linauzwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Unasemeje

    House4Sale Boma linauzwa Manispaa ya Mtwara - Naliendele

    Boma linauzwa, limefikia hatua ya kufunga lanter, lina vyumba 3 vya kulala ambapo viwili ni self, kimoja ni cha kawaida, sitting, dining, jiko pamoja na public toilet. Limejengwa ndani ya eneo lenye ukubwa wa 35x70 ( nusu ekari). Sababu ya kuuza ni kuhamishwa kikazi. Utanipa milioni 9 tu...
  2. Mbimbinho

    Eneo Ekari 1 linauzwa Visiga

    Habari ndugu zangu JF. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Eneo la Ekari moja linauzwa. Mmiliki ni dada yangu kaomba nimtangazie Mahali: Kibaha Visiga, 500m kutoka barabara kuu ya Morogoro Bei: Tsh 18,000,000 (Mazungumzo yanakaribishwa) Mawasiliano: 0784 41 41 43 (Mwenye eneo, hakuna dalali)...
  3. Digxam-TZ

    INAUZWA Lowbed trail 4 exl used linauzwa

    Hili ni Trailer la mtumba kwajili ya kubeba mizigo ya Abnormal,ukubwa wa exle 4, liko Johannesburg South Africa, bei yake ya manunuzi pamoja na ushuru usafiri ni 160ml Tsh, wasiliana na kwa njia ya whatspp +27 71 821 9244
  4. K

    Boma linauzwa, kigamboni, maweni. 3,500,000

    Boma linauzwa kigamboni,maweni Bei 3,500,000 Piga simu 0712347749
  5. D

    Plot4Sale Shamba heka 18 zilizopimwa kando kando ya ziwa viktoria kuelekea Nyanguge km 8 kutoka barabarani linauzwa

    Eneo kubwa heka 18 za ardhi kandokando ya ziwa viktoria lenye mifugo, vizimbwi vya samaki,malambo linauzwa kwa usd 300000 piga simu 0739290084 au 0622290084. Bei inaweza kupungua. Ni zuri kwa hotel,apartment,mifugo,kilimo nk.
  6. Jemima Mrembo

    Chest Freezer nzuri sana linauzwa

    Aina: Boss Hali yake: Nzuri sana Bei: 550,000 Lilipo: Dar es Salaam Mawasiliano:- 0675341515 NB: FREEZER HAINA SHIDA YOYOTE NA WALA HAIMJUI FUNDI. NAIUZA KWASABABU SINA Matumizi nayo kwa sasa
  7. Lagertha

    Boma linauzwa, Kigamboni Dege Ml. 18

    Sold
  8. F

    Shamba Linauzwa 100Acres -Mkata Handeni

    Umuofia kwenu! Shamba lenye ukubwa ya Ekari 100 Linauzwa.Shamba lipo Kijiji Cha Kwandugwa.Umbali wa Km 14 toka Mkata Centre. Shamba ni pori.Halijawahi kusafishwa.Linauzwa kwa Tsh 18M.Mazungumzo kidogo yapo.Shamba lina hati ya mauziano ya serikali ya Kijiji na mnunuzi atapata haki ya...
  9. Omari Makoo

    Plot4Sale Shamba la miti ya Mikalebeya linauzwa

    Shamba lina ukubwa wa Hekari 2 Lina miti 1000+ Miti ina umri wa miaka Shamba lipo Mwanza, Ukerewe Bei yamba pamoja na miti yote iliyopo kwenye shamba ni shilingi milioni tisa na laki tano(9,5000,000) Tu.
  10. uberimae fidei

    Tunauza Viwanja na Mashamba Chalinze na Dar Es salaam

    *ENEO LINAUZWA* Eneo lenye ukubwa wa *ekari ishirini* linauzwa *Pingo, Chalinze*. Eneo linapakana na *Chuo cha Ualimu Chalinze* kwa mbele na kwa upande wa kulia ni *kiwanda kipya cha vigae cha Twyford* kinachojengwa hapo Pingo.Kama ambavyo baadhi watakuwa wanajua, kiwanda cha vigae kitaajiri...
  11. K

