Eneo linauzwa lipo Tegeta "A" Goba mpakani mtaa wa Mlimani City
Dakika 2 tuu kutoka barabara kuu ya Mtaa ambayo itawekwa lami hivi karibuni.
Kutoka site mpaka Goba Center ni mwendo wa dakika zisizo zidi 15 kwa gari/pikipiki.
Kiwanja kipo mjini haswaa.
Kiwanja kina size ya mita 10 X 10 yaani...
Shamba Lina ukubwa wa heka 60 lipo msata umbali kilometers 3 kutoka balabala ya lami msata bagamoyo
Lina nyumba ya tofali vyumba 2 bei 350,000 wa Kila heka
Kwa mawasiliano 0659891515
Habari za wakati huu...
Eneo linauzwa madale mivumoni...
Lipo karibu na shule ya atlas
Eneo limezungukwa na njia kubwa kabisa pande zote nne...
Eneo lipo tambalale kabisa...🔥
Eneo linafaa kwa projects kubwa kama shule,hospital na hata viwanja vya michezo au sports academy..
Pia kwa wale...
Eneo la shule linauzwa Dodoma , Mtumba Area karbu na mji wa Serikali.
Ukubwa wa eneo: Sqm 33,000
Bei: Tsh 10,000 kwa Sqm
Ni surveyed pot
Fixed Price
Interested njoo PM
Au
+254746360628 only whatsapp
Ramani ipo kwenye attachment
Shamba Heka Mbili Na Nusu Limeshuka Bei Kutoka Million 10 Mpaka Milioni 8 tu Lipo Kibaha Madafu
Mmiliki anachangamoto ya mgonjwa Mwenye Uhitaji Wa Shamba Aje Chap Tuongee Biashara, Shamba Liko Umbali Wa Kilomita 6 Kutoka Morogoro Road,
0675 065906
Nauza eneo langu, lipo Kigamboni Mwasonga heka mbili
BEi: 15 million
Halijapimwa, lina document za mauziano za serikali ya mtaa
Linafaa kwa kukata viwanja, kilimo, ufugaji, makazi n.k
Hyo barabara hapo inaelekea Kimbiji ambayo imeanza kupigwa lami.
karibu PM tuzungumze.
Apartments for Sale
Nzuri sana ya kisasa, iko Mikocheni Karibu na palm village, barabarani kabisa.
Fully furnished, 3 master bedroom, kuna gym na swimming pool.
Inauzwa $220,000 ( Dola laki mbili na ishirini)
Ina mteja analipa kodi $1500 per month, Kama mtu anataka kuhamia mteja atapewa notice...
apartments
bahari
beach
beach plot
chang'ombe
dar
dar es salaam
duce
eneo
eneo linauzwa
for sale
houses
karibu
kinauzwa
kinondoni
kiwanja
kiwanja kinauzwa
linauzwa
masaki
mbagala
mlandizi
morocco
msasani
new
plot
plot for sale
plots
sale
temeke
with
Nyumba inauzwa kibaha maili moja loliondo
Ina Vyumba 2 kimoja master
Jiko,public toilet, sebule
Umeme upo,eneo lina 20 kwa 20
Umiliki Mkataba wa Mauziano ya serikali za Mtaa
Nimailimoja loliondo pikipiki sh. 2000
Bei mln 19 maongezi yapo kidogo
0675 065906
Shamba lenye ukubwa wa heka 22 linauzwa, Shamba lipo Mikese Mkoa wa Morogoro, KM 4 kutoka Mizani ya Mikese Morogoro au barabara kuu ya Morogoro-Dar
-Hekari 4 zimepandwa miti aina ya mitiki yenye miaka 7 na kuna nyumba moja kwa ajili ya wafanyakazi
-Shamba limepakana na barabara kuu inayokwenda...
Eneo lipo Mkuranga mjini-Jirani na kituo cha Mafuta cha Panoni, kama mita 600 kutoka barabara ya lami.
Panafaa kwa kuweka makazi. Panafika kwa gari, umeme na maji ya Dawasco vipo mita chache.
Eneo lina miti mbalimbali kama:
1. Minazi (20)na michikichi-imepandwa pembezoni kama fensi
2. Miembe...
Kazi kazi
Nina nyumba Kali inauzwa iko Tabata Kisukuru Ina hati Tsh250ML
Nina kiwanja kinauzwa Tabata Kisukuru ukubwa ni mita 20x30 ila nafasi ya kuongeza kubwa wa eneo ipo, kina faa kujenga Sheli sababu barabara kubwa ya lami itapita hapo siku sio nyingi, bei Tsh 50ML.
Nina kiwanja maeneo...
bagamoyo
banana
bandari
bucha
daycare inauzwa
eneo
eneo linauzwa
eneo linauzwa msakuzi
goba
goba mpakani
heka
inauzwa
jirani
kibaha
kibaha maili moja
kibamba
kiluvya gogoni
kimara
kinauzwa
kiwanja
kiwanja kinauzwa
linauzwa
madafu
mashamba
mawili
mbezi
mbezi mwisho
moja
mpakani
mwisho
njia
njia panda
nyumba
nyumba inauzwa
plot for sale
shamba
shule
tabata
ukubwa
university
vigwaza
vinauzwa
viwanja
viwanja salasala
viwanja vinauzwa
yanauzwa
Hi guys🙋, i hope mko poa wote.
Mwenye kuhitaji kabati kubwa la nguo chukua hili, ni zuri sana.
Location: Kigamboni Kisiwani, price: 300k
Contact : 0697224996
Habari gani wakuu.
Ninauza jiko la kuchomea nyama ni mpya kabisa. Unaweza kuchomea nyama ya ng'ombe, mbuzi au kuku. Linafaa kwa mgahawani, bar au hata barabarani kwasababu linabebeka.
Bei yake ni Tsh 140,000 mazungumzo yapo !!
Nicheki WhatsApp: 0683535699
Habarini wakuu kama kichwa cha habari kinavojieleza Duka la nguo za Kike(Magauni na Jeans) linauzwa. Nimepata scholarship inabidi nikasome sasa sina wa kumuachia naitaji kuliuza.
Kuna magauni ya kike kama 70, Tshirt kama 15. Na jeans kama 150. kuna feni mbili, Kioo, Kabati la jeans, na...
Eneo lenye ukubwa wa Sqm 3626 Na lina Nyumba 7 [ Moja ni main house yenye vyumba vitatu kimoja master, sebure kubwa, dining kubwa, public toilet na jiko] Na nyumba zengine 6 kila moja imegawanyika katika ( chumba na sebure 3 hivyo kufanya jumla ya chumba na sebule 18 na zote zinawapangaji.
Na...
Zhongtong Caesar Inauzwa
Namba B
Siti 60 2by2
Engine scania 93
Gearbox scania
Diff scania
Bei Tzsh 37,000,000/=
Gari inafanya kazi
Bima na latra vipo hai
Call,sms,whatsap 0759399805
Habari wakuu,
Pesa isikae mfukoni, tununue ardhi.
Kwa aliyekuwa anahitaji ardhi kwa ajili ya kilimo cha parachichi, sasa jibu limepatikana. Kuna shamba la ekari 60 Mufindi linauzwa kwa bei nzuri. Shamba halijatumika kwa miaka mingi, kwa hiyo lina rutuba na linafaa kwa kilimo cha parachichi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.