We kiongozi unaweza! Hilo ndo pekee lililopo la kusema kuhusu wewe!!!
Naomba nijaribu kushauri yafuatayo;
1. Sherehe za utoaji wa zawadi mwaka huu (kama zipo) hazitokuwa za haki kama walimu walioingiza masoko yao katika kumi bora ya ufaulu (kidato cha nne) ya mkoa hawatozawadiwa......hata...