love

  1. Execute

    Mwanamke anakuwa na akili pale tu anapokuwa hajazama kwenye mapenzi

    Mwanamke akishapenda huwa anasahau kila kitu na anaenda kwa hisia pekee. Yaani kuna mwanaharakati mmoja anaandika sana mitandaoni, lakini akija huku ni tofauti kabisa kwasababu amezama kwenye mapenzi. Ni dhahiri kwamba mwanamke ni mwaminifu kwa hisia zake tu.
  2. Cvez

    Love me the way I am

    Love me the way I am. Ni sentensi moja ya kipumbavu sana, wanawake wanatumia hasa pale akijua ana tatizo na hataki kulitatua. Kuna situation hiyo statement inaweza kua na mantiki mfano una chongo, au ulemavu wa aina yoyote ile ndio unaweza mwambia mtu love me the Way I am. Ila kama...
  3. Montan_ious

    SIMULIZI: Sumaya Fate of Love

    SUMAYA FATE OF LOVE SEHEMU YA PILI Lakini alijitahidi asioneshe hilo kwa Mama yake lakini damu ni nzito kuliko maji Zuleya aliitambua vema hali aliyonayo Sumaya nae alificha hilo mpaka atakapo pata nafasi ya kuzungumza nae kwa uzuri zaidi na hata hivyo tabia za Sumaya hazikuwa tofauti sana...
  4. Montan_ious

    Simulizi: Sumaya fate of love

    Ni simulizi inayohusu familia, mapenzi, kazi na safari ya maisha kwa ujumla. Ungana na mimi katika simulizi hii….. SEHEMU YA KWANZA TANZANIA 1995 “Pushhhhhh!!!!!” “Mrs Hernad jitahidi sukuma mtoto yupo karibu kutoka jitahidi yaani bado kidogo tu.. sukuma!!!” “Nurse I can’t.. do it anymore…...
  5. GENTAMYCINE

    Rais Dk. William Ruto nimependa IQ yako, Commitment, daring na your Love for Kenyans, ila huna Uchumi wa kutenda Uliyoyaahidi

    Na hapa ndiyo Kosa Kubwa Marais wengi Wateule hasa wa Barani Afrika huwa mnafanya kwa kuja na Honey Speech zenu tena za Kusisimua na kutia Moyo ila implementation huwa ni Zero. Rais Mteule wa Kenya Dk. William Ruto baada ya kukusikiliza Kiumakini na Hotuba yako ambayo kwa 90% imelenga Uchumi wa...
  6. Sildenafil Citrate

    Maketa: Tendo la ndoa kinyume cha maumbile ni chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika

    Afisa Ustawi wa Jamii wa Jiji la Dar es Salaam, Joyce Maketa, amesema kwamba miongoni mwa mambo yanayovuruga ndoa hadi kupelekea wanandoa kuachana inasababishwa na wanaume kuomba mahusiano kinyume na maumbile. Kauli hiyo ameitoa hii leo Septemba 6, 2022, jijini Dar es Salaam, kwenye kipindi cha...
  7. Nyenyere

    Siri ya kudumu kwenye mahusiano

    Wakuu, nawatakieni amani na furaha mioyoni mwenu. Leo nina mada fupi tu kwa wote ambayo naomba tujadili. Katika mahusiano ya mapenzi, hasa kwenye ndoa, kuna tofauti kubwa sana kati ya nini atakacho mwanamume na nini atakacho mwanamke. 1. Kwako mwanamke- Elewa kwamba heshima (respect) pekee...
  8. Bujibuji Simba Nyamaume

    Upendo ni lugha ya vitendo sio ya maneno matupu, kama huamini mwambie mbwa I LOVE YOU kama atakuelewa

    Upendo ni jambo adhimu sana ambalo sisi wanadamu ni lazima tulifanye, sio tuliongelee tu. Mbwa ukimwambia I LOVE YOU hawezi kukuelewa. Ila ukimuonyesha upendo atakuelewa sana, na atakupenda pia. Je, huyo unayemwambia unampenda, je unamuoneshaje huo upendo? 1 KOR 13 Karama ya Upendo...
  9. Raymanu KE

    Ukimpotezea anayekupenda kwa dhati ni deni lazima utakuja kulipa

    KARMA says; You'll certainly fall in love with someone who doesn't love you at all. Infact you'll be his/ her pet hate...she/ he will hate you with a great passion ....Just because you didn't love back someone who loved you so much before.In this case,KARMA will be playing its role in terms of...
  10. D

    Natafuta 'Love partner'

    Habari za jukwaani, NIMEKUJA hapa kuomba love partner Kwa msichana / mwanamke aliye mpweke au asiye na furaha katika mahusiano, Mimi Nina miaka 33+ lakini sichagui umri, dini, kabila wa Rangi...! Naomba Kwa aliye muelewa na aliye tayari aje PM tufahamiane zaidi
  11. Omaryjr1

