Live! Live! Live! is a live album released by Bryan Adams through A&M Records in 1988. It was recorded live at the Rock Werchter festival on 3 July 1988 in Werchter, Belgium. One track, "Into the Fire", was recorded live in Tokyo. The album sold over 1 million copies.
The concert was taped while it "rained in torrents". At the end of It's Only Love, Adams comments to the audience, "I've got to tell you something. For you people to sit out in the rain, means you're one hell of an audience. I mean, to sit out in this..."
Microphone for live streaming, video / Audio conferencing, podcasting, etc
New condenser microphone
Noise/ echo cancellation
YouTube, Skype, zoom meetings, podcast, etc
Just plug & play
OFFER: 99,000 /-
COD: Dar es Salaam/Kibaha but we can ship to all regions.
Call: +255 658 700 510
Kwa wale wapenda michezo hasa ndondi aka boxing, mnaweza kuangalia pambano now live kupitia Live Once and For All: Tyson Fury vs Deontay Wilder III Online | Once and For All: Tyson Fury vs Deontay Wilder III Stream
Wanabodi
Kwanza wale wenye access, Watch, TBC 1 na TBC 2...shuhudia...!.
Kwa watu wasiojua what it takes kurusha matangazo ya TV live mubashara kutoka sehemu mbili tofauti kwa wakati mmoja, mnaweza msielewe, hapa ninashangaa nini!.
Kiukweli kituo cha Television ya Taifa, TBC, kimetisha...
Naomba niulize, kuna vigezo gani au taratibu gani za kufatwa ili kesi kuendeshwa live? Kama zipo ni kwanini Chadema wasipeleke maombi hayo ili kuonesha live uendeshaji wa kesi ya Mbowe ili umma uweze kufatilia?
Machinga wanapangwa kuanzia leo katika jiji la Dar es Salaam
Tunaomba zoezi liishe kwa usalama na amani bila kuacha chuki.
Mkuu wa mkoa akifanikiwa hili basi nashauri Tanzania nzima waige mpango wake.
Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan akishiriki katika maadhimisho ya siku ya Demokrasia duniani katika ukumbi wa Diamond Jubilee.
Fuatilia kupitia Ikulu Mawasiliano Link.
Saa 5.20 Inafuata Burudani kutoka TBC
Saa 5.30 Kikundi cha watoto wa Mama.
Watoto wawili mapacha wamefariki dunia baada ya kuporomoka kutoka ghorofa ya kumi wakati mama yao akijivinjari LIVE katika mtandao wa facebook.
Mapacha hao Moise Petrice wa kiume na Beatrice Petrice pacha wa kike wamekumbwa na umauti huo baada ya kudandia katika dirisha lililokuwa wazi. Tukio...
Wellcome for updates about this match from beigning to the end of this match.
Starz will win or draw at the home?
Madagascar starting XI
Update
Tanzania moja dakika ya 3 erasto kwa mkwaju wa penalt
Full-time
Tanzania 3-0 Madagascar
The Tanzania now leading the group J for the 4 point...
Benki ya NBC imedhamini live miaka 40 ya shririka la World Vision Tanzania, Mhe Rais yupo Bagamoyo wanarusha live pia, sasa najiuliza kwann hawa TBC wasingesema kwa muda huo hawataweza kurusha kipindi cha World vision live, sasa inakuwa wakate huku waunganishe huku watuonyeshe badae wakate huku...
Amewataka:
: Waziri wa afya na naibu wake wajiuzulu
: Dorothy ni mke wao
: Amemsifu Ndungulile kwa sababu alitumbuliwa kwa kusimamia ukweli wake kipindi cha meko
: Akipata mtu wa kumuelewesha ataelewa ila hawa easily hawafai ni vigeu gemu.
: D oroth anasema nilikamatwa na...
afya
akili
baba mkwe
bishop
chanjo
dorothy gwajima
gani
gwajima
hata
inatisha
kukosa
kuvunjika
live
matokeo
mbunge
movie
mrembo
nchi
ndoa
nidhamu
roho
sababu
sana
ubaya
uongozi
waziri
waziri wa afya
Nilianza kuzoea lkn leo imeniuma Sana. Yaani unatoa pesa MPESA tshs laki 390,000 unakatwa tshs elfu 10,000 hivi huu kama sio ujambazi Ni nn lkn?
Kitu pekee Serikali haiwezi kukwambia ni kwamba wameweka malengo ya kukusanya tshs ngapi kwenye miamala ya simu. Naambiwa active line zinazotransact...
Habari wana JF, msaada tafadhali kwa yoyote anafahamu App ambayo inaweza fanya live speech translation mfano kama kiongozi anazungumza yenyewe inakua inaonesha maneno yanayosemwa kama Subtitle.Nitangulize Shukrani.
saa 6 na nusu usiku wa manane.
marathon mita 42000 inaendelea.
nataka kufahamu kama kuna mkimbiaji kutoka Tanzania maana nimechungulia mpaka nimechoka simuoni.
Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya Simba, Mohamed Dewji "Mo Dewji' leo Ijumaa 06 Agosti 2021, alionekana kukerwa na kitendo cha mchezaji nyota wa Simba Clatous Chama kumsifia aliyekuwa msemaji wa klabu ya Simba ndugu Haji Manara katika instagram live aliyokuwa akiifanya na mashabiki wake.
Mo...
Timu "chanjo Yes" iongozwe na Dr Gwajima na timu "chanjo No" iongozwe na Askofu Gwajima!
Huo mdahalo mtoto hatumwi dukani. Kuna timu moja naiona haiwezi kuthubutu kutia mguu kwenye mdahalo huo, naiona ina hali mbaya.
Wamiliki wa luninga jaribuni kuzikutanisha timu hizo mbili ili watu wote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.