live

Live! Live! Live! is a live album released by Bryan Adams through A&M Records in 1988. It was recorded live at the Rock Werchter festival on 3 July 1988 in Werchter, Belgium. One track, "Into the Fire", was recorded live in Tokyo. The album sold over 1 million copies.
The concert was taped while it "rained in torrents". At the end of It's Only Love, Adams comments to the audience, "I've got to tell you something. For you people to sit out in the rain, means you're one hell of an audience. I mean, to sit out in this..."

View More On Wikipedia.org
  1. C

    INAUZWA Microphone for live streaming, video / Audio conferencing, podcasting, etc

    Microphone for live streaming, video / Audio conferencing, podcasting, etc New condenser microphone Noise/ echo cancellation YouTube, Skype, zoom meetings, podcast, etc Just plug & play OFFER: 99,000 /- COD: Dar es Salaam/Kibaha but we can ship to all regions. Call: +255 658 700 510
  2. Merci

    Once and for all Tyson fury vs Deontay wilder iii live now

    Kwa wale wapenda michezo hasa ndondi aka boxing, mnaweza kuangalia pambano now live kupitia Live Once and For All: Tyson Fury vs Deontay Wilder III Online | Once and For All: Tyson Fury vs Deontay Wilder III Stream
  3. Pascal Mayalla

    Television ya Taifa,TBC, Imetisha!. Yarusha Live Mbili Kwa Wakati Mmoja! Live ya Dodoma on TBC1 At the Same Time Live ya Arusha TBC2- Safari Channel

    Wanabodi Kwanza wale wenye access, Watch, TBC 1 na TBC 2...shuhudia...!. Kwa watu wasiojua what it takes kurusha matangazo ya TV live mubashara kutoka sehemu mbili tofauti kwa wakati mmoja, mnaweza msielewe, hapa ninashangaa nini!. Kiukweli kituo cha Television ya Taifa, TBC, kimetisha...
  4. Mchochezi

    Live: Cheka tu grand finale 2021

    Leo ndio ile Cheka tu grand finale, kupitia Wasafi Tv kutokea pale Mlimani City! Unamtabiria nani kuwa mshindi?? Karibu kwa live updates
  5. Adolfms

    Live streaming

    Naomba anayejua app nzuri ambayo naweza install then nikaangalia mpira live especially UCL
  6. MWALLA

    World leaders attend the 76th U.N. General Assembly

    VIKAO vimeanza tuwasikilize viongozi wetu wataongea nini cha muhimu
  7. B

    Kuna utaratibu gani wakufatwa ili kesi kuendeshwa live?

    Naomba niulize, kuna vigezo gani au taratibu gani za kufatwa ili kesi kuendeshwa live? Kama zipo ni kwanini Chadema wasipeleke maombi hayo ili kuonesha live uendeshaji wa kesi ya Mbowe ili umma uweze kufatilia?
  8. Nawatania

    Machinga wanapangwa Dar es Salaam

    Machinga wanapangwa kuanzia leo katika jiji la Dar es Salaam Tunaomba zoezi liishe kwa usalama na amani bila kuacha chuki. Mkuu wa mkoa akifanikiwa hili basi nashauri Tanzania nzima waige mpango wake.
  9. W

    PICHA: Rais Samia Suluhu Hassan akishiriki katika maadhimisho ya siku ya Demokrasia duniani Diamond Jubilee

    Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan akishiriki katika maadhimisho ya siku ya Demokrasia duniani katika ukumbi wa Diamond Jubilee. Fuatilia kupitia Ikulu Mawasiliano Link. Saa 5.20 Inafuata Burudani kutoka TBC Saa 5.30 Kikundi cha watoto wa Mama.
  10. Shadow7

    Watoto Wawili Mapacha wamefariki Dunia wakati Mama yao akiwa busy live Facebook

    Watoto wawili mapacha wamefariki dunia baada ya kuporomoka kutoka ghorofa ya kumi wakati mama yao akijivinjari LIVE katika mtandao wa facebook. Mapacha hao Moise Petrice wa kiume na Beatrice Petrice pacha wa kike wamekumbwa na umauti huo baada ya kudandia katika dirisha lililokuwa wazi. Tukio...
  11. Gordian Anduru

