m23

  1. Pdidy

    Wanajeshi wa Serikali ya Congo wajisalimisha kwa M23

    Jamaa wanaendelea kupiga kazi. Leo wanajeshi zaidi wa Congo wamendelea kujisalimisha kwa M23. Na wale wenye vyeo vya juu wamepewa vyeo na MP 23 Hii kampeni ngumu sana, nawatakia lakheri M23 naona nihamie kwao kila siku wanasogea wao mbelee loh Chanzo: BBC Swahilii
  2. Mkalukungone mwamba

    FT: Simba SC 2-2 Azam FC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa | 24 Februari, 2025

    Simba SC VS Azam FC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa | 24 Februari, 2025 | Saa 1:00 Usiku. Wafungaji wa magoli Simba > Elie Mpanzu dakika, 25 Abdulrazak Hamza dakika, 76 Azam FC > Gibril Sillah. Dakika, 1 Zidane Sereri. Dakika,88
  3. Alvin_255

    M23 Conflict: Kabila Says Poor Governance, Not Rwanda, Is the Real Issue in DRC

    Former Democratic Republic of Congo leader Joseph Kabila stated on Sunday that the poor governance of his successor, President Felix Tshisekedi, significantly intensified the conflict in eastern DR Congo. Kabila’s comments provide a critical perspective on the ongoing DR Congo conflict and offer...
  4. The Watchman

    Polisi 1,800 wa DRC wadaiwa kujiunga na M23 wakijisajili kwa ajili ya kupatiwa mafunzo ya kijeshi na waasi hao

    Umati wa maofisa wa polisi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) wamekacha na kujiunga na kundi la waasi la M23, huku wakijisajili kwa ajili ya kupatiwa mafunzo ya kijeshi na waasi hao. Reuters imeripoti jana kuwa askari hao waliovalia sare za kijeshi za rangi ya bluu walionekana wakiimba...
  5. Marie Antoinette

    Abasirikare n'abapolisi ba leta ya Congo biyunze kuri M23 bagejejwe i Goma

    Abapolisi basanzwe ari aba DRC 2,100 bakoreraga i Bukavu hamwe n' abasirikare ba FARDC 890 bageze i Goma mu gitondo cyo kuri iki Cyumweru, aho biyunze kuri AFC/M23.Bazanywe n'ubwato bwitwa Emmanuel, bagera i Goma aho bashyizwe kuri Stade de l'Unité.Bagiye guhabwa amahugurwa y'imikorere ya...
  6. MBOKA NA NGAI

    Mkutano wa wananchi na uongozi wa M23 huko BUKAVU

    https://x.com/kivunews24/status/1893282140516667574
  7. MBOKA NA NGAI

    Polisi na wanajeshi wa FARDC wajiunga na M23

    Kwa hiali yao,askali Polisi 2,100 na wanajeshi 890 huko Kivu kusini, wameamuwa kutoka walikokuwa wamejificha na kukubali kujiunga na M23 kwa hiali. Akiongea nao Gen Byamungu, amewashukuru kwa uamzi huo, na kuwaomba wawe watulivu,kwamba wao ni raia wa Congo, na tatizo halipo kwao bali kwa...
  8. MBOKA NA NGAI

    M23 yazitaka taasisi za kiserikali kuendelea kutoa huduma

    Jeshi la M23(siliiti kundi tena, kwa walivyofanya, wana hadhi ya kuitwa wanajeshi), huko Kivu kusini, limezitaka taasisi zote za kiserikali kuendelea kutoa huduma kama kawaida. Kuna taasisi ambazo, wafanyakazi walikimbia na kwenda mikoa au nchi jirani, wengine wakienda Kinshasa jijini. Baada tu...
  9. Mateso chakubanga

    Huenda wakati wowote Mahakama ya uhalifu wa kivita ikatoa kibali cha kukamatwa viongozi kadhaa wa M23 na Rwanda

    Kufuatilia vikao vizito vinavyoendelea vyenye agenda ya kurudisha utulivu na amani DRC pia ushahidi na hesabu za idadi vta vifo vya raia, ubakaji, utesaji na mauaji kadhaa mamlaka za haki zinategemea kukaa na kumshauri mwendesha mashtaka mkuu wa ICC kuorodhesha ushahidi na wahusika katika...
  10. Mateso chakubanga

    Umoja wa Ulaya yaiamuru vikosi vya Rwanda na M23 kuondoka DRC Haraka bila masharti yoyote.

