Katika hali ya kushangaza, mwanamke mmoja amemuacha mume wake na kuolewa na mfanyakazi wa benki aliyemuidhinishia mkopo kwa mahitaji yake. Mwanamke huyo, ambaye inasemekana hakuwa na furaha na mume wake licha ya juhudi zake za kutimiza mahitaji yake, aliangukia penzi la mfanyakazi huyo wa benki...
Anahitajika kijana wa kiume au wa Kike.
umri 20 to 25 yrs
Eneo la kazi : Arusha
Elimu: degree ya masoko au sheria
hakuna uzoefu unaohitajika.
Mawasiliano: 0782396666
Kuna hiki kikundi wanajiita wanatoa mkopo kwa kupitia MO DEWJI Foundation na wanatumia nyaraka za Mo dewji kinyume na sheria na wana kila kitu hadi leseni za biashara na namba zao za mawasiliano ni hizi +255 780 525 780 tuwe makini na tuwaripoti iwezekanavyo___
MO DEWJI FOUNDATION ipo ndio...
Anonymous
Thread
dewji
foundation
loan
mikopo
mikopo online
mo dewji
online
Kama mkopo wowote, kama hakuna udhibiti madhubuti, pesa zitakwisha bila kujua zilikokwenda! Na kama mkopo wowote, hiyo miaka arobaini ya grace itapita kama maji.
Kama hujasikia, Tanzania imekopa na kupatiwa mkopo mkubwa zaidi kuwahi kutokea, na Jamhuri ya Korea Kusini. Pamoja na kupewa mkopo...
Kama kuna siku nimewahi kudhalilika basi ni leo.
Hivi jamani hawa jamaa wanao-deal na application za kutoa mikopo wanapata wapi haki yakuingilia faragha kwenye simu ya mteja nakuhack majina kisha kutuma jumbe za udhalilishaji yani leo nimevuliwa nguo Wanajamvi wenzangu daah!
What a shame ila...
Job Summary
Position: Loan Officer
Working Station: Dar es Salaam Company: ELM Enterprises co. ltd
Main Business: Microfinance and Insurance
KEY RESPONSIBILITIES:
i. Marketing loans products, meet with loans applicants to identify their potentiality, Obtain and compile copies of loan...
Napenda kulalamikia makampuni ya mikopo madogomadogo na assasi zisizo za kiserikali, kurekebisha kauli zao na misimamo yao, Mtu anapoomba mkopo nikwamba anahitaji mkopo ule ajikimu na matatizo aliyonayo, lakini badala yake wao hu (upload users devices data) mfano Phonebooks na meseji kisha mteja...
Beginning in July 2024, the government plans to reinstate the 10% loan provision for youth, people with disabilities, and women's groups. The loan disbursement will start with a pilot program for ten councils.
The towns of Newala and Mbulu, the municipalities of Kigoma Ujiji and Songea, the...
Huenda ni mimi nilifanya makosa kwa kutopitia terms & conditions vizuri ila hawa jamaa walicho nifanyia ni uzalilishaji mkubwa sana.
Kuna app moja mtandaoni (play store) inaitwa "PESA M FINANCE".
Hawa jamaa walinikopesha elfu 42 mtandaoni kwa muda wa siku 7.
Siku jana nilitakiwa ndiyo nilipe...
Wakuu Sina mambo mengi, naombeni uhakika wa utoaji wa mkopo toka Tala online loan.
Niko kwenye Mazingira ambayo nahitaji pesa na nimekutana na matangazo Yao online nikaona wanaweza kuwa msaada katika kipindi hiki nachokipitia.
Vipi wakuu Hawa Tala online loan ni really au chqnga la macho
Wadau kwa wale wanao appeal loan, pale kwenye kipengele kinachohusu udhamini wa TASAF, pale mimi niki weka namba ya kitambulisho cha tasaf haikubali, msaada plz
Miaka ya nyuma tokea nchi ipate uhuru huu mwaka bajeti ya kutoa mikopo Kwa WANAFUNZI WA degree ilikuwa kubwa sana, ilikuwa TZS bilioni 700+.
Serikali ikakatangaza WANAFUNZI wanaonza degree (fresh students) watapata wanafunzi 75,000 lakini majina mpaka sasa yametoka 73,000 ambayo yamegharimu Sh...
Anonymous
Thread
degree
elimu
imani
loan
suala
wanafunzi
waziri
waziri wa elimu
Jamani nataka kuwalipa Loan Board deni Lao sasa ninashida na loan statement ili niweze kupata control number ya kuwalipa.
Kwahiyo kwa anayewe kunisaidia namna ya kuipata anisaidie
NATANGULIZA SHUKURANI
Imebidi nije hapa huu mtandao wa Loan Board hauko vizuri hasa hasa kwenye kipengele cha Preliminary information hakuna chochote unachoweza kujaza na uka submit na ukakiona kwenye preview. picha hata useti kwa kiwango kipi 120x150px haionyeshi wala haikai kwenye mfumo.
Tunaomba kujua hapa nina...
Wakuu, nilikua na mkopo wa heslb kama 13m hivi, nimelilipa wee mpaka limebaki 2.8m, sasa naona linanikera tu coz haliishi pamoja na juhudi zangu za kulipa nilizonazo.
So nafikiria kutafuta hiyo balance yote iliyobaki kutoka vyanzo vingine vya mapato nilipe hilo deni then mimi nibaki nadaiwa na...
Habari wakuu, poleni na mjukumu,
Nimekuja kwenu na malalamiko na humu JF Kuna watu wa aina mbalimbali ambao wanaweza saidia watoto wetu.
Ofisi ya Mikopo chuo cha MUST mpaka sasa haijawaingizia baadhi wanafunzi wa mwaka wa kwanza pesa ya kujikimu (boom), pesa ambayo watoto wamesign mwezi wa...
Kwa hili acha niwapongeze Bodi ya Mikopo ya elimu ya juu kwa kuwaongezea ada hawa wadogo zetu huko vyuoni maana hali ilikuwa mbaya sana.
Na nyie wanafunzi someni sasa acheni anasa.
ASANTE.
VACANCY ANNOUNCEMENT
LK Microfinance is a registered Micro Credit company in Tanzania located at Win Win Shopping centre, Mbezi Beach, Plot No157, Kinondoni Municipality, Dar es Salaam. The company hereby invites applications from competent and experienced personnel to fill two vacant...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.