    LIVE: BODI YA LIGI inatangaza ratiba, Simba na Yanga December 11

    hapa ni ukumbi wa TFF
  12. mugah di matheo

    Live from Mkapa national stadium: WCQ African zone Tanzania vs Madagascar

    Wellcome for updates about this match from beigning to the end of this match. Starz will win or draw at the home? Madagascar starting XI Update Tanzania moja dakika ya 3 erasto kwa mkwaju wa penalt Full-time Tanzania 3-0 Madagascar The Tanzania now leading the group J for the 4 point...
  13. Mung Chris

    TBC acheni tamaa hamuwezi kurusha vipindi viwili live kwa mara moja TV moja

    Benki ya NBC imedhamini live miaka 40 ya shririka la World Vision Tanzania, Mhe Rais yupo Bagamoyo wanarusha live pia, sasa najiuliza kwann hawa TBC wasingesema kwa muda huo hawataweza kurusha kipindi cha World vision live, sasa inakuwa wakate huku waunganishe huku watuonyeshe badae wakate huku...
  14. Saint Ivuga

    Anayedaiwa kuwa 'Mzee Mathias Gwajima' amtaka Dkt. Dorothy kutotumia jina la Gwajima

    Amewataka: : Waziri wa afya na naibu wake wajiuzulu : Dorothy ni mke wao : Amemsifu Ndungulile kwa sababu alitumbuliwa kwa kusimamia ukweli wake kipindi cha meko : Akipata mtu wa kumuelewesha ataelewa ila hawa easily hawafai ni vigeu gemu. : D oroth anasema nilikamatwa na...
  15. kasanga70

    Makato ya miamala unaweza fikiri kuna mwizi kakuibia live

    Nilianza kuzoea lkn leo imeniuma Sana. Yaani unatoa pesa MPESA tshs laki 390,000 unakatwa tshs elfu 10,000 hivi huu kama sio ujambazi Ni nn lkn? Kitu pekee Serikali haiwezi kukwambia ni kwamba wameweka malengo ya kukusanya tshs ngapi kwenye miamala ya simu. Naambiwa active line zinazotransact...
  16. T

    Live translation App with Eng sub

    Habari wana JF, msaada tafadhali kwa yoyote anafahamu App ambayo inaweza fanya live speech translation mfano kama kiongozi anazungumza yenyewe inakua inaonesha maneno yanayosemwa kama Subtitle.Nitangulize Shukrani.
  17. Mwl.RCT

    CHADEMA: Benson Kigaila aongea na Wanahabari

    Naibu Katibu Mkuu Bara Mhe. Benson Kigaila afanya mkutano na waandishi wa habari leo jumamosi tarehe 7 August 2021 Makao Makuu ya Chama, Kinondoni.
  18. I

    Mbio za mita 42,000 Olimpiki kuna Mtanzania anakimbia?

    saa 6 na nusu usiku wa manane. marathon mita 42000 inaendelea. nataka kufahamu kama kuna mkimbiaji kutoka Tanzania maana nimechungulia mpaka nimechoka simuoni.
  19. Cannabis

    Mo Dewji akerwa na Clatous Chama baada ya kumsifia Haji Manara Instagram Live

    Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya Simba, Mohamed Dewji "Mo Dewji' leo Ijumaa 06 Agosti 2021, alionekana kukerwa na kitendo cha mchezaji nyota wa Simba Clatous Chama kumsifia aliyekuwa msemaji wa klabu ya Simba ndugu Haji Manara katika instagram live aliyokuwa akiifanya na mashabiki wake. Mo...
  20. M

    #COVID19 Natamani mdahalo 'live' kati ya wanaokubali na kukataa chanjo ya COVID-19

    Timu "chanjo Yes" iongozwe na Dr Gwajima na timu "chanjo No" iongozwe na Askofu Gwajima! Huo mdahalo mtoto hatumwi dukani. Kuna timu moja naiona haiwezi kuthubutu kutia mguu kwenye mdahalo huo, naiona ina hali mbaya. Wamiliki wa luninga jaribuni kuzikutanisha timu hizo mbili ili watu wote...
Back
Top Bottom