lockdown

A lockdown is an emergency protocol that usually prevents people or information from leaving an area. The protocol can usually only be initiated by someone in a position of authority. Lockdowns can also be used to protect people inside a facility or, for example, a computing system, from a threat or other external event. Of buildings, a drill lockdown usually means that doors leading outside are locked such that no person may enter or exit. A full lockdown usually means that people must stay where they are and may not enter or exit a building or rooms within said building. If people are in a hallway, they should go to the nearest safe, enclosed room.

View More On Wikipedia.org
  1. J

    Kipindi hiki cha lockdown umejifunza nini?

    Dah hamuwezi amini katika kipindi hiki cha kukaa ndani numejifikiria nanimegundua kwamba p,q,d,b, zote ni herufi moja sema matumizi na mikao ndo inafanya zionekane tofauti. Tupia fikra zako tuedelee ku share ideas mbali mbali
  2. Tindikali

    Aston Villa yafungua lockdown, Samatta apigwa benchi

    Mpira unaendelea mechi ya kwanza baada ya lockdown; Mbwana Samatta anasugua! Dalili mbaya kwa Samatta. Aston Villa 0 Sheffield United 0 Dakika ya 35
  3. abudist

    TBC yapotosha umma makusudi msemaji wa W.H.O hakusema kabisa eti ''lockdown haijasaidia kupunguza virus vya Covid-19''

    TBC yapotosha umma makusudi msemaji wa W.H.O hakusema kabisa eti lockdown haijasaidia kupunguza virus vya Covid-19. Swali na jibu haliusiani kabisa na Lockdown kama waliyoelezea TBC kwenye video hii: Na wala msemaji haongelei kabisa eti kwamba ''lockdown haijazaa matunda ya kupunguza Covid...
  4. babu M

    Coronavirus Warning: Lord Hague warns lockdown is a 'disaster for society'

    ACCORDING to former Conservative Leader and now Tory peer, Lord William Hague, lockdown is a "disaster for our society." Lord Hague’s reasoning is down to the fact the lockdown measures the UK has been experiencing will cause an “economic crisis” for hundreds of thousands of people. As...
  5. Magonjwa Mtambuka

    Lockdown inazidi kuwafinya Wakenya, wanaume watelekeza familia

    Sasa wanaume wameanza kuwakimbia wake zao.
  6. Cannabis

    Aidan Eyakuze: Tanzania kuna lockdown ya takwimu katika vita dhidi ya Corona

    Sweden imekuwa ikisemwa vibaya kwa kujaribu kufuata kinga ya kundi "Herd Immunity" katika mapamabano dhidi ya COVID-19 na kulipa gharama ya vifo vingi zaidi. Uingereza ilijaribu kufuata mlengo huu kwa kipindi kifupi na kuuacha baada ya ongezeko kubwa la idadi za vifo vilivyotegemewa pamoja na...
  7. Venus Star

    Naona maandamano yamepamba moto nchi zenye lockdown

    Nimejaribu kufuatilia maandamano yanayofanyika USA. Ukweli ni kwamba watu wamechoka na lockdown. CORONA kweli ipo lakini kwa jinsi ilivyowekwa ni tofauti na uhalisia. Nimeona maamdamano Italy, USA nk. Watu wananjaa wanaingia kwenye maduka na kubomoa.
  8. Mathanzua

    A South African court rules lockdown restrictions ‘Irrational.’

    SA court rules lockdown restrictions ‘irrational’ A South African court has found some coronavirus lockdown regulations imposed by the government “unconstitutional and invalid”. The judge picked out rules around funerals, informal workers and amount of exercise as “irrational”. The...
  9. M

    Nakubali busara za Rais Magufuli dhidi ya lockdown iliyosababisha Ulaya kukoma njaa kutaka kujiua

    Kuna wanaofikiri kukosoa ni kuchukia, lakini wanaojua siasa za kweli wanajua kukosoa ni kujenga, hasa kama unakosoa kujenga sio kubomoa. Pia, kwenye siasa kuna kusifia pia, hivyo leo namsifu rais wetu, sio kwamba mie ni CCM, in fact sina chama, ila mwananchi na rais ni wa nchi nzima sio chama...
  10. RAKI BIG

