Mwanamke akishapenda huwa anasahau kila kitu na anaenda kwa hisia pekee.
Yaani kuna mwanaharakati mmoja anaandika sana mitandaoni, lakini akija huku ni tofauti kabisa kwasababu amezama kwenye mapenzi.
Ni dhahiri kwamba mwanamke ni mwaminifu kwa hisia zake tu.
Love me the way I am. Ni sentensi moja ya kipumbavu sana, wanawake wanatumia hasa pale akijua ana tatizo na hataki kulitatua.
Kuna situation hiyo statement inaweza kua na mantiki mfano una chongo, au ulemavu wa aina yoyote ile ndio unaweza mwambia mtu love me the Way I am.
Ila kama...
SUMAYA FATE OF LOVE
SEHEMU YA PILI
Lakini alijitahidi asioneshe hilo kwa Mama yake lakini damu ni nzito kuliko maji Zuleya aliitambua vema hali aliyonayo Sumaya nae alificha hilo mpaka atakapo pata nafasi ya kuzungumza nae kwa uzuri zaidi na hata hivyo tabia za Sumaya hazikuwa tofauti sana...
Ni simulizi inayohusu familia, mapenzi, kazi na safari ya maisha kwa ujumla.
Ungana na mimi katika simulizi hii…..
SEHEMU YA KWANZA
TANZANIA
1995
“Pushhhhhh!!!!!”
“Mrs Hernad jitahidi sukuma mtoto yupo karibu kutoka jitahidi yaani bado kidogo tu.. sukuma!!!”
“Nurse I can’t.. do it anymore…...
Na hapa ndiyo Kosa Kubwa Marais wengi Wateule hasa wa Barani Afrika huwa mnafanya kwa kuja na Honey Speech zenu tena za Kusisimua na kutia Moyo ila implementation huwa ni Zero.
Rais Mteule wa Kenya Dk. William Ruto baada ya kukusikiliza Kiumakini na Hotuba yako ambayo kwa 90% imelenga Uchumi wa...
Afisa Ustawi wa Jamii wa Jiji la Dar es Salaam, Joyce Maketa, amesema kwamba miongoni mwa mambo yanayovuruga ndoa hadi kupelekea wanandoa kuachana inasababishwa na wanaume kuomba mahusiano kinyume na maumbile.
Kauli hiyo ameitoa hii leo Septemba 6, 2022, jijini Dar es Salaam, kwenye kipindi cha...
Wakuu, nawatakieni amani na furaha mioyoni mwenu. Leo nina mada fupi tu kwa wote ambayo naomba tujadili.
Katika mahusiano ya mapenzi, hasa kwenye ndoa, kuna tofauti kubwa sana kati ya nini atakacho mwanamume na nini atakacho mwanamke.
1. Kwako mwanamke- Elewa kwamba heshima (respect) pekee...
Upendo ni jambo adhimu sana ambalo sisi wanadamu ni lazima tulifanye, sio tuliongelee tu.
Mbwa ukimwambia I LOVE YOU hawezi kukuelewa. Ila ukimuonyesha upendo atakuelewa sana, na atakupenda pia.
Je, huyo unayemwambia unampenda, je unamuoneshaje huo upendo?
1 KOR 13
Karama ya Upendo...
KARMA says;
You'll certainly fall in love with someone who doesn't love you at all. Infact you'll be his/ her pet hate...she/ he will hate you with a great passion
....Just because you didn't love back someone who loved you so much before.In this case,KARMA will be playing its role in terms of...
Habari za jukwaani,
NIMEKUJA hapa kuomba love partner Kwa msichana / mwanamke aliye mpweke au asiye na furaha katika mahusiano,
Mimi Nina miaka 33+ lakini sichagui umri, dini, kabila wa Rangi...!
Naomba Kwa aliye muelewa na aliye tayari aje PM tufahamiane zaidi
LOVE BITE
♥️🔥
SEHEMU YA KWANZA ( 01 )
Ni siku ya jumapili iliyokuwa na kila aina ya mchanganyiko wa watu kutoka sehemu mbali mbali walionekana kwenye kumbi za starehe.
Wengi ambao walikua wanapenda taarab basi walijazana travertine hotel kuwaangalia jahazi.
Kwa wengine wanaopenda bongo...
𝗧𝗛𝗘 𝗠𝗢𝗗𝗘𝗥𝗡 𝗪𝗔𝗥
(𝗩𝗶𝘁𝗮 𝘆𝗮 𝗸𝗶𝘀𝗮𝘀𝗮)
𝗠𝘁𝘂𝗻𝘇𝗶:𝘀𝗮𝘂𝗹 𝗱𝗮𝘃𝗶𝗱
𝗪𝗵𝗮𝘁𝘀𝗮𝗽: 0756862047
𝗨𝗧𝗔𝗡𝗚𝗨𝗟𝗜𝗭𝗜...
"Mwanzo ilikuwa ni vita rahisi sana, vita dhidi ya ndugu yangu wa damu aliyeenda kinyume na kanuni za maisha ya utu. Sikujua kwa kufanya hivi ningeamsha vita nyingine kubwa ambayo ipo juu kabisa ya uwezo wangu...
Uzi huu ni wa mapenzi wenye mfululizo wa picha za kustaajabisha zinazoakisi upendo kwa njia tofauti tofauti. Pia kutakua na nukuu zinazohusu mapenzi yan maneno matamu yenye upendo wa dhati na yanayogusa moyo na kuvunja moyo. Karibuni
Life is Love on my side I real Appreciate Mama Samiah as the president she is doing well
No bullets
No Kidnap
No injustice
RIP JPM
RIP Benjamin
As well There's someone else called Sabaya from Massai tribe i guess so I wish this man to save his lifetime in Jail at least 80 years so Mama please...
Habari za muda huu 'Wajumbe'.
Heshima yenu nawapa...
Nimekaa na kufikiria sana, nikagundua karibia kila mtu anahitaji mtu mwingine kwa ajili/sababu flani flani ili kuwezeshana kufika mahala fulani.
Maisha ni kutafuta na kutegemeana. Hivyo basi, hata uwe katika hali nzuri sana 'Title', hali ya...
Hello wanajamvi,
Natumai mko poa kabisa na mnaendelea vema na weekend!! Kwa wale mashabiki wote [simba na yanga] nawatakia ushindi lakini sipendi yoyote afungwe for the sake ya furaha ya marafiki na jamaa zangu waliogawanyika katika kambi hizo mbili na wote nawapenda.
Back to the topic;
Leo...
Brazil is a big country in South America that has a lot of people who speak Portuguese. The capital is Brasilia, and the country is called the Federal Republic of Brazil. Beautiful: Brazil is a beautiful country that has a beautiful landscape, like this one.
One of the characteristics of a...
Baada ya mwaka jana kuweka wazi kuwa amefanya upasuaji (sajari) za dimpozi na umbile kwa ujumla, mwanamama Muna Love amejitokeza na kuwasihi watu kutofanya sajari kwani anajuta na kuahidi kuweka wazi madhara yake hivi karibuni.
Muna Love ambaye anadaiwa kulazwa hospitalini kutokana na madhara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.