    Love bite sehemu ya kwanza

    LOVE BITE ♥️🔥 SEHEMU YA KWANZA ( 01 ) Ni siku ya jumapili iliyokuwa na kila aina ya mchanganyiko wa watu kutoka sehemu mbali mbali walionekana kwenye kumbi za starehe. Wengi ambao walikua wanapenda taarab basi walijazana travertine hotel kuwaangalia jahazi. Kwa wengine wanaopenda bongo...
  12. SIMULIZI RIWAYA

    Simulizi ya kipelelezi na love story kali ndani yake; The Modern War (Vita ya Kisasa)

    𝗧𝗛𝗘 𝗠𝗢𝗗𝗘𝗥𝗡 𝗪𝗔𝗥 (𝗩𝗶𝘁𝗮 𝘆𝗮 𝗸𝗶𝘀𝗮𝘀𝗮) 𝗠𝘁𝘂𝗻𝘇𝗶:𝘀𝗮𝘂𝗹 𝗱𝗮𝘃𝗶𝗱 𝗪𝗵𝗮𝘁𝘀𝗮𝗽: 0756862047 𝗨𝗧𝗔𝗡𝗚𝗨𝗟𝗜𝗭𝗜... "Mwanzo ilikuwa ni vita rahisi sana, vita dhidi ya ndugu yangu wa damu aliyeenda kinyume na kanuni za maisha ya utu. Sikujua kwa kufanya hivi ningeamsha vita nyingine kubwa ambayo ipo juu kabisa ya uwezo wangu...
  13. Axel Norid

    Kupitia Macho Yangu with passion for Love

    Uzi huu ni wa mapenzi wenye mfululizo wa picha za kustaajabisha zinazoakisi upendo kwa njia tofauti tofauti. Pia kutakua na nukuu zinazohusu mapenzi yan maneno matamu yenye upendo wa dhati na yanayogusa moyo na kuvunja moyo. Karibuni
  14. DR HAYA LAND

    Love others as you love ur self Mama Prove them wrong

    Life is Love on my side I real Appreciate Mama Samiah as the president she is doing well No bullets No Kidnap No injustice RIP JPM RIP Benjamin As well There's someone else called Sabaya from Massai tribe i guess so I wish this man to save his lifetime in Jail at least 80 years so Mama please...
  15. Others

    Wajumbe tupeane "connections"

    Habari za muda huu 'Wajumbe'. Heshima yenu nawapa... Nimekaa na kufikiria sana, nikagundua karibia kila mtu anahitaji mtu mwingine kwa ajili/sababu flani flani ili kuwezeshana kufika mahala fulani. Maisha ni kutafuta na kutegemeana. Hivyo basi, hata uwe katika hali nzuri sana 'Title', hali ya...
  16. Maria Nyedetse

    Ushauri wa bure: Never share your nude pictures or videos by the pretext of love at any cost

    Hello wanajamvi, Natumai mko poa kabisa na mnaendelea vema na weekend!! Kwa wale mashabiki wote [simba na yanga] nawatakia ushindi lakini sipendi yoyote afungwe for the sake ya furaha ya marafiki na jamaa zangu waliogawanyika katika kambi hizo mbili na wote nawapenda. Back to the topic; Leo...
  17. Mia saba

    Tusimulie love story yako kwa kifupi tujifunze

    Nilimwona nikadhani malaika wazam Yuko duniani Nikamtamani kwa uzuri uliopitiliza Nikatongoza - ikagoma Nikatongoza - nikapewa shit Nikatongoza - nikapewa namba Uhusiano - miez 1 na nusu Omba mzigo - kachomoa Omba mzigo - ntakuja kukutembelea. Nikateleza😋 Akakagua simu - akapata presha Nikaomba...
  18. M

    Meet the town where women find men to love and marry them

    Brazil is a big country in South America that has a lot of people who speak Portuguese. The capital is Brasilia, and the country is called the Federal Republic of Brazil. Beautiful: Brazil is a beautiful country that has a beautiful landscape, like this one. One of the characteristics of a...
  19. John Haramba

    Muna Love ajutia kufanya upasuaji wa kutengeneza mwili wake

    Baada ya mwaka jana kuweka wazi kuwa amefanya upasuaji (sajari) za dimpozi na umbile kwa ujumla, mwanamama Muna Love amejitokeza na kuwasihi watu kutofanya sajari kwani anajuta na kuahidi kuweka wazi madhara yake hivi karibuni. Muna Love ambaye anadaiwa kulazwa hospitalini kutokana na madhara...
Back
Top Bottom