maandamano kenya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Tume ya Haki za Binadamu Kenya yaripoti kutokea kwa jumla ya matukio 82 ya Utekaji nchini humo tangu mwezi Juni

    Tume ya Kitaifa ya Haki za Binadamu nchini Kenya imetoa ripoti mpya ambayo inaonesha kuongezeka kwa idadi ya matukio ya utekaji nchini humo dhidi ya wakosoaji wa serikali Kwenye ripoti yao ya hivi karibuni imeonesha kuwa kumekuwa na matukio ya utekaji takrbani 82 tangu maandamano dhidi ya...
  2. C

    Raila aokota Dodo kupitia Gen Z

    1. Raila Amollo Odinga kupitia ODM ameokota Dodo kwenye mti wa mpera kwa Viongozi wa Chama chake Kuteuliwa nafasi za uongozi kwenye serikali ya Kenya. Huku Gen Z wakiendelea Kula vumbi Kibera na Mathare slums. 2. Ruto akiteua girlgriend wake kuwa Waziri. 3. Poleni Gen Z, poleni Kibera, hizo...
  3. W

    Waandishi wa Habari Waandamana Kenya, wapeleka maombi yao Makao Makuu ya Polisi NPS

    Waandishi wa Habari wameandamana jijini Nairobi kwa ajili ya kulaani mashambulizi ya Wanaoripoti Habari kuhusu Maandamano na vitisho kwa Uhuru wa Vyombo vya Habari kutoka kwa Polisi Pia soma: Yanayojiri Maandamano ya Gen Z Kenya Katika taarifa iliyotolewa na Umoja wa Waandishi wa Habari Kenya...
  4. mwanamwana

    Ofisi za Mwanaharakati Boniface Mwangi zavamiwa na wahuni, asema wavamizi wamelipwa na Serikali ila hatishiki

    Watu wasiojulikana wakiwa kwenye pikipiki walifika katika ofisi za mwanaharakati Boniface Mwangi Jumamosi alasiri, wakisababisha vurugu na kuvuruga shughuli za kawaida katika eneo hilo. Mwangi, ambaye alijibu tukio hilo baadaye, alifichua kwamba aliripoti suala hilo katika Kituo cha Polisi cha...
  5. Black Butterfly

    Raila Odinga apinga wanaoshinikiza Ruto ajiuzulu Urais

    Kiongozi wa Upinzani chini ya Muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, Raila Odinga amekosoa shinikizo la Waandamaji wanaotaka Rais William Ruto ajiuzulu akieleza hatua hiyo haitakuwa na mabadiliko yoyote katika Serikali. Akizungumza na Wabunge wa chama cha Orange Democratic Movement (ODM)...
  6. Suley2019

    Kenya: Mamlaka ya Mawasiliano yaonya Vyombo vya Habari kuyapa coverage Maandamano

    Article 33(1) of the Constitution of Kenya provides that every person has the right to freedom of expression while Article 34(1) guarantees freedom and independence of the media. However, the right to freedom of expression as well as the freedom and independence of the media does not extend to...
  7. B

    Ruto alaumu Mashirika ya Nchi Beberu kwa maandamano Kenya

    16 July 2024 Nakuru, Kenya Mheshimiwa rais William S. Ruto wa Jamhuri ya Kenya alaumu mashirika ya kijamii yasiyo ya kiserikali pamoja NGOs kama mfuko wa wakfu wa US-Funded Ford Foundation. NGOs nyenye makao yake katika nchi za kibeberu kwa kufadhili maandamano yasiyo na kikomo ya vijana wa...
  8. Suley2019

    Mwandishi wa Media Max Limited Catherine Wanjeri apigwa risasi Nakuru, akifuatilia maandamano ya Wananchi kupinga serikali

    Mwandishi wa habari wa Kenya, Catherine Wanjeri Kariuki, anayefanya kazi kwa Mediamax Limited, amepigwa risasi na polisi huko Nakuru wakati akiripoti maandamano yaliyoongozwa na vijana wakitaka rais aliyezingirwa William Ruto ajiuzulu. Alikimbizwa Hospitali ya Valley. MediaMax inamiliki K24 TV...
  9. J

    Mtuhumiwa wa mauaji ya Kware akamatwa, akiri kuua wanawake wasiopungua 42 ikiwemo mkewe

    Taarifa za sasa zinasema Muuaji wa Watu waliokutwa kwenye viroba huko Kware amepatikana na anahojiwa na Polisi kujua asili yake na sababu za kufanya Mauaji hayo. Source: Citizen TV ==== DCI nchini Kenya, Mohamed Amin amesema mtuhumiwa aliyekamatwa ,auaji ya Kware, Collins Khalisia mwenye umri...
  10. J

    William Ruto avunja Baraza la Mawaziri Kenya

    Breaking news Ofisi ya Deputy President na Prime minister haziguswi na maamuzi haya Citizen TV ====== Rais wa Taifa la Kenya, William Ruto amewafuta kazi mawaziri wote wa Baraza lake, kufuatia shinikizo kutoka kwa vijana wa kizazi cha GenZ waliotaka mabadiliko. Katika kutangaza mabadiliko...
  11. W

    Serikali kuchunguza madai ya polisi kufanya ukatili dhidi ya waandamanaji

    Waziri wa Mambo ya Ndani, Profesa Kithure Kindiki, ametangaza kuwa Serikali itakushughulikia polisi na wahusika watakaopatikana na hatia ya madai ya kuteka watu kinyume na sheria kipindi cha Maandamano ya kupinga Mswada wa Fedha 2024 Waziri Kithure alisisitiza kwamba vyombo vya usalama vina...
  12. T

    Laiti kama Ruto angeyafanya haya kabla ya maandamano ya gen Z angeimbwa kama shujaa wa Afrika. Afrika tunakwama wapi!?

