maandamano kenya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kiungopunda

    Maandamano Kenya na hatari ya usalama wa nchi yetu

    Kwa hiki kinachoendelea Kenya na kinachofanywa na vijana dhidi ya ongezeko la gharama za maisha ni tahadhari kwa viongozo waliopo madarakani nchini mwetu. Kawaida, mwanadamu yeyote ana kiwango cha uvumilivu hususani pale anapokosa uhakika wa Kesho tonana na ugumu wa maisha, kukosa ajira...
  2. Nibiru X

    Siwa ya Bunge Kenya yabebwa na waandamanaji

    Baada kuvamia bunge kula vyakula vya wabunge kijana mmoja shupavu anaoneka kuondoka na siwa ya bungeni Kenya. Neno moja kwa huyu mwamba
  3. J

    Waandamanaji wachoma moto Biashara za Wabunge zikiwemo Hotel, Maduka na Mabasi, Ofisi ya Kimani yateketezwa!

    Hii sasa ni mbaya jamani Biashara za Mbunge ni za kifamilia Waandamanaji Nchini Kenya wameharibu Mali na Biashara mbalimbali za wabunge waliopigia Kura ya Ndio Finance Bill Aidha Ofisi za Kiongozi wa Walio wengi Bungeni mh Kimani na zile za Gavana wa Nairobi zimechomwa moto Mali hizo...
  4. J

    Rais Ruto: Nitafanya kazi na Gen Z. Tayari nimeongeza Fedha za Mikopo ya Elimu ya Juu na Ajira Mpya, nitawakaribisha Ikulu tuyazungumze

    Rais Dkt. Ruto amesema amefuatilia malalamiko ya Vijana wadogo wa Gen Z na kuyaelewa Ruto amesema amefurahishwa sana na uwezo wa Watoto hao wa kung'amua mambo hivyo yuko tayari kufanya nao kazi Kwa kuanzia tumeongezeza Fedha za kuendesha Skuli Pamoja na Mikopo ya Elimu ya Juu Ili wanafunzi...
  5. Suley2019

    SI KWELI Waandamanaji wa Kenya walipora na kukimbia na farasi wa polisi

    Salaam Wakuu, Kumekuwa na video inasambaa siku hache zilizopita zikidai kuwa Waandamanaji Kenya wameiba farasi wa polisi na kukimbia nao. Video hiyo inamuonesha mwananchi anayedaiwa amepora farasi huyo akimuongoza farasi huyo kwa kasi na ustadi mkubwa. Nimeona sehemu inadaiwa yule si...
  6. J

    Gen Z watawanyika katika Makanisa mbalimbali kuzuia Harambee za Wanasiasa kesho, Padre wa Rais Ruto aonywa!

    Vijana waandamanaji wa Gen Z wameonya Wachungaji na Mapadre kutoruhusu Harambee za Wanasiasa kesho na wale watakaokaidi watakuona Cha moto Gen Z wamesema kesho watatawanyika katika Makanisa yote kuzuia Harambee za Wanasiasa na Hata Harambee ya Rais Ruto wataizuia Source: Citizen TV PIA SOMA -...
  7. gstar

    Nawashangaa vijana wa Kenya, hakuna nchi itakayoweza kuendeshwa bila kodi

    Wakati nikiutafakari umasikini wa Mwafrika na vipi tutajikwamua kutoka hapa tulipo nakutana na mauzauza ya wananchi wakenya wanao andamana kisa ongezeko la kodi katika bidhaa mbalimbali. Nimekaa nikajiuliza ikiwa sisi waafrika tunataka kujitegemea kiuchumi, nivipi tutaweza kuziepuka hizi kodi...
  8. A

    Pamoja na Maandamano Kenya, Muswada wa Fedha wapitishwa na wabunge

    1. Huko Kwa jirani pamoja na finance bill kupingwa Kwa maandamano kila kona Wabunge wameipitisha Kwa kishindo. 2. Muswada (finance bill 2024) unapelekwa kwenye Kamati, kisha uende Kwa Mhe. Dr Rais William S. Ruto 3. Tuna ya kujifunza hapa? --- Despite widespread protest in the country, the...
  9. Ikaria

    Mchekeshaji Eric Omondi akamatwa na Polisi katika maandamano ya kupinga Muswada wa Fedha 2024

    Mchekeshaji na Mwanaharakati Eric Omondi amekamatwa dakika chache zilizopita nje ya Bunge la Kitaifa, akipinga mswada wa fedha 2024 ulioshuhudia maandamano makubwa jana. Omondi alifika nje ya geti la Bunge la Kitaifa akiwa amepanda farasi, kuiga maafisa wa polisi waliokuwa wakipiga doria kati...
  10. chiembe

    Maandamano ya Kenya msingi wake ni ukabila na uroho wa madaraka wa Gachagua, vijana wanatumika tu, za kuambiwa!

