🐺 Mbwa mwitu hali mizoga, iwe ya wanyama au ya binadamu huishi maisha yake yote na mwenzi mmoja, na hafanyi mapenzi na mama yake au dada yake.
Ni mnyama anayejitoa kwa mwenzi mmoja (monogamous) na hacheat.
Ikiwa mwenzi wake anakufa, mbwa mwitu hubaki peke yake.
Anawajua vizuri watoto wake...