    Plot4Sale Viwanja DSM na Pwani

    VIWANJA VINAUZWA KWA OFA YA SABASABA VIWANJA vinapatikana Vigwaza ni km 8 kutoka barabara ya Morogoro na km 1 kwenda bandari ya nchi kavu. Kwa msimu huu wa sikukuu utapata kiwanja kwa gharama ya Tsh 1050 kwa sqm 1 Kama utalipa Cash na Tsh 1,250 kwa sqm 1 kwa mkopo ambapo utalipia 40% na...
  12. M

    Plot4Sale Shamba linauzwa Kisarawe

    Mahali: Kisarawe Kijiji cha Gwata (Appr. 60 km toka Mlandizi) Ukubwa: Ekari 47 Hali ya shamba: Limepimwa na lina hati ya kimila ya halmashauri. Shamba ni pori. Bei : milioni 7 (saba) tu kwa shamba lote. Bei imepungua na pia mazungumzo yapo. Mawasiliano kwa maelezo zaidi: 0716 098 681 . Hii ni...
  13. Z

    Plot4Sale Viwanja vinauzwa Kibaha

    Viwanja vipo kibaha kwa mfipa,karibia na chuo kipya Cha uongozi,vimebaki viwili kila kiwanja kina square meter 400. Bei kwa kila kimoja milioni 4 na nusu. Umbali km 1 na nusu toka morogoro road, Panafaa kujenga hostel au kwa ajili ya makazi. Umeme na maji vipo jirani. Tayari Kuna walioanza...
  14. Snipper

    Plot4Sale Shamba heka 5 linauzwa Vigwaza

    Karibuni mjipatie Shamba la eka saba kwa bei nafuu ya shilingi milioni 25. Shamba liko umbalinwa kilomita mbili na nusu kutoka barabara ya lami ya Dqr Morogoro. Shamba linafaa kwa ufugaji wa kuku, mbuzi, bata na mifugo mingine. Karibuni sana
  15. Rcrusso Jr

    Plot4Sale Eneo linauzwa ekari 4. kigamboni

    Eneo la ekari 4. lilipo ni kigamboni ulongoni, jirani na kiwanda cha Afya maji na maziwa (camel) au na dar es salaam zoo.. au walipotaka jenga show room ya magari ya dar nzima... karibuni sana .. 0785657273 mawasiliano.. bei ni 21,000,000/acre..
  16. Rcrusso Jr

    Plot4Sale Eneo linauzwa ekari 4. kihamboni

    Enwo la ekari 4. lilipo ni kigamboni ulongoni, jirani na kiwanda cha Afya maji na maziwa (camel) au na dar es salaam zoo.. au walipotaka jenga show room ya magari ya dar nzima... karibu sana .. 0785657273 mawasiliano.. bei ni 21,000,000/acre..
  17. Namche Bazar

    House4Sale Boma linauzwa Kichangani Tanga

    Heshima kwenu! Boma pichani linauzwa lipo Kichangani,Tanga mjini umbali wa takribani 15km toka katikati ya jiji la Tanga. Ukubwa wa eneo ni mita 15X20 Boma lina vyumba 7 vyote vina vyoo vyake ndani,pia kuna choo cha public. Umeme na.maji vipo site (havijaunganishwa kwenye boma) Boma linauzwa...
  18. E

    Parachichi India linauzwa elfu tano na hayapatikani

    Kuna kijana anasoma India katika mji mmoja anasema tunda ghali hapo ni Parachichi linauzwa elfu tano ya Tanzania, sasa Sie tuna ndege inaenda India mara mbili kwa wiki hawa wajasiliamali wa sido wameshindwq kweli kuuza Parachichi India?
  19. T

    Plot4Sale Shamba kubwa linauzwa Songea

    Shamba linauzwa Lipo kijiji cha Nambendo Songea, kilomita 100 kutoka Songea mjini, lina ukubwa wa ekari elfu mbili (2000) lina hati. Shamba linafaa kwa mazao mchanganyiko kama utavyoona kwenye picha, mpunga, Alizeti, mahindi, pilipili, mikorosho, n.k picha uzionazo ni mazao yaliyolimwa kwenye...
  20. STREET SMART

    Plot4Sale Kiwanja/ Shamba linauzwa Heka Moja Chanika Mwanzo Mgumu

    Habari za asubuhi wadau, nimeshikwa na shida nauza kiwanja changu kilichopo Mwanzo mgumu chanika. Ukubwa hekari moja Bei 2.5m maongezi yapo Mawasiliano piga simu 0718658747
Back
Top Bottom