Vijana wengi form six leaver hawana card ya NIDA hivyo huanza kuitafuta pindi wamalizapo shule kwa ajili ya loarn application.
Hata hivyo card ya NIDA haipatikani ndani ya mda kinachopatikana ndani ya mda ni Namba. Tambueni hilo. Nyie ni ,mamlaka ya serikali hivyo mnajua kinachoendelea ...
A STATE SECRET
Kenya is refusing to release the loan contracts for its Chinese-built railway
By Carlos Mureithi
East Africa correspondent
Published January 20, 2022
Kenya has declined to make public the loan contracts for its Chinese-built railway in response to a court petition by two...
Samahan wanaforum..Mimi nliuza mkopo NMB kutoka faidika na bayport na kwenye salary slip deni linaonesha 7,880,000 kila mwezi nakatwa 247,000..Sasa naulza deni linaloonekana kwenye salary slip ndo hilo likiisha basi haudaiwi au kuna deni lingne lisiloonesha kwenye salary slip?
Picha ya pili ni Watanzania tunajifanya kuwa hatujamsikia Samia akidai kuwa amekopa concessional loan ya miaka 20 kwa ajili ya kujenga madarasa, wakati tulishaambiwa kuwa Tozo ni kwa ajili ya kujenga madarasa😁😁😁
Nashauri kama hari ndio hii basi vyuo visiwe vinafunguliwa hadi pale Loan Board inapokamilisha ugawaji wa mikopo na kuhakikisha kila anayestahili kupata amepata na kisha kutangaza kufunga dirisha la kupanga mikopo.
Wanafunzi wanateseka hawajapewa mikopo/accommodation huku masomo yameshaanza...
Dar es Salaam. The government of Tanzania has secured a total of Sh570.6 billion in loans from World Bank for the construction of phases 3 and 4 of the Bus Rapid Transit (BRT), a senior official revealed yesterday.
Phase Three of the BRT project involves construction of infrastructure projects...
HESLB Four Days For 2982 Applicants To Complete Loan Application Procedures The Higher Education Student Loans Board (HESLB) has given four days from October 4-7, this year to 2,982 students who applied for loans in 2021/2022 to make adjustments to complete their application procedures.
For...
Kwa wenye madogo wanaomalizia msoto wakujitakia ndani ya JKT, Bodi imewaongezea siku 10 kuanzia tar 20 hadi 30 ili waweze kuomba mikopo ya elimu ya juu.
Job Positions 35 Loan Officer at Tujijenge Tanzania.
Tujijenge Tanzania’s mission is to improve the quality of life for families in Tanzania through the provision of microfinance. We are a microfinance organisation, offering products through group and individual lending, targeting micro and...
Baada ya tangazo la kuondoa retention fee na tuseme tu haya ndio matokeo ya Rais mpya halafu eti wananchi wanalalamika yule ameondoka wanateseka kumbe Kuna walioibiwa miaka na miaka.
Wajuzi wa haya mambo, unayo hiyo statement na unaendelea kukatwa Deni. Ina maana ipi.
Tanzania inahitaji kuweka wazi data ya ueneaji kwa Covid-19 kabla ya kupata idhini ya mkopo wa dharura wa Dola 574 milioni kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa. Maamuzi hayo yanatokana hali ya kutojulikana kwa takwimu halisi za ugonjwa huo tangu Serikali ilipoacha kuziweka wazi Mei mwaka 2020...
JOB TITLE: Loan Officers (LO’s)- (100 Posts)
Job Responsibilities:
● To build and maintain a substantial and high-quality loan portfolio.
● To conduct members recruitment and screening.
● To orient clients to the particular loan products and services.
● To make groups in all working days in a...
Hebu kila mtu atazame kwa umakini Risiti ya Mshahara (Salary Slip) ya mtumishi huyu (Mwalimu) aliyesoma kwa pesa za bodi ya mikopo - HESLB...
Ni mjadala unaoendelea ktk group moja la WhatsApp huko na hiki ni kilio cha mwalimu huyu ambaye sasa yuko very frustrated na hajui afanyeje ku - overturn...
Nimeenda benki fulani kwa uhitaji wa mkopo wa 8.4m wakanimbia riba 18%.
Baada ya kupewa makato yakawa 195,820 kwa mwezi kwa miaka 6. Sasa nawauliza mbona kiuhalisia sio 18% kama wanavyotuambia kwenye matangazo yao? Wanajibu kwa mujibu wa calculator yao ipo sahihi, hapa ina maana mpaka...
Tanzania: African Development Bank approves $120 million loan to build Malagarasi Hydropower Project
The hydropower plant’s expected average annual output of 181 GWh will meet the electricity needs of as many as 133,649 Kigoma households
ABIDJAN, Ivory Coast, November 26, 2020/APO Group/ --...
FAHAMU KIDOGO KUHUSU LOAN BOARD NDUGU!
Bodi ya Mikopo imewanufaisha watanzania wengi sana ikiwa ni pamoja na kuwajengea watanzania misingi ya kielimu kwa ajili ya future katika maisha yao. Aidha, Asilimia 80 ya wanufaika wa mikopo ya bodi ni wale kina KAYUMBA, yaani watoto wa maskini.
Sheria...
Inasikitisha sana bodi iliyopewa dhamana kuwezesha kupata elimu inavyobadilika na kuwa sehemu ya kuwanyonya watoto wa msikini.
Ukiangalia statement ya marejesho unatakiwa kulipa administration fee, penalty na value retention fee.
Inashangaza sana hayo makato ukifikiria mtu kamaliza chuo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.