maambukizi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. maganjwa

    Nadhani hatuna shida kubwa kwa kiwango cha kutangazwa kuwa Tanzania ina maambukizi makubwa sana ya corona

    Hoja yangu ni hii kweli corona ipo na Rais amesema na amekiri. Lakini kusema sisi ni nchi hatari si kweli maana hakuna anaweza kuficha vifo vya watu wote, tupo hapa tunatembea na tuna ndugu zetu na marafiki zetu lakini tatizo siyo kubwa kiasi hicho. Pili gonjwa hili ni hatari kweli lakini kwa...
  2. Roving Journalist

    Zanzibar: Makamu wa Kwanza wa Rais, Maalim Seif Sharif Hamad, Mkewe Bi Awena waambukizwa virusi vya Corona

    TAARIFA KWA UMMA Maalim Seif Apumzishwa Baada ya Kupata Maambukizi ya Covid 19 Chama cha ACT Wazalendo kinawajuilisha wanachama wake, Wazanzibari, pamoja na umma wa Watanzania, kuwa Mwenyekiti wake wa Taifa, Maalim Seif Sharif Hamad, Mkewe, Bi Awena, pamoja na Wasaidizi wake kadhaa wa karibu...
  3. Nyankurungu2020

    Hili la maambukizi ya ajabu ya COVID-19 litapita na mtabaki mmeumbuka

    Mimi kama mtanzania nisiemfuasi wa chama chochote sipendi ushabiki wa kishamba hasa juu ya suala ambalo linagusa maslahi ya kila mtanzania bila kubagua itikadi zake. Hapa nchini kwetu kumetokea vifo vingi kipindi cha mwezi huu wa kwanza na vifo hivi vimewashutua watu watanzania na kuwa na hofu...
  4. Cannabis

    Ubalozi wa India nchini Tanzania wachukua tahadhari kutokana na maambukizi ya virusi kupitia mfumo wa upumuaji

    Ubalozi wa India nchini Tanzania umetoa tangazo la tahadhari unazochukua ili kukabiliana na maambukizi ya virusi vinavyoenezwa kupitia mfumo wa upumuaji. Ubalozi huo umeweka zuio kuanzia tarehe 27/01/2021 la watu wasio na miadi (appointment) kuingia katika ubalozi huo hadi hapo itakapotoa...
  5. Q

    Waraka: Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) latoa tahadhari kuhusu ugonjwa wa Corona nchini

  6. Kichuguu

    Adui wa legacy ya Rais Magufuli: Kuminya Demokrasi au kushindwa kudhibiti maambukizi ya Corona?

    Watu wengi kwenye kambi ya upinzani wamekuwa wanadai kuwa Magufuli kabinya demokrasi ilihali huwa wanashiriki uchaguzi na ama wanashinda au wanashindwa kama ilivyo ada ya demokrasia. demokrasia haiana maana kuwa upinzani ndio ushinde tu. Viongozi huwa hawapimwi kwa mambo ya kawaida bali yale...
  7. Miss Zomboko

    Maambukizi mapya ya Virusi Vya UKIMWI yamepungua kutoka 130,000 mpaka 68,400 kwa mwaka

    Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS) imesema maambukizi mapya ya virusi vya ukimwi yamepungua kutoka 130,000 mpaka 68,400 kwa mwaka kutokana na elimu inayoendelea kutolewa kwa wananchi ya kujikinga na maambukizi hayo. Mkurugenzi wa tume hiyo, Dk Leonard Maboko, amesema hayo leo Noemba...
  8. Miss Zomboko

    Marekani yarekodi visa zaidi ya 100,000 vya maambukizi ya Coronavirus. Hekaheka za Uchaguzi zatajwa kuwa chanzo

    Takriban visa vipya 103,000 vya maambukizi ya COVID-19 vimeripotiwa nchini #Marekani ndani ya saa 24, huku hekaheka za Uchaguzi zikidaiwa kuchangia ongezeko hilo Hii ni rekodi kubwa tangu Septemba 4 ikiwa ni siku 2 baada ya Uchaguzi wa Urais, kulingana na takwimu zilizotolewa na Chuo cha Johns...
  9. Miss Zomboko

    Rais Kenyatta: Viongozi tumechangia kuongeza maambukizi ya Covid19

    Rais Uhuru Kenyatta amekubali kuwa mapuuza yake na viongozi wenzake kuhusu janga la corona yamechangia sana nchi kupiga hatua nyuma katika mwezi mmoja uliopita. Katika hotuba yake kwa taifa Jumatano kuhusu hali ya Covid-19 nchini, Rais alikiri kuwa mikutano ya kisiasa iliyoshamiri katika mwezi...
  10. P

    Trump tested positive for Coronavirus

    Trump na mke wake Melanie wakutwa na virus vya Corona. Rais wa Marekani Donald Trump na mkewe wakutwa na #CoronaVirus, amesema ataanza kukaa karantini haraka iwezekanavyo Rais Trump alipima baada ya msaidizi wake, Hope Hicks KUkutwa na maambukizi na kufanya maambukizi ya #COVID19 kuingia...
  11. Sam Gidori

    Guterres: Hatutakiwi kuyasahau hata maisha ya mtu mmoja aliyetutoka

    Vifo vinavyotokana na maabukizi ya virusi vya corona vimezidi watu milioni moja, kwa mujibu wa takwimu za Chuo Kikuu cha John Hopkins, huku Shirika la Afya Duniani likionya kuwa idadi hiyo inaweza kuwa ndogo zaidi ikilinganishwa na uhalisia kutokana na changamoto katika upatikanaji wa takwimu...
Back
Top Bottom