Ni hisia ya pekee sana pale unapo tambua kuwa umependa kwa mara ya kwanza, wengine hupenda ukubwani na wengine katika kipindi cha makuzi yao hasa wanapo balehe. Niwapongeze wote mlio fanikisha kuwapata wapenzi wenu wa kwanza kabisa mlio wapenda, kwa upande wangu mimi haya ndio yaliyonikuta kwa...
Unapomsaidia mtu pasipo kutarijia feedback yoyote kutoka kwake ni uncondioned love/agape love, mfano unapomsomesha mchumba wako bila kutarajia kuwa baadae utamuoa, Endapo ataleta pingamizi.
Unapomsaidia mtu kwa kutarajia kwamba atakuripaa baadae hiyo ni conditioned love.
Sasa kuna watu kwenye...
Kwa wale ambao walishaota wanakojoa na wakajikojolea ndo wanaweza kuelewa hicho kichwa cha mada!.
"Love is about flowing".
Mkikutana wawili mliokutanishwa na upendo wakweli hamuwezi tumia nguvu katika mapenzi yenu vitu vitakwenda smoothly!.
Akilia unambembeleza.
Akicheka unacheka nae.
Akiumwa...
Mabibi na Mabwana wa JF....
Kasinde
na Mahabibi wake (Da.....) tunawatakia siku ya ufunguaji maboksi mwema.
Yetu tushafungua
tukiwa na pajama
(Usiulize maswali, sina majibu)
sasa twaenda sakata rhumba viunga vya baharini...... si kwa joto hili la Mbagala....
Enjoy your day, with...
Hey guys
Imeshawahi kutokea ile hali umemuona mtu mara moja tu ukatamani awe wako?
Imenikuta stendi ya mabus mkoa fulani kuja Dar. Siku nafika pale nikamuona mkaka mmoja amazing,sijui kwanini alikuwa ananiangalia vizuri namna ile...kimoyo moyo nikaweka sala fupi "ee Mungu huyu kaka hata...
How many times has a man examined you from head to toe? I'm pretty sure you stopped counting by now!
While the male gaze sweeping across your body may seem very creepy to you (unless you are prepared for it), it is your way of choosing your potential partner.
Evolution and...
For many couples, falling in love is a pleasant and romantic experience they may enjoy together. Some couples engage in sexual activity solely for the purpose of having children, while others engage in s*xual activity solely for the purpose of having children. It's up to the couple's wants and...
In a relationship, saying "I love you" is a significant step. It's exhilarating to express your feelings for someone you care about, but it may also be a little frightening to put yourself out there in such a public manner. If you're ready to confess your feelings to your partner but aren't sure...
Tutafute maisha tuwezavyo ila tusisahau kuishi ya duniani; maana mbinguni hakuna kuoa wala kuolewa. Kule ni kuimba, kusifu na kumuabudu Mungu tuu😍📌
Weekeend murua🔥🔥🔥🔥🔥
1. Hawajisifu balip humsifia sana Kristo na Baba Muumba ( Mungu )
2. Wanahubiri Kiustaarabu na hawapigi Kelele kama Walevi wa Gongo wa Kunduchi Mtongani au wa Kawe kwa Mapupu
3. Wanaenda mno na muda na Wanathamini sana Ratiba za Watu nje ya Ibada
4. Hawatuhimizi kila mara kutoa Sadaka bali...
Well, kabla sijakuwa mzee na kuokoteza busara kidogo here and there I was once young and perhaps a bit stupid.
Kwa kutokuwa kwangu responsible (kama nilivyokuwa na-preach mchana 🙄🙄) I got pregnant. Nikaamua kuwa if I was irresponsible enough to the point of getting pregnant at such a young...
Kabla ya yote ninataka ujifikirie kama mwimbaji anayependa kucheza, ukifanya mazoezi katika chumba chako cha kulala maneno mapya ambayo yalikutokea jana usiku…
AU kama mjasiriamali anayefanya mipango ya kuanza biashara mpya ambayo wewe na marafiki zako 4 mmeamua kuianza. baada ya mawazo mengi...
Love and relationship
During our parents era, love and relationship was a one sided agreement.
A man was the one who were considered to start a relationship, his interests where what was given priority and a woman’s views were not prioritized. For a man to start a relationship was if he was...
A French footballer who was born in Senegal and played for major clubs in France as well as the French national squad has been in a coma for almost 38 years due to a mistake his doctor made while putting him to sleep for surgery to repair a torn ligament.
He was 34 when he went into a coma...
Watu wengi wamekuwa wanatamani kupata nafasi ya kupendwa na watu wanaowapenda, wahitaji, lakini wamekuwa hawajui njia za kufanikisha hayo yote.
Leo nataka nikupe siri moja.
Ili umvutie mwanadamu yeyote yule basi sharti ujue udhaifu wake uko wapi.
Udhaifu mkubwa wa mwanadamu uko katika mwili...
When you're in a relationship, it's not just love and affection that keeps the connection going. A strong sense of intimacy and connection is required for your relationship to flourish and thrive.
One of the variables that might help you improve the level of closeness and intimacy between you...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.