libya

Libya ( (listen); Arabic: ليبيا‎, romanized: Lībiyā), officially the State of Libya, is a country in the Maghreb region in North Africa, bordered by the Mediterranean Sea to the north, Egypt to the east, Sudan to the southeast, Chad to the south, Niger to the southwest, Algeria to the west, and Tunisia to the northwest. The sovereign state is made of three historical regions: Tripolitania, Fezzan and Cyrenaica. With an area of almost 1.8 million square kilometres (700,000 sq mi), Libya is the fourth largest country in Africa, and is the 16th largest country in the world. Libya has the 10th-largest proven oil reserves of any country in the world. The largest city and capital, Tripoli, is located in western Libya and contains over one million of Libya's six million people. The second-largest city is Benghazi, which is located in eastern Libya. The Latin name Libya is based on the name the region west of the Nile (Λιβύη) used by the Ancient Greeks and Romans for all of North Africa, and was first adopted during the Italian colonization since 1911.
Libya has been inhabited by Berbers since the late Bronze Age. The Phoenicians established trading posts in western Libya, and ancient Greek colonists established city-states in eastern Libya. Libya was variously ruled by Carthaginians, Persians, Egyptians and Greeks before becoming a part of the Roman Empire. Libya was an early centre of Christianity. After the fall of the Western Roman Empire, the area of Libya was mostly occupied by the Vandals until the 7th century, when invasions brought Islam to the region. In the 16th century, the Spanish Empire and the Knights of St John occupied Tripoli, until Ottoman rule began in 1551. Libya was involved in the Barbary Wars of the 18th and 19th centuries. Ottoman rule continued until the Italian occupation of Libya resulted in the establishment of two colonies, Italian Tripolitania and Italian Cyrenaica (1911–1934), until they were unified in the Italian Libya colony from 1934 to 1947. During the Second World War, Libya was an important area of warfare in the North African Campaign. The Italian population then went into decline.
Libya became independent as a kingdom in 1951. A military coup in 1969 overthrew King Idris I. The "bloodless" coup leader Muammar Gaddafi ruled the country from 1969 and the Libyan Cultural Revolution in 1973 until he was overthrown and killed in the 2011 Libyan Civil War. Two authorities initially claimed to govern Libya: the Council of Deputies in Tobruk and the 2014 General National Congress (GNC) in Tripoli, which considered itself the continuation of the General National Congress, elected in 2012. After UN-led peace talks between the Tobruk and Tripoli governments, a unified interim UN-backed Government of National Accord was established in 2015, and the GNC disbanded to support it. Parts of Libya remain outside either government's control, with various Islamist, rebel and tribal militias administering some areas. As of July 2017, talks are still ongoing between the GNA and the Tobruk-based authorities to end the strife and unify the divided establishments of the state, including the Libyan National Army and the Central Bank of Libya.Libya is a member of the United Nations (since 1955), the Non-Aligned Movement, the Arab League, the OIC and OPEC. The country's official religion is Islam, with 96.6% of the Libyan population being Sunni Muslims.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Baada ya mabwawa ya Libya kupasuka na kuua watu zaidi ya 11,000, je bwawa gani chakavu litafuatia?

    Gumzo kubwa linaloendelea ulimwenguni baada ya mafuriko ya maji Libya baada ya mabwawa mawili kupasuka, kwa sababu ya uchakavu na kutofanyiwa maintenance na uborejashi. Je, hili linaweza kutokea kwetu Tanzania, tukijua kuwa tuna mabwawa ya muda mrefu sana kama Kidatu na Hale? Ni wakati fika...
  2. Mafuriko ya Libya: Nini chanzo chake, na kwanini hali ni mbaya sana?

