life

  1. Kijakazi

    Viongozi wengi wa Tanzania hawajawahi kufanikiwa chochote maishani, hata tu ufaulu wa mitihani

    Tanzania haifati meritocracy, hivyo viongozi wengi kuanzia chini mpaka Juu hawajawahi achieve chochote maishani ukiachia labda kuoa na kuanzisha familia, hilo nalo unaweza kulijadili pia kama hata kwenye Familia wamefanikiwa. Ukingalia nchi nyingi utaona viongozi wanafika juu kwa merit, unaweza...
  2. M

    If you want your life to be meaningful you have to do two things

    Unsplash Take the time to ask your heart and think about what you want. It varies from person to person, and perhaps this is something we shouldn’t go to the bottom of. We come into the world irregularly, and no one emerges as the times require. Due to different life experiences, each has its...
  3. MALCOM LUMUMBA

    Friday banger: Weekend ndiyo inaanza hivi asee (music is life)

    Wakati mfumuko wa bei ukiendelea kutuchapa kuna mengi pia ya kufurahia kwenye haya maisha.... Leo naanza weekend mapema kabisa, nikila ngoma moja ya hatari sana..... Aliyesema msemo MUSIC IS LIFE hakukosea kabisa.....
  4. Pascal Mayalla

    Wakili Pasco-A True Story of My Life: Nilitamani kuwa Wakili sababu ya Wakili Murtaza Lakha, sasa ni Wakili. Je, nitakuwa kama Lakha? Part III-Final

    Wanabodi, Mwendelezo Kwa wasomaji wapya this is a true story of my life, nilitamani kuwa wakili kwa sababu ya Wakili Murtaza Lakha toka mwaka 1976, hatimaye sasa nimekuwa wakili, jee nitakuwa kama Lakha?. Wiki iliyopita, tuliishia Baba Mzee Andrew Mayalla ni miongoni mwa washtakiwa wa Kesi ya...
  5. Natafuta Ajira

    Life is not cool for everyone

    Wakubwa shikamooni, vijana wenzangu mambo vipi? Madogo hamjambo? Twende moja kwa moja kwenye topic, ktk maisha yetu kuna marafiki zetu ambao tuliachana nao tukiwa shule na hatujaonana kwa kipindi kirefu, kama unavyojuwa maisha hayamnyokei kila mtu kuna wengine tuliendelea na masomo wengine...
  6. Pascal Mayalla

    Wakili Pasco Mayalla -A True Story of My Life: Nilitamani kuwa Wakili sababu ya Wakili Murtaza Lakha, sasa ni Wakili. Je, nitakuwa kama Lakha? Part II

    Wanabodi, Nipashe ya leo, Story Inaendelea... Kwa Wasomaji wapya, hii ni stori ya safari yangu ya ndoto ya kuwa wakili, iliyonichukua iliyoanzia Mwanza mwaka 1976 takriban miaka 45 iliyopita, hatimaye nimekuwa wakili mwaka huu, hivyo kujiuliza jee sasa, bado naweza kuwa kama Wakili Murtaza...
  7. Stroke

    Rais Samia this will haunt you for the rest of your life

    Kuwahamisha wamasai toka ardhi yao ya kurithi inaweza kuwa amri rahisi kabisa uliyowahi kuitoa ila jambo hili limeumiza wengi na litakuhusu kwa kipindi chako chote. Napenda nikuambie kwamba hili hukufanya sawa. Umekosea.
  8. Architect E.M

    What is the purpose of life? Kwanini tunaishi?

    Natumaini hamjambo waheshimiwa. Nimetafakari kwa muda mrefu sana, nini hasa maana ya maisha na kwanini tunaishi? Maisha hayako fair kabisa, wako watu wasio na hatia wala ubaya, wenye roho nzuri kupitiliza na wameishia kufa katika umri mdogo tena vifo vya kikatili mno. Wapo watu wenye roho...
  9. Donnie Charlie

