loan

  1. Trubarg

    Loan department kwenye benki nyingi hawana privacy

    Unakuta watu wamepanga foleni kusubiri kuingia hizo wanazoziita ofisi za mikopo..so kila atakayeingia bank atakusoma kwamba unaenda kutafuta mkopo...wengine wameweka desk hapo hapo karibu na tellers, kila unachoongea wateja wengine wanasikia.. Sasa why mnashindwa watunzia privacy ya wateja kiasi...
  2. mtwa mkulu

    Loan Board naombeni msinizungushe, shughulikieni tatizo langu

    Wakuu jana nilibaini kuwa mdogo wangu kijijini katika application ya mkopo cheti cha kuzaliwa kilichoambatanishwa hakikuwa kile kilicho thibitishwa. Nilituma Dar es Salaam haraka cheti kilicho hakikiwa na Rita na kuomba mtu akipeleke HESLB, amepeleka wakasema eti ni lazima aliyetuma maombi...
  3. Rufiji

    Renegotiate SGR loan terms to avoid default, House tells Kenyan Treasury

    Kenyan law makers want the government to renegotiate the loan agreements signed with China for the Standard Gauge Railway (SGR) whose viability has come into question despite injection of billions of dollars into the project. The EastAfrican has learnt that the National Treasury is seeking a...
  4. The Assassin

    Benki ya Dunia yachelewesha tena kuipa Tanzania mkopo wa Dola 500M

    Bank ya Dunia imeahirisha kupiga kura ya kuikopesha Tanzania mkopo wenye masharti nafuu wa Dola za kimarekani milioni 500 sawa na shilingi trillioni 1.3 za kitanzania kwa ajili ya kufadhili elimu. Kama mnakumbuka Benki ya Dunia ilikuwa ipige kura wiki hii kuamua kama iikopeshe Tanzania au la...
  5. Jamii Opportunities

    Loan Officer/ Credit Officer at Wezesha Mzawa Microfinance

    Position: Loan Officer/ Credit Officer We are seeking a motivated, experienced Loan Officer/ Credit Officer to join our growing company. In this position, you will evaluate and approve or deny loan applications. You will act as liaison between financial institutions, individuals, and...
  6. Goodluckmkali

    Sasa unaweza kopa hadi shilingi milioni moja za kitanzania kupitia simu yako janja ya mkononi

    Sasa unaweza kopa hadi shilingi milioni moja za kitanzania kupitia simu yako janja ya mkononi na kurejesha kidogokidogo mahali popote na wakati wowote. Ili kupata mkopo inabidi uwe na vitu vifuatavyo:- (a)uwe na kitambulisho, eidha cha kupigia kura, cha taifa au leseni ya udereva. (b)laini ya...
Back
Top Bottom