Wakuu nisiwe mchoyo wa michongo mjini na vijijini.
Leo nimewafungulia Uzi huu wa Michongo Live uzi huu nitatoa michongo mjini na vijijini ili wadau wapate kufaidika.
Mchongo wa Leo
Je, pengine umesoma mambo ya biashara au stationery, au pengine una uzoefu na mambo hayo? Basi fanya hivi.
Fungua...