    Mafuriko makubwa yamesababisha vifo vya maelfu ya watu katika mji wa Derna, mashariki mwa Libya, na kusomba baharini vitongoji na wakazi wengi huku maelfu ya watu wakiwa hawajulikani walipo. Chanzo cha mafuriko Baada ya kuzipiga nchi nyingine za Mediterania, Dhoruba kali inayofahamika kwa jina...
  3. Watu 20,000 wafariki kwa mafuriko Libya

    Nimeona hii video sehemu https://youtu.be/w8_VVgoy5B8?si=nLe2iq-MmbJ7hU30 --- The mayor of the eastern Libya port city of Derna estimates between 18,000 and 20,000 people have died in the catastrophic flooding. Abdulmenam Al-Ghaithi told al-Arabiya TV his estimate was based on the number of...
  4. Libya Mafuta Lita 1 Tsh. 78 tu, Ndio Nchi yenye Bei ndogo ya Mafuta Afrika, licha ya hali mbaya ya Usalama

    Wakati Watanzania wakipambana na Bei kubwa za Mafuta yenye Wastani wa Bei kati ya 3,000 hadi 3,500 kwa Lita moja, Nchi ya Libya licha ya kuwa na changamoto za Kiusalama bado ndio Nchi yenye bei ndogo ya Mafuta Afrika na ya 3 Duniani. Kwa upande wa Afrika Mashariki, Nchi ya Jamhuri ya...
  5. M

    Rais Museveni aeleza jinsi NATO ilivyowapiga mkwara marais wa Africa wasiende Libya kutafuta suluhu kipindi cha vita ya Libya

    Akihutubia bunge la Pan Africa miaka kadhaa iliyopita Museveni ameeleza kuwa, umoja wa nchi za Africa uliunda kamati ya usuluhishi ya marais kadhaa wa Africa kwenda kutafuta Suluhu huko Libya lakini NATO ikawaambie wageuze hakuna kuingia Libya. Hii video ilikuwa ni kama imefichwa hivi kwa miaka...
  6. Tanzania yaichapa Libya 9-3, Yatwaa Medali za Shaba (Bronze) kwenye Michuano ya Soka la Ufukweni

    Timu ya Tanzania ya Beach Soccer imepata Medali ya Bronze baada ya kufanikiwa kuwachapa Libya Magoli 9-3. Morocco imetwaa Ubingwa baada ya kutoka Sare ya 3-3 dhidi ya Senegal, mchezo ulioishia kwenye Matuta ambapo Morocco imeibuka na ushindi wa Magoli 4-3. Mgawanyo wa Zawadi umekuwa kama...
  7. The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

    Habari za kuaminika zinadai kuwa Kiongozi Mkuu wa Libya Muammar Gaddafi amekalia kuti kavu, habari zinasema kuwa hali iliyofikia hairudi tena nyuma, nae atakurupushwa na kung'olewa kama shina la muhogo, kuna brigedi za kijeshi ambazo tayari zimeungana na wananchi, wazalendo wanasema wamefikia...
  8. Libya: Abiria 55 wafariki baada ya boti kuzama

    Boti hiyo iliyokuwa imebeba wahamiaji wakielekea Barani Ulaya imezama katika Pwani ya Libya ilikuwa na abiria 60. Watu watano wamesalimika akiwemo mtoto raia wa Syria, huku Wanausalama wakiwa na kazi ya kuopoa miwili kutoka kwenye bahari. Libya imekuwa ikitumika kama njia kuvuka kwenda Ulaya...
  9. Hivi inawezekana Tanzania kuwa na Maisha kama ya Libya kipindi cha Muammar Gadafi

  10. UPDATE: Uranium ilipotea Libya yapatikana katika Mpaka wake na Chad

    Vikosi vya Kijeshi mashariki mwa Libya vinasema kuwa wamepata takriban tani 2.5 za madini ya Uranium, karibu mwa mpaka wa Nchi hiyo na Chad, ambayo yaliripotiwa kupotea na Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki - Mnamo Machi 16, 2023, Shirika hilo lilitoa tangazo la tahadhari baada ya...
  11. Libya: Wahamiaji 73 hawajulikani walipo baada ya boti kuzama

    Inadaiwa watu hao wanaweza kuwa wamefariki baada ya kupata ajali katika Pwani ya Libya, Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji (IOM) limeeleza ni watu saba pekee ndio waliofanikiwa kujiokoa katika tukio hilo lakini hali zao za kiafya ni mbaya. Vikosi vya Msalaba Mwekundu na Polisi vimefanikiwa...
  12. M

