loliondo

  1. M

    Suala la Loliondo ni muendelezo tu(halijaanzia mwaka huu)

    Wednesday, 30 December 2015 OBC - Hunters from Dubai and the Threat against 1,500 km2 of Maasai Land in Loliondo It’s been some time since I wrote a summary about OBC and the 1,500 km2, a lot has happened, and there has been much misinformation, mostly from government and “investors”, but...
  2. M

    Picha: Uwekaji alama Loliondo, mitutu ya bunduki kama Mogadishu Somalia

  3. MIMI BABA YENU

    Ukweli kuhusu vurugu zilizotokeza Loliondo

    Katika Hospitali na vituo vya afya vyote vya Mkoa wa Arusha hakuna majeruhi wa vurugu zilizojitokea wakati Wamasaai wakizuia zoezi la uwekaji wa mipaka katika Pori Tengefu la Loliondo, Imeelezwa kuwa kama kuna watu waliojeruhiwa katika virugu hizo wajitokeze ili wapatiwe matibabu Imebainika...
  4. figganigga

    Ngorongoro - Loliondo: Askari Polisi amekufa baada ya kupigwa Mshale mmoja tu, RC Mongella amlilia

    Askari Polisi mmoja ameuawa kwa kupigwa mshale wilayani Ngorongoro mkoani Arusha wakati wa zoezi la uwekaji mpaka katika eneo la pori tengefu kwenye Tarafa ya Loliondo. Taarifa hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella akisema kwamba kifo hicho kilitokea Juni 10 alasiri, na...
  5. figganigga

    Mizengo Pinda: Wananchi wa Loliondo wanaohofia kuhamishwa, wasiwe na Wasiwasi (Machi, 2013)

    Salaamm Wakuu, Hapa chini ni barua ya aliyekuwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda, aliyomuandikia Mkuu wa Mkoa wa Arusha wakati huo Magesa Mulongo, akitaka akawaondoe Wasiwasi Wananchi wa Loliondo wanaohofu kwamba Watahamishwa. Tuisome kwa Pamoja na tutafakari, je kulikuwa na Lazima ya kutokukaa meza...
  6. Determinantor

    Mwambieni Spika waliorekodi tukio la Loliondo hawa hapa

    Nasimamia upande wa Wamasai, kamwe SERIKALI ya CCM haijawahi kuwa agenda njema kwa nchi hii.. Tulia Akson anataka watafutwe waliorekodi tukio la kinyama la Loliondo, sasa asipate shida. Hawa hapa Chini.
  7. GENTAMYCINE

    Spika Tulia mkishamkamata wa Picha ya Loliondo muunganisheni pia na akina Kitenge na Oscar waliorekodi ile yao

    Hakuna kitu GENTAMYCINE nakichukia kama Unafiki na Kuonea Watu hovyo. Sasa nami nasema Kwako Spika wa Bunge Dk. Tulia Ackson kuwa ukishaletewa huyo uliyeamuru kuwa akamatwe kwa Kupiga Picha Loliondo tafadhali amrisha pia na Mtangazaji wa EFM Maulid Kitenge na Mchambuzi wa Mpira Oscar Oscar nao...
  8. Taifa Digital Forum

    Zoezi la 'Beacons' Loliondo lamuibua Mkuu wa Mkoa John Mongella

  9. Shujaa Mwendazake

    Buriani: Babu wa Loliondo kuzikwa kesho kijijini Samunge

  10. Ngongo

    TANZIA Ambilikile Mwasapile, maarufu 'Babu wa Loliondo' afariki Dunia

    Ambilikile Mwasapile maarufu kama Babu wa Loliondo amefariki dunia akipatiwa matibabu Kituo cha Afya cha Digodigo baada ya kuzidiwa gafla leo Mchana. Mwili wake umehifadhiwa Hospitali ya Wilaya ya Ngorongoro, Waso. Babu wa Loliondo aliugua muda mrefu na kujitibu kwa miti shamba, alipoenda...
  11. technically

    #COVID19 Babu wa Loliondo: Nileteeni wachache wenye Corona waone!