    Kuna mtu anaweza kudhani maandamano ya Kenya ni sheria ya fedha (Finance Bill) hapana! Maandamano hayo yana sura ya ukabila wa wazi ambao Naibu Rais anaujenga kupitia watu wa mlima, kwa maana ya wakikuyu. Naibu Rais Rigathi Gachagua kwa siku za karibuni amekuwa akiimarisha siasa za ukabila kwa...
  11. Baba jayaron

    Kinachojiri Kenya maandamano yakukataa Bajeti mpya 2024- 2025 katika picha

    Wasalam wanajumui wa Afrika mashariki, Swala la raia vijana wa Kenya kusimama kwa umoja wao bila kuchoka na kukataa wachache kuwaamulia ndivyo sivyo juu ya maisha yao, kimezua mitazamo tofauti katika ulimwengu. Mitazamo hio imetokana na mlengo wa muhusika anatokea wapi, maeneo mbalimbali...
  12. Mfikirishi

    Maandamano Kenya ni Ukomavu wa Akili

    Binadamu ni akili inayoishi ndani ya mwili! Na akili inahitaji elimu bora ili kuikomaza vizuri. Siasa na serikali ni mifumo ya kijanja janja sana. Inahitajika akili iliyokomaa kuweza kukabiliana nayo! Maandamano yanayofanyika nchini Kenya hayana viongozi wa kisiasa! Ni vijana walioelimisha...
  13. Stuxnet

    Maandamano ya Kenya Dhidi ya Finance Bill 2024, Watanzania Waitamani Kenya

    Siku 3 hizi ambapo maandamno ya vijana wa KENYA yameshamiri kupinga Finance Bill 2024, huku nchini kwetu kwenye social media nimeona kuwa Watanzania wanatamqni na sisi kwetu ingetokea kama Kenya. Sijui tuna upungufu gani wa maono ila mdharau pazuri, pabaya pana msubiri PIA SOMA - Nguvu ya...
  14. Yoda

    Tuchukue masomo muhimu kutoka hali ya sasa Kenya

    Yanayoendelea Kenya kwa sasa katika mchakato wa kupitisha muswaada wao wa fedha unaopingwa kwa nguvu na raia yatupe masomo muhimu 1. Mikopo iliyopitiliza ni mtego mbaya kwa nchi masikini Kenya kwa muda mrefu wa takribani miaka kumi ya uongozi wa Uhuru Kenyatta na Ruto ilikuwa ikikopa kwa kasi...
  15. Ikaria

    Maandamano yaingia usiku karibu na majengo ya Bunge, Nairobi (video)

    https://www.youtube.com/watch?v=HBNa9fVrapk Waandamanaji wanaendelea kuandamana kwa kuwasha moto katika Barabara ya kuelekea mzunguko wa Holy Basilica, karibu na Majengo ya Bunge. Licha ya maandamano ya mchana kutwa, Wabunge 204 wamepiga kura kupitisha mswada huo, huku Wabunge 115 wakipiga...
  16. Cute Wife

    Yanayojiri Maandamano ya Gen Z Kenya

    1/7/2024 Vifo vinavyotokana na maandamano ya kushinikiza Rais Ruto aachie ngazi vyafikia 26, baada ya watu wawili zaidi kutokana na majeraha Kevin Madanga (22) ambaye alipigwa risasi 3 wiki iliyopita amefia Nakuru na Daniel Kakai (17) mwanafunzi kutoka Bungoma aliyepigwa risasi Alhamisi...
  17. Mmawia

    Eric Omondi mmoja ni sawa na wasanii wa bongo 200

    Msanii wa Kenya Eric Omond ni zaidi ya WASANII wote wa hapa bongo. OMONDI amejawa na weledi na kujiamini mno hivyo kutokuwa mpiga zumari. Ebu sikilizeni anavyo pinga msaada wa fedha unaotarajiwa kupitishwa na serikali ya Kenya. Kumbuka kuwa OMONDI Alisha wahi kukamatwa na kuwekwa lupango na...
  18. BLACK MOVEMENT

    Je, Bajeti yetu ni Bora sana? Mbona tuko kimya sana? Vijana Kenya wanaandamana

    Wakenya wamechachamaa sana na Mswaada wa bajeti yao, wanaona hauna maslahi kwao, Pamoja na kufanyiwa mabadiliko bado wanachachamaa tu. Wakenya wako chonjo na Bajeti yao wanapitia kifungu kwa kifungu. Mijadala yao mikuu kwa sasa ni bajeti yao tu hakuna mjadala mwingine. Njoo Tanzania kwenye...
  19. Cute Wife

    Mbunge awasilisha Mswada wa Kuwafunga Wakenya wanaoandamana bila vibali

    Mbunge kutoka Mberee Kaskazini, bwana Geoffrey Ruku amewasilisha Bungeni, muswada utakaowezesha Wakenya kufungwa kwa mwaka mmoja, faini ya Tsh. 2,000,000 (Ksh. 100,00) au vyote kwa pamoja kw awakenya watakaoandamana bila ya kuwa na vibali stahiki. Kulingana na mswada huo, taarifa ya maandamano...
  20. BARD AI

    Nguvu ya Umma: Bunge lalazimika kubadilisha Muswada wa Sheria ya Fedha baada ya maandamano ya Wananchi

    UPDATE: KENYA: Wananchi kutoka maeneo mbalimbali nchini humo wameingia Mitaani kupitia Maandamano ya kupinga Muswada wa Sheria ya Fedha unaolamilikiwa wakidai una vifungu vyenye Kodi kandamizi Maandamano hayo yanaingia Siku ya 3 huku yakiwa na mafanikio ya kushawishi Bunge kuondoa baadhi ya...
Back
Top Bottom