maandamano kenya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mtwa mkulu

    Bladley Ouna mwanafunzi wa UDSM anayeongoza maandamano kenya

    Msikilize mkurugenzi mtendaji CCK msemaji wa pili baada ya seneta. Alisoma certificate in laws udsm kabla ya kutimkia south africa 2014... wakati huo alikuwa akisakwa na vyombo vya ulinzi na usalama vya kenya. Ni rafiki wa Chacha machera aliyewahi kushika nambari moja kwa mbio za ubunge...
  2. P

    Maandamano Kenya: Mwanaume mmoja aandamana kwa kujifunga mnyororo kwenye nguzo na kutoa kero zake

    Mwanaume mmoja huko Kenya aandamana kwa aina yake leo kwa kujifunga kwenye nguzo na mnyororo na kuanza kuongea kero zake. Polisi walifika eneo la tukio na kujaribu kumfungua ili wamkamte huku watu wengine wakiwa wanarekodi tukio hilo. Polisi walipomuomba ufunguo, akasema mimi sina funguo. Kwa...
  3. O

    Sheikh Alhad atoa pole maandamano Kenya

    Mwenyekiti wa Jumuiya za Amani na Maridhiano Tanzania, Sheikh Alhad Mussa ametoa pole kwa waathiriwa nchini Kenya kufuatia madhara yaliyosababishwa na maandamano vikiwemo vifo na uharibifu wa mali nchini humo. Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari jana jijini hapa Sheikh Alhad...
  4. B

    Maandamano Kenya, Museveni ajiandaa kujihami

    Mwenzako akinyolewa, za kwako tia maji. Imedhihirika kumbe tunaopata shule siyo kina sisi peke yao, bali na serikali husika hasa zile zenyewe sugu kwenye kukiuka haki za watu. Hapa, Uganda tayari wanajizatiti kwa mazoezi mazito mazito kungali asubuhi: Sijui makwetu jikoni au kule...
  5. B

    Nyimbo za Tanzania zatumika kuhamasisha maandamano Kenya

    Hii ni katika maandamano yaliyopigwa marufuku na serikali ya Ruto leo. Katikati ya Nyomi hilo Kibra Nairobi, ni Raila Amolo Odinga (Baba) akiwa kazini. Kwa hakika hakuna mwingine kama yeye: Nyuma ya shughuli ni goma zito kutokea Tanzania, "hakuna kama yeye." Kweli kwenye miti hakuna wajenzi...
  6. JanguKamaJangu

    Maandamano Kenya: Mmoja auawa kwa kupigwa risasi

    Imeelezwa tukio limetokea Mjini Kisumu wakati wa maandamano ya kupinga Serikali yanayofanyika kwa mara ya pili yakiratibiwa na Umoja wa Azimio. Imeelezwa kumetokea vurugu kati ya Polisi na umati wa watu uliokuwa ukishiriki maandamano, Askari walitumia mabomu ya machozi lakini waandamanaji...
  7. Z

    Kwa nini Raila asifikishwe ICC?

  8. Hemedy Jr Junior

    Erick Omond akamatwa na polisi akiandamana

    Mcheshi Eric Omondi amekamatwa akiongoza maandamano nje ya majengo ya Bunge jijini Nairobi. Omondi alikuwa akiongoza kundi la vijana waliojengeka vizuri, watanashati katika maandamano, ambapo waliitaka Serikali kushusha gharama za maisha. Vijana waliovalia kaptura nyeusi na vifua wazi walikuwa...
Back
Top Bottom