Wanasema Ndugai amechokoza manyuki jike sasa ni neno kwa neno na kama haitoshi huwenda wakamvaa Ndugai hadi nyumbani kwakwe na ngoma ya kigodoro.
Ndugai omba msamaha au wacha kujibizana na kupashana na wanawake.
Imekuwa sasa ni kujibizana,Ndugai mambo ya wanawake huyawezi shauli lako !
Wakuu nisiwe mchoyo wa michongo mjini na vijijini.
Leo nimewafungulia Uzi huu wa Michongo Live uzi huu nitatoa michongo mjini na vijijini ili wadau wapate kufaidika.
Mchongo wa Leo
Je, pengine umesoma mambo ya biashara au stationery, au pengine una uzoefu na mambo hayo? Basi fanya hivi.
Fungua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.