    No situation is permanent in life

  10. Shaycas

    CAS LIFE PURPOSE ACADEMY

    Hongera kwa kazi nzuri kuelimisha jamii kupitia makala za kuelimisha na kusisimua. Umekuwa unatumia platforms kadhaa kufikia wasomaji wengi kadiri uwezavyo, ni jambo jema. Vipi, umewahi kufikiria kutumia platform hii inayopatikana hapa www.calipa.co.tz? Hii platform/system ambayo ni "App na Web...
  11. Balqior

    Private life ya mzee Mengi: Kumbe alikuwa anahonga wadada wengi wa mjini maelfu ya Dola za Kimarekani

    Nimeona video ya dokii YouTube alipelekwa na mzee Mengi hadi south Afrika kusomeshwa akapewa na u$d 8500 (tshs million 17) ya ada na matumizi achilia $2000(tshs milioni 4) au $4000(tshs milioni 8) zingine alizopewa kabla ya kupewa ada, baada ya kupewa izo hela dokii alisema mzee mengi alimsahau...
  12. Skylar

    Special thread: Missing someone with special memories in your life

    As humans, we naturally connect to people and build bonds and relationships over time. We can miss people for a multitude of reasons, but one thing is for sure, once that emotion arises, it can be hard to shake it. When you miss someone there's no denying that raw emotion. You can't get it out...
  13. GokuOne

    Some Ugly Truths of Life

    1. Not all relationships will lead to marriage, some will help you discover new restaurants. 2. It’s not selfish to make your happiness your main priority. 3. Stay away from “still” people. Still broke, still complaining, still hating, still nowhere. 4. Anything that costs you your mental...
  14. Masokotz

    Fahamu Kuhusu Biashara ya Software na Programming

    Habari za wakati huu, Tujo katika karne ya 21 tukiwa tunaelekea kumaliza robo ya kwanza ya karne hii.Wakati karne hii inaanza kwa waliokuwepo tunakumbuka kamsemo maarufu kaliitwa Y2K najua kuna ambao mnakumbuka stori za mwisho wa dunia, kibwetere na kirusi cha Y2K na vinginevyo. Anyway Y2K sasa...
  15. I am Groot

    Fishes & Marine life special thread.

    Feng shoi au horn flower ni kati ya samaki bora kabisa kati ya waliochaguliwa kutengeneza mazingira ya furaha na kuvutia katika mazingira ya nyumbani. Kwa afya bora. Samaki huyu ana aminika kuleta bahati.
  16. M

    Single women, tell us how it feels Without a man in your life

    A man went to social media to ask women how they life was as single women. The responses were interesting. Nomadlozi Ramagoshi responded: "Very lonely, especially on weekends. Every woma n needs a man in her life". Zizo stated: "For a woman as clingy as me you will cuddle yourself to...
  17. Mohamed Said

    Sal Davis: My life with Sidney Poitier

    SAL DAVIS: MY LIFE WITH SIDNEY POITIER (From ''The Autobiography of Sal Davis,'' with Mohamed Said). ‘’I liked school for the fun of it, being with my friends and all that but not for serious studies. Three schools expelled me for truancy – Goan, Aga Khan and Arab Primary schools. These were...
  18. sky soldier

    Party animals: Jiji lipi lina night life amazing na usalama kwenye nchi zinazotuzunguka

    Nchi zinazotuzunguka - Kenya, Uganda, Rwanda, Congo, Zambia, Malawi, Mozambique. Wengine tukisafiri nje basi nightlife huwa inapewa uzito sana. Tukifika kwenye miji ya watu huwa tunapenda kufanya upopo. Unatoka club A unaingia club B, Totoz kama zote zinamulika. Ukija kucheki muda unakuta...
  19. GENTAMYCINE

    Kwanini Watangazaji wengi wa Redio na Runinga Tanzania wanapenda kuishi 'Fake Life' tofauti na wale 'Wagumu Asilia' wa Magazeti?

    Na hata ukiwachunguza tu wa Redio na Runinga wengi wao ndiyo wanaongoza kwa Kupenda 'Kulelewa' na 'Mijimama', Wana Tamaa za Kipopoma ( Kipumbavu ), Wanafiki, Waongo, Wala Rushwa na wapenda Michongo sana, Wafitini na Wadangaji wengi utawakuta huko na hata ukitafuta 'walioathirika' na Gitaa pendwa...
Back
Top Bottom