mabadiliko

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. The Supreme Conqueror

    Tanzania inakaribia kuona mabadiliko makubwa ya kiuongozi na mfumo ambayo yatakuja bila kutegemea

    Kuna kitu kichwani kinanimbia kuwa Tanzania inakaribia kuona mabadiliko makubwa ya kiuongozi na mfumo ambayo yatakuja bila kutegemea. Viongozi wengi walioko madarakani sasa hivi wameshafikia saturation point ya kufikiri na ni suala la muda tu chochote kinaweza kikatokea. Katiba+Bendera=Mzalendo 🇹🇿
  2. Elon J

    Biashara zinanzoelekea kupotea kutokana na mabadiliko ya Sayansi na Teknolojia

    (1) Biashara ya kuunza Magazeti Hii ni biashara ambayo imewatoa watu wengi sana kama akina ERICK SHIGONGO mf. gazeti lake la ijumaa,Sun etc. But now days watu weng wanapata habari kupitia kwenye simu, TV etc. Mfano akina MIllard Ayo etc. (2) Biashara ya kuunza mafuta ya taa Hii ni biashara...
  3. TRA Tanzania

    TRA: Taarifa kuhusu Mabadiliko ya Viwango vya Kodi ya Majengo inayotozwa kupitia ununuaji wa umeme

  4. M

    SoC03 Kuimarisha Uwajibikaji na Utawala Bora Katika Sekta Yote: Mwongozo wa Hatua za Mabadiliko

    Kichwa Cha Andiko: Utasaidia kuongeza uwajibikaji na kuboresha utawala bora katika sekta yoyote kwa kuzingatia hatua zifuatazo: 1. Kuunda mfumo wa uwajibikaji: Fanya uhakiki wa muundo wako wa uongozi na uwajibikaji. Hakikisha kuwa majukumu na wajibu wa kila mtu wanaeleweka wazi. Weka njia za...
  5. M

    SoC03 Kuleta Mabadiliko Yenye Tija kwa Uwajibikaji na Utawala Bora

    Utangulizi: Uwajibikaji na utawala bora ni mambo muhimu katika kuhakikisha maendeleo thabiti na ustawi wa sekta yoyote. Katika andiko hili, tutajadili mbinu na mikakati ambayo inaweza kuchochea mabadiliko chanya katika uwajibikaji na utawala bora. Lengo letu ni kuboresha ufanisi na uwazi na...
  6. Greatest Of All Time

    Azam TV yapandisha bei za vifurushi kuanzia Agosti 1 mwaka huu

    Nimepokea sms ya AzamTv kuhusu kupandisha bei za vifurushi kuanzia tarehe 01/08/2023. Mkeka ni kama ifuatavyo;
  7. M

    SoC03 Mabadiliko baadhi ya Sekta

    Kwenye nchi Kuna baadhi sekta inatakiwa zibadilike kimuundo na uendeshaji, na viongozi wetu hususani watunga sheria hawako tayari kuunda mifumo inayochochea uwajibikaji (viongozi wengine siyo wawajibikaji kama wanavyodai). Kuna baadhi ya sekta zikiundwa zitaleta utawala bora na uwajibikaji...
  8. O

    SoC03 Kuimarisha Elimu Tanzania: Hatua za Uwajibikaji na Utawala Bora Kuongoza Mabadiliko!

    Sekta ya elimu ni moja ya nguzo muhimu katika maendeleo ya taifa lolote, na Tanzania haijatengwa katika hilo. Kuleta mabadiliko ya uwajibikaji na utawala bora katika sekta hii ni hatua muhimu katika kuboresha elimu na kuimarisha ustawi wa jamii nzima. Kufanikisha mabadiliko haya kunahitaji...
  9. M

    Mshahara umetoka lakini hakuna mabadiliko!

    Hii ni habari ya kushangaza kidogo, baada ya kuangukiwa na kizito kizito Cha 23%=Mwaka Jana! Sasa tuliambiwa annual increment kuanzia Julai. Lakini mshahara umetoka na haina hiyo increment! Ila sisi Wafanyakazi ..... !
  10. D

    SoC03 Mabadiliko kuleta Utawala Bora

    MABADILIKO KULETA UTAWALA BORA Mabadiliko, ni hali ya kutoka hatua moja ya chini kwenda juu kuna aina nyingi za mabadiliko ila kuu ni mosi binafsi yaani mtu mmoja mmoja na pili mabadiliko kitaifa nchi kwa ujumla kutokana na hali ya kawaida kwenda kwenye hatua bora, mabadiliko mazuri ni ya...
  11. Yuki

    SoC03 Mabadiliko katika uwajibikaji na utawala bora katika sekta mbalimbali nchini Tanzania

    Uwajibikaji na utawala bora ni mambo muhimu sana katika kukuza maendeleo endelevu na ustawi wa jamii katika nchi yoyote, ikiwemo Tanzania. Sekta zote nchini zinahitaji kuwa na mifumo madhubuti ya uwajibikaji na utawala bora ili kuhakikisha kuwa rasilimali zinatumika kwa ufanisi, uwazi na...
  12. I