    #COVID19 Uganda bado Covid19 ni tatizo, lockdown ipo palepale

    Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema kuwa Shule, makanisa, misikiti, vilabu, vilabu vya usiku, maeneo ya kufanyia mazoezi na saluni za urembo zitaendelea kufungwa ili kuepuka maambukizi ya virusi vya corona. Museveni amesema kuwa si rahisi kwa maeneo hayo kufuata masharti ya kutochangamana...
  11. Magonjwa Mtambuka

    Lockdown yazidi kuleta hasira Kenya

    Joto la jiwe linazidi kuwa moto huko kwa manyang'au hadi uvumilivu unaanza kuwashinda. Yaani wanasiasa wanawala jamaa hivi hivi huku hali inazidi kuwa mbaya kwa vijana wasiojua mbele wala nyuma. Eti ni kwa sababu ya vita dhidi ya corona.
  12. kavulata

    Kenya tumieni takwimu kwenye lockdown ya CORONA

    COVID-19 imeua watu 55 Kenya tangu Mwezi March 2020 hadi May 2020. Kabla ya kuendelea na lockdown ya CORONA toweni takwimu ya vifo kutokana na magonjwa mengine Kama Malaria, TB, HIV, ajali za bodaboda katika kipindi Cha kuanzia March- May 2020 same period ili kuona Ni ugonjwa gani umeua wakenya...
  13. mkiluvya

    Watanzania waliokwama kwa lockdown Afrika Kusini warejea nchini

    Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini Meja Jenerali (Mst) Gaudence Milanzi Jumatatu Mei 25, 2020 amesimamia zoezi la repatriation (usafirishaji) wa dharura) ya Watanzania pamoja na raia kadhaa wa nchi hiyo waliokwama kutokana na Lockdown na kusitishwa safari za ndege inayoendelea huko, kutoka...
  14. Geza Ulole

    Coronavirus lockdown: Kenyans given poisonous food relief

    ======= NAIROBI, Kenya May 25 – Several people were affected after consuming relief food distributed in Kikuyu Constituency on Sunday. The food, branded William Ruto Foundation and Kimani Ichung’wah, also had labels of “Stay Safe Ichung’wah, who is the area MP, has however, issued a statement...
  15. YEHODAYA

    Chadema wabunge kuji-lockdown bila wapiga kura ni kukimbia vita na usaliti, hawafai

    Kwenye Vita viongozi hutakiwa kuwa mstari wa mbele kupigana bega kwa bega wakishiriana na wapiga kura Wabunge wa chadema kwa hofu ya corona walikimbia wakaitelekeza kwa wapiga kura wao eti wanaogopa kufa kwa corona Wakaacha wapiga kura wao ambao hata hela ya barakoa hawana waendelee kupambana...
  16. Mzukulu

    Je, na Wewe hapo ulipo ulikuwa unazijua hizi athari Kuu zitokanazo na 'Coronavirus' na 'Lockdown' Kijamii?Co

    Ni kwamba Coronavirus imegundulika kuwa 98% inawauwa sana Wanaume na kwa Wanawake ni kwa Kiwango cha chini. Hata hivyo imegundulika ya kwamba hizi Lockdown hazipendwi (hazitakiwi) kabisa na Wanawake kwakuwa wanasema uwepo wa Wanaume Majumbani 24/7 umesababisha Majanga, Matatizo na Mateso makubwa...
  17. The Boss

    Against lockdown

  18. M

    Rais Kenyatta: Hatuwezi kuendelea na lockdown

    - Rais alisema serikali imeafikia uamuzi wa kuwa haiwezi kuendelea kuwafungia watu - Alisema sasa itafikia wakati wa watu wenyewe kujilinda dhidi ya maambukizi ya coronavirus - Nchi jirani ya Tanzania ni mojawapo wa zile ambazo hazikufunga shughuli zake za kuchapa...
  19. mimitungi

    Asante Rais Magufuli: Polepole tunaanza kuelewa maana ya Lockdown

    Hii vita ya Covid19 ukiikurupukia bila kujua tunapelekwa wapi unaweza usimwelewe Rais wetu. Je? Wajua nini kilikuwa kinaendelea kwa nchi zilizo chini ya lockdown? Tafadhali pitia hizi video kwa umakini 1; 2: 3:
Back
Top Bottom