Kwa wale wenye kumbukumbu watakumbuka kile kikosi cha kijeshi cha waasi Sudan kilichokua na jina la Janjaweed wakati wa enzi ya utawala wa el Bashir.
Kikosi hiki kilichoundwa na wasudan wenye kujiona wao ni waarabu lengo lake lilikua kuwafurusha waafrika weusi toka kwenye jimbo la Sudan la...
Baada ya kuwa M23 iliingia mjini Bukavu jana jioni, iliendelea na mambo yake, na leo asubuhi ndo jeshi lake likawasili mpakani,na kukuta pako wazi, baada ya jeshi la serikali na wafanyakasi wa sekta mbali mbali.
Taarifa zilizopo, ni kwamba baada ya uwanja wa ndege wa Kavumu kukamatwa na M23...
Abarwanyi ba M23 saa tatu na mirongo ine (9h40) za mu gitondo kuri iki Cyumweru nibwo bari bageze ku mupaka wa mbere uhuza Bukavu na Rusizi uzwi nka Rusizi ya mbere.Ni umupaka bagezeho batarasanye, bakomeza bajya ku mupaka wa kabiri.
Waasi wa M23 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wameingia Bukavu, mji wa pili kwa ukubwa katika eneo hilo la mashariki.
Corneille Nangaa, kiongozi wa Muungano unaojumuisha waasi wa M23, ameliambia shirika la habari la Reuters kuwa waasi hao waliingia katika mji mkuu wa jimbo la Kivu Kusini...
Umuyobozi w’abarwanyi b’umutwe witwaje intwaro wa ARC/M23, Gen Maj Sultani Makenga, yasuye abasirikare ba Repubulika Iharanira Demokarasi ya Congo bafashwe n’abarwanyi babo, bemeranya kwifatanya mu gukuraho ubutegetsi bwa Perezida Félix Tshisekedi.
Aba basirikare babarirwa mu magana bari...
Habari zilizopo kwa sasa, ni kwamba baada ya wanajeshi wa Burundi na FARDC kukimbia uwanja wa ndege na kukimbilia mjini Bukavu, yawezekana M23 tayari ilikuwa mjini ikiwachora tu. Tofauti na Goma, M23 imewatangazia maeneo ya wazi wanaohitaji kutoka mjini humo, na kweli wanajeshi wa serikali...
Waasi wa M23 wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo ambao wanaungwa mkono na Rwanda wanaripotiwa kuuteka uwanja wa ndege wa kimkakati wa Kavumba karibu na Bukavu, mji mkuu wa jimbo la Kivu Kusini.
Uwanja huo wa ndege upo takribani kilomita 20 kutoka mji wa Bukavu ambapo wakaazi...
Umutwe wa M23 watangaje ko wafashe Umujyi wa Kavumu uherereye mu Ntara ya Kivu y’Amajyepfo mu Burasirazuba bwa Repubulika Iharanira Demokarasi ya Congo.
Mbere y’uko M23 yinjira muri Kavumu, muri uyu mujyi hagaragaye abasirikare benshi bo mu ihuriro ry’ingabo za RDC bahunga, berekeza mu Mujyi...
M23 wachukuwa uwanja wa ndenge wa Kavumu kule Bukavu south kivu.
Soon na mji wa Bukavu utachukuliwa.
Tshisekedi kaenda Paris kufanya sherehe za Valentine's day na Mke wake. Na wanajeshi wa Burundi wa kamatwa mateka kwa wingi na wengine wakimbia kwa kuokoa Marshall yao.👇
Nyuma ya Tshisekedi, abakuru ba Kiliziya Gatolika n'Abaporotestanti babonanye na M23
Mu cyumweru gishize aba banyamadini bakiriwe na Perezida Thisekedi bamuha 'umushinga wo gusohoka mu ngorane', bavuga ko yawakiriye neza.
Baada ya wiki mbili, kufuatia vita vya serikali ya DRC na kundi la waasi la M23, wanajeshi wa FARDC, waliokuwa wamekimbilia kwenye kambi ya MONUSCO, wameamua kutoka na kujipeleka kwenye kambi ya jeshi ya M23 ili iamue yenyewe hatma ya maisha yao.
Hili limetokana na maisha magumu waliokuwa...
Abasirikare ba FARDC batsinzwe urugamba bari bahanganyemo na M23, bahungiye mu maboko ya MONUSCO. Ibyumweru bishize ari 2. Nyuma yo kuba babayeho mu buzima bushaririye, nk'infungwa, bahisemo kwishyikiriza M23 ngo ibagenere ibibakwiye. M23 yirengagije ko ari bo bishe abayo mu ntambara bari...
Waasi wa M23 wameanza tena mashambulizi dhidi ya vikosi vya jeshi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo baada ya mapigano kusimama kwa siku mbili.
Soma Pia: Mamia ya wanajeshi wa Rwanda wanaosaidia waasi wa M23 wadaiwa kuuawa vitani DRC
Mapigano yalianza alfajiri ya Jumanne karibu na...
Wakati nchi wanachama wa SADC na EAC wakikubaliana kuhakikisha amani inapatikana mashariki mwa Congo, taarifa za chini chini zinaeleza kuwa wanajeshi kati ya 700 na 800 tayari walishawasiri nchini Congo kuongezea nguvu jeshi la serikali hiyo. Chanzo cha habari, Reuters, kimesema kwamba, ndege ya...
Majoro Evariste Ndayizeye, byemezwa na bamwe mu basirikare bakoranye, ko yari indwanyi kabuhariwe, yamaze kwivuganwa na M23, mu rugamba ihanganyemo na leta ya Congo. Majoro ndayizeye yari umwe mu ngabo z’u Burundi zoherejwe muri Congo gufasha icyo gihugu ku kurwana ku mujyi wa Bukavu ngo na wo...
Baada ya Goma kuangukia mikononi mwa M23, mtutu wa bunduki ulielekezwa Kivu kusini, huku mji mkuu ukiwa Bukavu.
Serikali ya Burundi kwa makubaliano na DRC, ilipeleka wanajeshi wapatao elfu 10 kuhakikisha Bukavu inalindwa kwa nguvu yote.
Uwanja wa Kavumu, unatumiwa na serikali ya Burundi na DRC...
This saga is extremely very continuous or in progress till when America and allies are assured that no more precious mineral are found and dug in DRC.
East African presidents are crazy and surely nincompoop thinking that kagame is alone and arrogant to this atrocity.
Kagame is a middle man...
Tatizo kubwa nimeliona pale ambapo viongozi wanamuogopa Paul Kagame. Kwahiyo wanagusa juu juu tu wanashindwa kwenda direct.
Nathubutu kusema kuwa kilichofanyika tarehe 08 ni kama mchezo wa rede tu ambao hauna mshindi.
Rais mmoja alipaswa kusema niko tayari kuingiza jeshi langu Kivu au Goma kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.