logo

  1. Damaso

    Besiktas' new logo

    Besiktas' new logo 👏 Spot the difference 👇👇
  2. T

    Msaada kuhusu TradeMark Logo

    Natumaini hamjambo. Nina jambo ambalo linahitaji muongozo: Nina Kampuni,imesajiliwa kwa jina furani. Imejitokeza kampuni nyingine, yenye jina kama la yangu. Activities ni tofauti. Sasa, wanaomba niwaruhusu watengeneze trademark logo ya kampuni yao. Alieniandikia, ni mwanasheria, anadai ni...
  3. Mnyilinga Digital

    Mnyilinga Digital (MD) New Logo

    Mnyilinga digital logo (MD) new 2025 designed by Mnyilinga graphics. Mnyilinga Digital tunatambulisha logo yetu mpya 2025 Wana jamii forums kama unataka logo kali wasiliana na +255 741 502 775
  4. J

    ❇️NEMBO (LOGO) RASMI YA UVCCM KIJANI AWARDS NA UVCCM ALUMNI FORUM!

    ❇️NEMBO (LOGO) RASMI YA UVCCM KIJANI AWARDS NA UVCCM ALUMNI FORUM! Tunaweka msingi wa kuwatambua vijana walio mstari wa mbele katika kufanikisha maono ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa mustakabali wa Taifa letu. Hii inatufundisha kuwa kila kijana ana nafasi ya kuleta mabadiliko chanya katika...
  5. Meneja Wa Makampuni

    Leo tutakua na ofa ya kudesign logo kali ya wino wa GOLD kwa TSH 30,000 tu

    LOGO KALI INAKUZA BRAND YAKO Leo tutakua na ofa ya kudesign logo kali kama hii yenye wino wa GOLD kwa TSH 30,000 Logo kali kama hizo utazipata kwetu tu. WHATSAPP: 0612607426 WECHAT: bandg_editors Bright AND GENIUS GRAPHICS KARIBU
  6. Meneja Wa Makampuni

    Unatafuta logo zitakazobamba kwenye biashara yako? Zinapatikana hapa

    Kama unahitaji logo kali kwaajili ya biashara yako basi usikose kupitia hapa ili uchague zipo design mbalimbali za logo: https://campuscitymall.com/cart/HX9v8aGNRZPLdQfXMeUvePaj7Pq1/buyeasy/21fpXLJTCEyNC6y4QFxd
  7. X

    Aliyebuni logo ya Toyota apewe maua yake kama hauna "A" tatu hauwezi kuelewa logo hiyo ina jina la kampuni

    Kwenye biashara iwe ni service provider au manufacturer kuna kujenga brand name lakini pia kuna logo ambayo kazi yake kubwa ni kuitambulisha brand yenyewe. Logo ni sehemu muhimu ya kutangaza brand, huduma, bidhaa au biashara. Ni moja ya kipengele ambacho kinahitaji designer mbunifu sana ili...
  8. Brightburn

    Ofa kwa wamiliki wa biashara!

    Service is temporarily suspended.
  9. kavulata

    Toyota cup, Kumbe Yanga inaweza kuvaa logo nyekundu bila kupata mikosi.

    Kule Afrika Kusini Yanga imecheza na Kaizer Chiefs kombe la TOYOTA na kulazimika kuvaa logo ya TOYOTA kifuani mwa jezi yenye rangi nyekundu. Binafsi nilidhani Yanga inakataa logo za wadhamini zenye rangi nyekundu kwa kuhofia kupata mikosi ya kufungwa kumbe bwana hakuna kitu hicho ni hofu tu...
  10. tustary software develope

    Tunatoa huduma bora za graphic design kwa bei nafuu

    Je, unahitaji huduma bora za Graphic Design? Kama jawabu ni ndio! Basi hii ni sehemu sahihi ya kutatua haja yako. Tunatoa huduma bora za graphic design kwa bei nafuu: 🔹 Huduma ya Logo design zenye kuvutia na za kipekee. 🔹 Huduma ya business Card design. 🔹 Huduma ya Flyer 🔹 Huduma ya poster...
  11. tustary software develope

    Jipatie logo kwa bei nafuu

    Logo ni utambulisho wa biashara yako sokoni Umuhimu wa Logo ni kama umuhimu wa kitambulisho Logo inatumika kuonyesha umiliki wa bidhaa na huduma zako Kufanya biashara bila logo ni sawa na kufanya biashara bila utambulisho Karibu tukusaidie upate logo inayowakilisha biashara yako Logo zetu...
  12. Meneja Wa Makampuni

    Tunatafuta watu wa kudesign logo, cover na poster za kuvutia

    Habari wakuu, Tunatafuta watu wa kudesign logo, cover na poster za kuvutia. KAMA UNAWEZA KAZI HII EMBU TUTAFUTE WHATSAPP: 0747744895 KARIBU
  13. Godee jr

    Serengeti Lager tunaomba logo ya zamani

    Kwa heshima kubwa naomba Serengeti mrudishe logo ya zamani. Hii mpya ni mbaya sana. Imefanana sana Balimi na hichi kitu sijakipenda. Sijui nani alifanya huu utafiti na kuamua kuja na hii aisee ila ni mbaya. Acha nyeusi ibaki nyeusi na kijani ibaki kijani
  14. Cute Wife

    Zitto kamaanisha nini hapa? Anaiaga logo au anakihama chama?

    Kupitia ukurasa wake wa Instagram Zitto Kabwe amepost logo ya ACT-Wazalendo na kuandia ushairi huu; "Huzuni imenijaa Machoji yamejaa Moyoni kumepwaa Kukuacha hatimaye "Mlongo umenifaa Umekuwa kifaa Umenipa shifaa Kukuacha mtihani "Kubidi imebidi Tukulie idi Kavazini akidi Kwaheri mpenzi...
  15. S

    Msaada: Namna ya kufanya Docomo s10 Plus kusoma samsung s10 Plus inapowaka badala ya Docomo

    Wakuu habari za mida! Nilinunua simu mkoa wa kigoma nikizani nmenunua samsung galaxy s10 plus... kumbe nmenunua docomo s10 plus sasa kinachonikera ni kuona ikiwaka inaonesha logo ya docomo bafala ya samsung inaonesha
  16. Baba Rhobi

    Msaada Kitochi cha Tigo, kimestack on logo

    Wakuu kama title inavyojieleza nina kitochi hapa huwa kinanisevu sana ku hotspot PC na simu yangu muda mwingine, sasa kinaboot kinaishia kwenye logo. Nahitaji msaada namna ya kukiflash, hii ni mara ya pili kinarudia hili, mara ya kwanza kilitokea nikakipeleka kwenye Tigo shop yao Dodoma...
  17. yalekegraphix

    Wahi offer hii ya kudizainiwa logo mwezi wa makopa

    .
  18. J

    Ina maana Caf hawajui logo ya Yanga au ni dharau?

    Ukicheki club nyingine kama Simba, Wydad, Mamelodi, Mazembe, Al Ahlyna nyinginez majina yao yameandikwa huku pembeni yake kuna logo isipokuwa Yanga na vitimu vingine vidogo Najiuliza ni kuwa hawaifahamu logo ya Yanga au ni dharau? Maana Yanga imecheza fainali ya Shirikisho na kuvaa medali...
  19. JanguKamaJangu

    Eti Kwa hii picha na hizo logo huyu ni mchezaji gani?

    Mdau wa michezo hasa soka, unadhani Mchezaji huyu aliyecheza katika klabu husika zilizotajwa kwa Mfumo wa Nembo anaitwa nani?
Back
Top Bottom