1. Raila Amollo Odinga kupitia ODM ameokota Dodo kwenye mti wa mpera kwa Viongozi wa Chama chake Kuteuliwa nafasi za uongozi kwenye serikali ya Kenya. Huku Gen Z wakiendelea Kula vumbi Kibera na Mathare slums.
2. Ruto akiteua girlgriend wake kuwa Waziri.
3. Poleni Gen Z, poleni Kibera, hizo...