    Asema watu waende wapate kikombe amesema hakuna ugonjwa unaoshindikana kutibika kwa dawa zake alizooteshwa na Mungu. --- WAKATI Dunia ikiwa kwenye taharuki kubwa ya kupambana na maradhi ya ugonjwa wa Covid 19 unaosababishwa na virusi vya corona baada ya kuendelea kuua maelfu ya watu duniani...
  12. Erythrocyte

    Babu wa Loliondo Ambilikile Mwaisapile Taifa lote linakusikiliza , Toa neno mzee wetu

    Wewe Mzee ni miongoni mwa Tunu ya Taifa , una maono makali sana , sisi wajukuu zako tunakutegemea utoe mwongozo wa Sintofahamu iliyopo . Tunatanguliza Shukrani
  13. R

    Nauli ya kutoka Loliondo kwenda Arusha imebadilika bila kutangazwa na SUMATRA

    Tangia mwezi Desemba nauli ya kutoka Loliondo kwenda Arusha ilipanda kutoka 20,000 hadi 25,000. Mabadiliko haya hayakutangazwa na SUMATRA. Miaka miwili iliyopita nauli ya kutoka Loliondo mto wa mbu kwa bus ilikuwa 17,500 ikaja kubadilika kimya kimya ikawa 20,000 na sasa ni 25,000. Naomba...
  14. Jembe Jembe

    Wafanyakazi 10 wa Mfalme wa OBC, Loliondo wapanda kizimbani

    Wafanyakazi 10 raia wa kigeni wenye asili ya Asia wa kasri la mfalme wa Abu dhabi inayosimamiwa na Kampuni ya Ortelo Business Coparation(OBC) iliyopo eneo la Loliondo wilayani Ngorongoro,Mkoani hapa wamepandishwa kizimbani kwa kosa la kufanyakazi nchini kinyume cha sheria za ajira kwa wageni ...
  15. Mwanahabari Huru

    Profesa Maghembe katumwa kuivuruga Loliondo?

    PROFESA Jumanne Maghembe, Waziri wa Maliasili na Utalii, ameendelea kutoa kauli zinazoidhalilisha Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Jeuri hiyo anaitoa wapi? Maghembe, kwa mfano, ametoa kauli dhidi ya raia wa Tanzania wanaoishi katika vijiji vilivyopo tarafa za Loliondo na Sale katika...
  16. HNIC

    Wamaasai wa Loliondo: Waziri Lazaro Nyalandu analiongopea Taifa & Rais

    Taarifa ya Haraka kwa Vyombo vya Habari Kuhusu Mgogoro wa Ardhi Loliondo Sisi Viongozi wa Mila, Kisiasa, Wawakilishi wa Wanawake tumesikitishwa sana na Taarifa ya uongo aliyoitoa Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu juu ya ukweli wa Mgogoro wa Loliondo. Ifuatayo ni ufafanuzi wa...
  17. R

    Loliondo: Mwarabu wa Dubai anavyosakama Wamasai kupitia Serikali

    Mwarabu wa Dubai anavyong'ang'ania ardhi ya Wamasai Loliondo na anusukuma Serikali hadi serikali inapinda sheria ili kumpendeza na kumtimizia haja yake. Waziri wa Maliasili amefika Loliondo mara 3 na kila mara anasisitiza kuwa ni lazima serikali itaongea na mwarabu ili ardhi anayotumia sasa...
  18. Father of All

    Hivi Loliondo iliyouzwa na Mwinyi kwa waarabu isharejeshwa?

    Kwa wanaokumbuka kashfa iliyotikisa nchi wakati wa utawala wa Ali Hassan Mwinyi ya Loliondo watakuwa na mengi ya kusema. Je yule mwarabu Brigedia Ali wa falme za kiarabu ndiye huyu huyu aliyesafirisha twiga hivi karibuni? Je, serikali ilisharejesha mbuga yetu au wamekuwa wakirithishana...
  19. Invisible

    JF Exclusive: Wawindaji tuliowauzia wanyama na ardhi yetu tukichekelea!

    Sijui kama mnanisoma....! Vyombo vya Usalama kwa sasa ni Dhaifu Rais wa sasa ni Dhaifu Bunge Dhaifu kabisa! Watanzania ni Dhaifu. Nchi kama haina Amiri Jeshi Mkuu.
Back
Top Bottom