live

Live! Live! Live! is a live album released by Bryan Adams through A&M Records in 1988. It was recorded live at the Rock Werchter festival on 3 July 1988 in Werchter, Belgium. One track, "Into the Fire", was recorded live in Tokyo. The album sold over 1 million copies.
The concert was taped while it "rained in torrents". At the end of It's Only Love, Adams comments to the audience, "I've got to tell you something. For you people to sit out in the rain, means you're one hell of an audience. I mean, to sit out in this..."

View More On Wikipedia.org
  1. John Haramba

    FULL TIME: Ruvu Shooting 0-7 Simba, Uwanja wa Mkapa, ASFC

    Mchezo umemalizika, Chama anakabidhiwa mpira kwa kufunga hat trick. Full Time Zinaongezwa dakika 3 za nyongeza Dk 90: Simba wanapiga pasi na kuumiliki mchezo. Dk 87: Mchezo umepungua kasi, Ruvu ni kama wamekata tamaa. Dk 82: Kocha wa Ruvu, Charles Mkwasa anaonekana kuwa katika masikitiko. Dk...
  2. Slowly

    Kutoka Mliman City, Diamond na Zuchu mahaba nje nje

    Mambo si mambo...!!! New couple in town? Wacha tuendelee kunywa mtori , nyama tutazikuta chini
  3. Ghazwat

    Simba 3-1 ASEC Mimosas | CAF Confederation Cup | Uwanja wa Mkapa

    Klabu ya Simba leo Jumapili February 13 inashuka kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa kucheza na ASEC Mimosas kutoka Ivory coast, kwenye mchezo wa kwanza hatua ya makundi Kombe la Kombe la Shirikisho Barani Afrika CAFCC. Hautakuwa mchezo mwepesi, bali utakuwa mgumu na wa kusisimua hasa ukizingatia...
  4. John Haramba

    Simba SC 1-0 Mbeya Kwanza | Benjamin Mkapa |NBC PL

    Timu ndiyo zinaingia uwanjani, muda wowote mchezo huu wa Ligi Kuu Bara utaanza hapa kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam. KIPINDI CHA KWANZA Mchezo umeanza. Dk 1: Mwamuzi anapuliza kipenga cha kuanza kwa mchezo. Dk 1: Simba wanaanza kwa kasi, wanafika langoni mwa Mbeya Kwanza, John Bocco...
  5. Scars

    Simba 1-0 Prisons | Ligi kuu bara | Benjamin Mkapa

    Simba imeshinda mchezo wake wa ligi kuu bara dhidi ya wajelajela wa Tanzania Prisons, goli pekee la Meddie Kagere alilofunga kwa mkwaju wa tuta dakika ya 64 baada ya muamuzi wa mchezo kusema beki wa Tanzania Prisons kanawa mpira kwenye eneo la hatari. FT: Simba SC 1-0 Tanzania Prisons 64'...
  6. Sky Eclat

    Mwanaume amekutwa live ana cheat na bado haja tusi nyumbani siku ya tatu

    Jamaa alianza mahusiano na rafiki wa mke wake. Baada ya kuaga anasafiri, kaka wa mke aliamua kumpeleka dada yake kula nyama choma. Huko ndiyo wapenzi wapya wa siri waliamua kwenda kula nyama. Baada ya kufumwa live akiwa kwanza Dar badala ya mkoani alikoaga anakwenda bado aliondoka na...
  7. Sky Eclat

    What was it like to live in ancient Rome?

    Historians have been able to piece together a clear picture of how the average Roman citizen spent their waking hours. There are, roughly speaking, two types of historians: those that look at the past from afar, recording its wars, epidemics, and recessions; and those that look at the past from...
  8. M

    The top 15 Most dangerous countries to live in in2021.

    Although researchers say the past 50 years have been the most peaceful in the history of human civilization. There was no great war and almost the entire monarchy was destroyed. There hasn't been a recent mass murder in which multiple people were killed during any war or insurgency, but what...
  9. Sol de Mayo

    Barcelona and Boca Juniors Live

    Leo ni leo, Barcelona na miamba ya amerika ya kusini Boca Juniors. 🇪🇦Barcelona - Boca Juniors 🇦🇷 Wanakipiga saa mbili kamili za ucku katika uwanja wa King Saud University stadium, Ar-Riyad (Riyadh) nchini saudia Arabia.
  10. ESPRESSO COFFEE

    FT: Simba SC 3 - 0 Red Arrows kombe la shirikisho barani Afrika

    Ni Jumapili Tulivu, Jumapili Yenye Kimvua Fulani Maeneo Ya Mjini Dasilamu, Litako pigwa Pira Real Madrid, Wakati Timu zingine Zikiwa Mikoani kuendelea kusaka Point, Kama mkoa wa mbeya Na Vitongoji vyake, SIMBA SC atakuwa analiwakilisha taifa kwenye michezo Ya Kimataifa. Ni Simba Vs Red Arrows...
  11. Pascal Mayalla

    Live From Arusha: ITAC - Mkutano wa Kimataifa Kuhusu Uwazi na Uwajibikaji Nchi za Afrika Day 2: Prof. PLO Lumumba, Mhe. Dotto Biteko Ndani ya Nyumba!

