Lebanon, Israel says The Israeli military says an army squad commander has been killed in Lebanon. It's the first combat...
  16. H

    Breaking news, wanajeshi 30 wa Israel WAMEUWAWA leo Huko Lebanon

    Wanajeshi 30 wa Israel WAMEUWAWA leo Huko Lebanon kufuatia shambulizi la kushtukiza yaani ambush lililofanywa na Hezbollah, Hezbollah waliwavamia wanajeshi wa Israel ghafla na kuanza mashambulizi ya kurushiana RISASI kitu kilichopelekea kuuwawa Kwa wanajeshi hao, Israel Bado haijatoa taarifa...
  17. Waufukweni

    Israel yathibitisha kifo cha mwanajeshi wake wa kwanza tangu uvamizi wa Lebanon

    Mwanajeshi wa kwanza wa Israel amethibitishwa kuuawa ndani ya Lebanon tangu uvamizi wa ardhini kuanza. Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) lilitangaza katika taarifa kwamba Kapteni Eitan Yitzhak Oster, 22, aliuawa ndani ya Lebanon siku ya Jumatano. Kijana huyo mwenye umri wa miaka 22 alikuwa katika...
  18. M

    Baada ya kuzima mashambulizi ya Irani Israel imeendelea na mshambulizi huko Lebanon

    CNN, wanarepoti kuwa Israel imeendelea kufanya mashambulizi makali ya anga usiku wa kuamkia Leo. Haya yanajili baada ya jana Iran kufanya mashambulizi kama sehemu ya onyo kwa Israel kuacha kuendelea kushambulia Lebanon na Gaza na kuua viongozi wa ngazi za juu wa vikundi hivyo. Source: CNN
  19. U

    Kamanda Mkuu kitengo cha kusafirisha silaha kutoka Iran kwenda Lebanon cha unit 4,400 auawa shambulizi la ndege za IDF

    Wadau hamjamboni nyote? IDF yaua Kamanda mwingine mwandamizi wa Hezbollah aendaye kwa jina la Jafar Qasir. Aliongoza kitengo maalumu almaarufu unit 4,400 kilichopewa jukumu la kusafirisha silaha kutoka Iran kwenda Lebanon. Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo: . October 01, 2024 at 16:36...
  20. Eli Cohen

    Vipi hali ya mahusiano kati ya Umbwe na Lyamungo? maana kipindi hicho tunasoma tulitambiana sana hadi kufanyiana vurugu

    Wazawa wa pale wana kuambia eneo lile kuna laana athari ya vita ya wa kibosho na wa machame. Damu ilimwagika sana, infact hata mimi niliwahi kuonesha mahala walipokowa wanatupia miili ya victims wa vita kati ya Wakibosho na Wamachame miaka hio ya zamani. Sasa shule ya umbwe ipo jamii ya...
Back
Top Bottom