2240 SQM
Title deed: 99 Years
Alongside Ali Hassan Mwinyi Road
Topographical map available for serious buyers
Property is unique for Apartments, Business complex, Hotel.
Asking price: $2 Million (negotiable)
Call/WhatsApp 0788893364
Eneo lina ukubwa wa 1200 Sq Meter
Huduma zote muhimu zipo, ni jirani kabisa na stand ya SGR DODOMA.
Eneo ni la kwangu binafsi, sio dalali.
15,000,000 (Milion kumi na tano), maongezi yapo.
0719928661
Habari za wakati huu ndugu zangu najua wengi mmesikia kuhusu kilimo cha miti ya mitiki hekari moja inaweza kukuingizia zaidi ya milion 300 kwa hekari moja kwa miti iliyokomaa.
sasa basi lipo shamba lenye hekari 6 lenye miti zaidi ya 1700
lililopo tanga korogwe lenye miti ya miaka 12 mpka 14...
Eneo lenye Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Tabata Bima, Dar es salaam.
Mahali: Mtaa wa Mbiu.
Sifa za Nyumba:
*Iko mita chache kutoka barabara ya kuelekea Tabata kimanga.
*Ina Vyumba viwili vya kulala, chumba kimoja ni master, sebule na jiko.
*Ina nafasi kubwa nje.
*Ina fremu mbili nje...
Ebhana watu wa JF nawasalimu kwa Heshima ya Jamhuri ya muungano wa Taifa letu
Nina biashara nahitaji kuuza hili kabati langu la vioo, Na nimelipenda sana ila dah kuna madogo wawili wamekuwa position nyumbani sasa ni watundu balaa na mm nahofia watavunja maana wao sasahivi wanashinda room...
Eneo linauzwa, Lina nyumba 3 ndani yake.
Mahali: Tegeta Namanga, Mtaa wa Kibera.
Eneo Liko mita chache kutoka barabara ya Bagamoyo.
Ukubwa: SQM 1204.
Nyaraka: Ina Hatimiliki.
Bei: Milioni 300. Mazungumzo yanaruhusiwa.
Gharama ya kwenda kuona Eneo itahusika.
Mawasiliano:
0784 829565
0767...
Eneo linauzwa Makumbusho.
Mahali: Mtaa wa Samoyaz, Nyuma ya Mwanga Tower.
Sifa za Eneo:
Liko mita chache kutoka barabara ya Bagamoyo (New bagamoyo road).
Liko barabara ya kuelekea kituo cha Daladala Makumbusho.
Linafaa kwa matumizi yote, biashara au makazi.
Ukubwa wa Eneo: SQM 988.
Nyaraka...
ENEO ZURI, TAMBARARE LINAUZWA
UKUBWA: 7,021 square meters, sawa na 1.735 acres).
MAHALI: Kata ya Manchali, Wilaya ya Chamwino, Dodoma. Eneo lipo kando ya barabara kuu ya Dodoma - DSM. Ni umbali wa 20km kutoka Chamwino Ikulu, 38km kutoka Kituo Kikuu cha Mabasi Dodoma.
DIRECTION LINK...
Zipo NI heka sita
-Kila heka bei NI M1.2
-Linafaa Kwa mazao yote ya ukanda wa njombe
-Linamaji ya misimu wote
Unapanda parachichi,viazi,mahindi,maharage na mazao mengine yote yanayoota ukanda wa njombe
Usafiri unafika adi shambani
Na pia ukitaka pia heka Moja Moja na kata
Eneo linauzwa lipo Goba njia nne barabara ya kuelekea Madale lina faa sana kwa ajili ya kujenga sheli ya mafuta au Kujenga maduka makubwa.
Eneo lina ukubwa wa sqm 4800 na ndani ya eneo kuna nyumba 1 imejengwa na fremu 2 za biashara
Bei yake ni Tsh 500 mil
Kwa mawasiliano zaidi piga 0656077998
Habari, Shamba linauzwa eneo la Ismani mkoa wa Iringa, ukanda huu sehemu nzuri sana kwa uwekezaji wa mifugo, maeneo haya mifugo inazaliana sana na kukua kwa haraka ukilinganisha na kanda zingine hasa zenye baridi. Ukanda huu una joto hivyo mifugo haikubwi na milipuko ya magonjwa. Ukihitaji...
Habari, Shamba linauzwa eneo la Ismani mkoa wa Iringa, ukanda huu sehemu nzuri sana kwa uwekezaji wa mifugo, maeneo haya mifugo inazaliana sana na kukua kwa haraka ukilinganisha na kanda zingine hasa zenye baridi. Ukanda huu una joto hivyo mifugo haikubwi na milipuko ya magonjwa. Ukihitaji...
Duka la dawa Muhimu DLDM LINAUZWA mwenye nalo, anaondoka Tabora
bei ya kutupa million 3 tu pamoja na dawa
Bei haipungui
Duka
Lina kabati 2 nyuma
Kila moja futi 8 kimo 4 upana
Kabati 1 mbele futi 5 kimo 4 upana
Pembeni pia partition 3 vioo urefu wa 4×3
Duka Lina lesseni ya biashara ina expire...
Habari,
Kwa niaba ya ndugu yangu, wanauza eneo la shamba kubwa kwa uwekezaji wa kilimo.
1) Wapi? Ngalanga, njombe vijijini
2) Ukubwa? Ekari 100+
3) Umbali toka barabara kuu: 5km
4) Hali yake: halijalimwa mda kidogo
5) Bei?...600k kwa ekari 1 na linauzwa lote kwa pamoja sio kwa ekari moja...
Shamba linauzwa hakuna udalali lipo DODOMA kata ya chihanga Lina ukubwa wa heka 4 linafaa kwa kilimo cha umwagiliaji na ufugaji. Wasiliana nami 0658090695 bei kwa kila heka ni million 3
Eneo linauzwa lipo kisemvule lenye ukubwa wa square meter 1200,
Eneo lipo na msingi wa nyumba ya sitting room, kitchen, vyumba viwili kimoja ni master room pamoja na public toilet
Eneo lipo karibu na barabara na huduma za kijamii zinapatikana
💲Bei ni million 10.5
📞Mawasiliano
Calls and sms...
Eneo linauzwa lipo kisemvule-kibamba lenye ukubwa wa square meter 1200.
Eneo lipo na msingi wa nyumba ya sitting room, kitchen, vyumba viwili kimoja ni master room pamoja na public toilet.
Eneo lipo karibu na barabara na huduma za kijamii zinapatikana.
💲Bei ni million 10.5
📞Mawasiliano
Calls...
Kwema wakuu kuna shamba linauzwa, lipo moshi karibu na nyumba ya Mungu, linafaa kulima vitu mbali mbali. Lina ukubwa wa hekari 24, bei ni 80m.
Karibu Dm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.