    Katika kikao kilichokaa jana tarehe 21.2.2025 na kilichojadili madhira na matatizo ya vita nchini DRC, umoja wa Ulaya umethibitisha rasmi kwamba vikosi vya Jeshi la Rwanda vinawasaidia wanamgambo wa M23 kufanya utekaji na mauaji nchi DRC hali inayopelekea kukosa utulivu katika eneo zima la...
  11. MBOKA NA NGAI

    Silaha za DRC zilizokamatwa na M23 huko Goma

    Makala ndefu sana! Mwenye kutafsiri aje atusaidie https://www.newtimes.co.rw/article/24237/news/africa/tshisekedis-vast-armoury-in-goma-and-plan-toinvaderwanda
  12. S

    Vita ya DR Congo na M23 ni tafsiri ya namna watu weusi ni wabaguzi wao kwa wao, wakabila, wabinafsi n. k

    Umewhi kujiuliza kwenye hio vita ya congo ingekua ni jamii mbili tofauti ndo zinazopiganna yani mfano jamii moja iwe mtu mweus nyingine iwe mzungu au mwarabu mu asia n.k Si kwa chuki, si kwa uchochezi, bali kwa kusema ukweli! unawezaje kumbagua mwafrika mwenzako mweusi mwenzako kisa kabila...
  13. Pdidy

    ADMIN ONDOA HAWA WANYARWANDA HUMU HATUWATAKI UMEONA MAITI ZA KANISANI ZA M23

    Watowe kabisa humu tukiwaona. Tunasikia kichefu chefu
  14. Marie Antoinette

    Ni ingenzi ko M23 ishyirwa mu biganiro. Kimwe mu byo U Burundi bubona cyagarura amahoro muri DRC.

    Inama ishinzwe umutekano ku isi ya ONU yaraye iteranye i New York ku ntambara mu burasirazuba bwa DR Congo aho abahagarariye ibihugu bavuze aho ibihugu byabo bihagaze mu gukemura ikibazo. Thérèse Kayikwamba Wagner, Minisitiri w'ububanyi n'amahanga wa DR Congo yavuze ko ibiri mu gihugu cye ari...
  15. Pdidy

    South Africa wapeleka wanajeshi zaidi 700-800 na VIFAA Vizito vya kivita kupambana na M23

    BAADA ya WANAJESHI WAO kuuwawa na M23 South Africa imetuma WANAJESHI zaidi ya 700 na VIFAA vizitooo Imeomba nchi za SADC na EAC kushirkiana kuuondoa MAGAIDI WA M23 wakiachwa wataenea Africa nzima USHAURI tu wapendwa Hawa n majangili magaidiiii Pale mnapoweza kupambana nao pambaneni nao...
  16. Mende mdudu

    Mgogoro DRC: Tutegemee M23 kufika Kinshasa ndani ya muda mfupi

    Kwa source za ki intelgensia unaambiwa m23 wapo kila sehemu kwa sasa hawategemei struggle kuteka mji kama ilivo mwanzo uko kivu. KWA NN BUKAVU IMEKAMATIKA KIRAISI? m23 wamejipanga na wana intelgensia hatari wamesha sambaza wanajeshi wake congo nzima kwaiyo mkuu akifika wanapiwa taarifa wavae...
  17. MBOKA NA NGAI

    M23 yawataka walioiba mali za watu kuhakikisha zinarudishwa.

    https://x.com/dr_dash250/status/1891461698176811367 Mwa huu una mapya. M23 ikiwa Bukavu,imewaomba wakazi wa maeneo hayo kuhakikisha waliojihusisha na wizi wa mali za watu,wanarudisha kwa usalama wao. Raia wenyewe wanasonteana vidole, na vitu vinarudishwa.
  18. MBOKA NA NGAI

    M23 yatangazia umma kuwa safari za Kivu Kaskazini na Goma zipo wazi masaa 24

    Mkuu wa mkoa wa Kivu Kasikazini, anapenda kuwafahamisha wakazi wa Kivu kasikazini na Kivu kusini, hasa miji ya Goma na Bukavu, kuwa miaro yote ya ya Goma na Bukavu kuanzia sasa inatoa huduma masaa 24,kuanzia kesho tarehe 18-2-2025 saa kumi na mbili asubuhi. Watoa huduma wote, wanatakiwa...
  19. MBOKA NA NGAI

    M23 Kamanyola

    Jamani, vita vya DRC ni kama comedi. Hakika ndo maana watu wengi wameamua kukaa pembeni. Huu ni ujumbe kwa rais wa DRC na wasaidizi wake. Haya hapa mapokezi ya M23 mpakani Kamanyola https://x.com/dr_dash250/status/1891498868463792504?s=46 https://x.com/wembi_steve/status/1891466715671769123...
  20. K

    Je, majeshi ya Tanzania na Afrika Kusini yameshidwa na M23?

    Je Jeshi la TZ and SA limeshidwa na M23? Maana tunasikia wanasonga tu. Sasa tumefikia sehemu hizi nchi kubwa kwa ukanda wa huku South wameshindwa na M23. Hii ni hatari sana kupuuza au kwenda kwenye vita nusunusu. Waandishi wa habari wa Tanzania badala ya kuuliza maswali kama haya wanabaki...
Back
Top Bottom