    Raia wa Iran wanakaribia kuingizwa mkenge na mabeberu wa magharibi kama walivyofanyiwa raia wa Libya

    Kitendo cha wachezaji wa timu ya Taifa ya Iran kugomea kuimba wimbo wao wa Taifa eti wakiunga mkono maandamano yanayoendelea nchini Iran kupinga serikali ya Iran na sera yake ya stara kwa wanawake. Hiki ni kitendo cha usaliti na ukosaji wa uzalendo wa hali ya juu mno! Wananchi wa Iran wanaelekea...
  13. B

    Taifa stars yachapwa 2-1 na Libya jijini Benghazi

    27 September 2022 Benghazi, Libya Live Broadcast match Libya vs Tanzania FINAL SCORE LIBYA 2 - 1 TANZANIA Head Coach Honour Janza na kocha msaidizi Mecky Mexime Aishi Manula Abdallah Mfuko Dickson Job David Gilbert Ulomi Shomari Kibwana Himid Mao Reliants Lusajo Muzamiri Yassin Sospeter...
  14. USHUHUDA: JINSI EU, US NA NATO WALIVYO SABABISHA MAJANGA LIBYA

    Ifike mahala sasa lazima tuelewe jinsi nchi za magharibi zilivyo wanafiki na wauaji wakubwa katika dunia hii. Wengi walishuhudia jinsi nchi za magharibi na miungano yao ikishiriki kuhatarisha amani ya dunia. Lakini wengi wa watu duniani wako gizani kuhusiana na hilo. Wakati maharamia yakivamia...
  15. Libya: Umoja wa Mataifa watoa wito wa kusitishwa mapigano

    Wito umetolewa kusitishwa mara moja kwa mapigano makali yanayohusisha makundi mawili ya Kisiasa yanayowania kuchukua Utawala wa Serikali katika mji mkuu wa Tripoli. Taarifa ya Umoja wa Mataifa iliyoungwa mkono na Balozi wa Marekani nchini Libya, Richard Norland imesema kuwa mapigano hayo...
  16. Libya: Mapigano ya kudhibiti Serikali yasababisha vifo 23

    Wizara ya Afya imesema mapigano kati ya Wanamgambo wanaoungwa mkono na Serikali zinazopingana, yamesababisha vifo vya takriban watu 23 na wengine zaidi ya 80 kujeruhiwa Makundi hasimu yalipambana ndani ya mji mkuu wa Libya, #Tripoli, katika mapigano ya udhibiti wa serikali yaliyotajwa kuwa...
  17. Libya bado ni nchi tajiri, tuache propaganda ( hizo hapo ni latest statistics)

  18. Maandamano makubwa yaendelea Libya, vijana waingia mtaani

    Kuongezeka kwa bei ya bidhaa na kuendelea kwa migogoro ya kisiasa imetajwa kuwa sababu ya wakazi wa Libya hasa vijana kudai kuwa wanaendelea na maandamano katika Mji Mkuu wa Tripoli hata baada ya kuandamana usiku kucha. Maandamano ya hivi karibuni yameshuhudia matairi yakichomwa moto na...
  19. Libya: Waandamanaji wadaiwa kuchoma sehemu ya jengo la Bunge

    Waandamanaji wamevamia Bunge la Nchi hiyo ikidaiwa wamechoma moto sehemu ya jengo hilo. Maandamano yamekuwa yakifanyika katika Miji mbalimbali ya Libya kupinga ukatikaji umeme, ongezeko la bei na mkwamo wa kisiasa Libya imekuwa katika machafuko tangu mwaka 2011 baada ya Muammar Gaddafi...
  20. Miili ya watu 20 yakutwa katika Jangwa Nchini Libya

    Miili ya watu 20 imepatikana katika Jangwa Nchini Libya, ambapo waliookota miili hiyo wanaamini marehemu walipoteza maisha kwa kiu. Dereva wa lori ambaye alikuwa akipita jangwani hapo ndiye aliyeanza kuiona miili hiyo ikiwa kilometa 320 kutoka Mji wa Kufra na Kilometa 120 kutoka mpaka wa Chad...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…