    Mtu mmoja aliwahi kuniambia usemi unaosema tujifunze kwa makosa hauko sahihi kwani kuna makosa hayatakupa muda wa kurekebisha chochote. Ni kwa sababu ya hiyo dhana namuona Ruto alikuwa na nafasi nzuri sana ya kuimbwa na historia kama Rais aliyejali wanyonge kwa kupunguza matumizi ya wakubwa...
  13. BLACK MOVEMENT

    Rais Ruto kushiriki mjadala na Wakenya kwenye X Space, Julai 5 kwa saa tatu

    Aisee, hatimaye kesho ndio kesho, Ruto atakutana na na jamaa wa Gen Z kule space. Make mwnzo alikuwa akutane nai ikulu ila ikaonekana jamaa hawana offisi wala kiongozi so kama anataka kukutana nao ni kule Space. Huku ni vitisho vya kufungia Space na tunanywea. Tusipo chukua notce kutoka Gen Z...
  14. Meneja Wa Makampuni

    Wakenya, ni mjinga pekee ndiye anaharibu vitu alivyojenga kwa pesa yake mwenyewe

    Wakenya hawana akili wanaharibu vitu vilivyojengwa kwa pesa yao wenyewe. Ni mjinga pekee ndio anaweza kuharibu vitu alivyojenga kwa pesa yake mwenyewe. Demokrasia ya Kenya haina balance haieleweki polisi hawaeleweki yaani usalama wa nchi hauleweki. Haeleweki mwenye nguvu ni nani. That's not...
  15. M

    Mambo niliyogundua kutokana na maandamano nchini Kenya

    Wanajukwaa hongereni kwa majukumu ya hapa na pale. Wenye changamoto nawapa pole na kuwatia moyo kwamba wasikate tamaa wakazane kupambana. Hivi karibuni Kenya ililipuka kwa vurugu za vijana wakiandamana kupinga muswada wa fedha wa 2024/2025. Mengi tumeyaona kwenye mitandao ya kijamii na...
  16. Suley2019

    Majeruhi waongezeka katika maandamano Nairobi huku watu 35 wakilazwa Hospitali ya Kenyatta

    Idadi ya waliojeruhiwa katika maandamano ya kupinga serikali yanaendelea kuongezeka, huku watu wengine 35 wakilazwa Hospitali ya Taifa ya Kenyatta na majeraha ya risasi na majeraha mengine tofauti siku ya Jumanne. Uongozi wa hospitali unasema idadi inatarajiwa kuongezeka usiku kufuatia...
  17. Tlaatlaah

    Imetosha sasa, ni wakati muafaka Rais Ruto kuchukua hatua za makusudi za kimamlaka kuwadhubiti wahalifu nyuma ya Gen z na kurejesha amani

    Ni dhahiri sasa, Kumbe nia na dhamira ya vijana wahalifu nyuma ya Gen Z haikuwa kupinga ushuru, kodi, na tozo zilizokuwako kwenye muswada wa sheria ya fedha kwa mwaka 2024/2025 ulioipitishwa na Bunge la Kenya. Muswada ule umefutwa tayari na Mh. William Samoei Ruto. Ni nini kingine mnahitaji...
  18. Analogia Malenga

    Jesse Kwayu: Ugonjwa wa Gen-Z unaambukiza kwa kasi, tuache kufukia vichwa vyetu ardhini

    Ameandika Jesse Kwayu: WIKI iliyopita imekuwa ya harakati nyingi katika ukanda wa Afrika Mashariki. Kubwa ya yote ni kizazi kinachojulikana kama Generation Z kuingia barabarani nchini Kenya ili kuilazimisha serikali ya nchi hiyo kusikiliza kilio chao kuhusu ongezeko kubwa la kodi kupitia...
  19. Z

    Ruto: Wakenya wengi walioandamana hawajui yaliyomo kwenye Muswada wa Fedha

    Alipokuwa akihojiwa jana tarehe 30/6 na waandishi wa habari, Rais Ruto alisema japo amekubali kuondoa na kutokusaini Finance bill hiyo lakini anasikitika sana kwani bill hiyo ilikuwa na manufaa makubwa wa wakenya wote na ililenga kuikomboa kuingia kwenye madeni makubwa. Alisema kuwa Wakenya...
  20. BLACK MOVEMENT

    Watangazaji waliokuwa wanamuhoji Ruto, Tanzania hatutowapata wa kiwango kile daima

    Ukiweka Siasa Pembeni hatuna Watangazaji levo za kuwakaribia Wakenya, na tuna kwama sana kama nchi, kama umefuatilia mahojiano ya leo jioni ya Ruto na Watangazaji wa habari utagundua kwamba tuna kosa sana Watangazaji aina ile. Watatangazi wetu ni weupe sana hata aina ya vipindi vyao tu ni...
Back
Top Bottom