    Wanabodi, Bado niko jijini Arusha, kuwaletea live ya day 2 ya , mkutano wa kimataifa wa ITAC ITAC is a brainchild of WAJIBU designed for people to meet and discuss trends on transparency and accountability, sharing best practices, successes and challenges in order to promote an...
  12. Pascal Mayalla

    Kutoka Arusha: ITAC - Mkutano wa Kimataifa Kuhusu Uwazi na Uwajibikaji Nchi za Afrika. "Bila Uwazi, Hakuna Uwajibikaji" -Ludovick Utouh

    Wanabodi, niko hapa jijini Arusha, kuwaletea live, kinachoendelea, kwenye mkutano wa kimataifa wa ITAC ITAC is a brainchild of WAJIBU designed for people to meet and discuss trends on transparency and accountability, sharing best practices, successes and challenges in order to promote an...
  13. M

    Video: Sikiliza huu wimbo kutoka malawi uliorekodiwa live na mwanamziki mzee wa miaka 93 akimshirisha kijana . Lazima utaupenda tu.

    Mzuka wanajamvi! Wimbo unaitwa Linny Hoo, umeimbwa na Giddes Chalamanda akimshirikisha kijana Namandingo Bonge la songi linavuta Hisia Sana. Love Malawi!
  14. Robert Heriel Mtibeli

    Hivi tukio hili tunaweza kuliweka kundi la Uchawi? Niliyoyaona live siku ile

    Kwema Wakuu! Leo nitasimulia tukio lililoniacha mdomo wazi mpaka leo nisielewe nini kilitokea. Tukio hili ni halisi, sio Stori ya kubuni. STORI KAMILI! Mimi ni jamii ya watu ambao usiku tunaona mambo mengi, waotaji WA ndoto, waonaji na wakati mwingine watu tunaolala lakini tunahangaika usiku...
  15. K

    Ukistaajabu ya Musa utaona ya Bunge kuoneshwa LIVE leo bila uwepo wa wapinzani bungeni

    Nimeona kwenye mitandao mbalimbali watu wakianza kusifia serikali ya awamu hii kuruhusu bunge live kama njia moja wapo ya kusahihisha makosa yaliyokuwa yanafanywa na serikali ya "Mwendazake". Jambo ambalo pengine hao wasifiaji wanatakiwa kuelewa kama kweli "hawajatumwa" kuwa kilichosababisha...
  16. Kurunzi

    Yanga 2-0 Azam FC | Ligi kuu | Benjamin Mkapa

    Leo kutakuwa na Mtinange wa Kukata na Shoka kati Yanga na Azam FC, mechi hii itaanza majira ya saa 1:00 usiku Uwanja wa Benjamini Mkapa Tunajua ugumu wa game hii ya leo kizingati timu hizi zinapokutana hupigwa mpira wa nguvu sana. ====== ⚽ 36' Fisto Mayele, Yanga 1-0 Azam ⚽73' Jésus Ducapel...
  17. tamuuuuu

    UDOM: Wanafunzi wamkamata mkufunzi anayewapa 'Sup' ili afanye nao ngono

    Wanafunzi wa UDOM wamemkamata mkufunzi anayewapa supplementary ili apate kigezo cha kuwatafuna. Ushahidi wa kila kitu hadharani. Si UDOM tu hata vyuo vingine ipo hivyo. Hata mimi nimempoteza mchumba wangu anayesoma DUCE mwaka huu ktk mazingira haya. Sijajua alipigwa sup ama alikubaliana naye...
  18. Kamanda Asiyechoka

    Live: Newcastle Utd vs Totteham hotspurs. Achana na shoo za kitoto.

    Kwa nini uangalie mechi ya kishamba kama ya Jwaneng? Mtananange ndio huu sasa.
  19. C

    FT: Azam 0 Pyramids 0

    Dakika ya 21 Sasa 0-0 ===
Back
Top Bottom