    SoC03 Kuwezesha Mabadiliko: Ukombozi wa Utawala kupitia Teknolojia

    Katika nchi isiyo mbali sana, mbegu za mabadiliko zilipandwa ili kukuza jamii bora na yenye uwajibikaji zaidi. Dunia ilishuhudia ongezeko la maendeleo ya teknolojia, na jamii moja yenye maono iliamua kutumia nguvu hii kwa maslahi mapana ya watu wake. Hivyo, safari ya uwajibikaji na utawala bora...
  13. IBRAHIM EMMILIAN MBAWALA

    SoC03 Kuongeza Uwajibikaji katika Kilimo na Ufugaji: Mabadiliko ya Kuleta Maendeleo

    "Kuongeza Uwajibikaji katika Kilimo na Ufugaji: Mabadiliko ya Kuleta Maendeleo" Andiko hili linahusu umuhimu wa kuongeza uwajibikaji katika sekta ya kilimo na ufugaji ili kuleta mabadiliko chanya na maendeleo endelevu. Inalenga kutoa ufahamu kuhusu jinsi mifumo ya kilimo na ufugaji inavyoweza...
  14. C

    SoC03 Wakati Sahihi wa Mabadiliko yenye tija katika Kilimo cha Mifugo kuelekea ufugaji wenye tija kwa jamii ya Kitanzania

    Mabadiliko yenye tija katika ufugaji ni ubeti unaoimbwa kila muda Tanzania,Afrika na duniani kwa ujumla wake. Hii inachagizwa na umuhimu wa suala la ufugaji katika maeneo makubwa matatu ambayo ni 01. Utunzaji wa Mazingira 02. Afya za wanaadamu na 03. Afya na haki za mifugo zenyewe. Licha ya...
  15. Anonymous77

    SoC03 Uwajibikaji na Utawala Bora: Muhimu katika maendeleo ya uchumi

    Uwajibikaji na utawala bora ni muhimu kwa ajili ya maendeleo ya uchumi na uwekezaji. Uwajibikaji husaidia kuhakikisha kwamba serikali inatumia rasilimali zake kwa ufanisi na kwa manufaa ya umma. Utawala bora husaidia kuhakikisha kwamba serikali ni wazi na inawajibika kwa matendo yake. Kuna njia...
  16. Anonymous77

    SoC03 Uwajibikaji na Utawala Bora: Kuleta Mabadiliko ya Kweli

    -------------------------------------- Utawala bora na uwajibikaji ni misingi muhimu katika kukuza maendeleo na ustawi wa jamii. Nyanja mbalimbali za maisha yetu yanahitaji kuwa na uwajibikaji na utawala bora ili kuleta mabadiliko chanya. Katika makala hii, tutachunguza umuhimu wa uwajibikaji...
  17. A

    SoC03 Ndio una haki ya kulalamika, lakini umetimiza wajibu wako kama binadamu?

    Sote tunajua kuwa, kulalamika ni haki ya mtu yoyote pale ambapo anakuwa hajaridhika na jambo alilotendewa na upande wa pili. Hii husaidia kumjulisha mtendaji wa jambo hasi kujua kuaw, alilolifanya sio sahihi na lina athari kwa upande unaolalamika, na pia hutoa fursa kwa kosa lililofanyika...
  18. P

    Maandamano Kenya: Mwanaume mmoja aandamana kwa kujifunga mnyororo kwenye nguzo na kutoa kero zake

    Mwanaume mmoja huko Kenya aandamana kwa aina yake leo kwa kujifunga kwenye nguzo na mnyororo na kuanza kuongea kero zake. Polisi walifika eneo la tukio na kujaribu kumfungua ili wamkamte huku watu wengine wakiwa wanarekodi tukio hilo. Polisi walipomuomba ufunguo, akasema mimi sina funguo. Kwa...
  19. Colin the creator

    SoC03 Mabadiliko na uboreshaji katika utoaji wa PF3 (Police Form no 3)

    UTANGULIZI: Fomu ya Polisi namba 3 (PF3) nchini Tanzania ni hati rasmi inayotumiwa na polisi kuandika ripoti za matukio mbalimbali yanayohusisha madhara ya mwili au ajali. Inatumika kama chombo muhimu cha kudokumenti na kurekodi taarifa muhimu zinazohusiana na matukio hayo. PF3 inajumuisha...
  20. R

    SoC03 Uwajibikaji na Utawala Bora kichocheo cha mabadiliko

    Katika dunia yetu iliyogubikwa na changamoto nyingi, uwajibikaji na utawala bora ni mambo muhimu sana. Uwajibikaji unahusisha kuwajibika kwa matendo yetu, na utawala bora unahusu uongozi uliothabiti na uwazi. Tukiweka msisitizo katika maadili haya, tunaweza kujenga jamii yenye maendeleo thabiti...
Back
Top Bottom