mabomu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kiwanda cha mizinga Urusi chalipuliwa mabomu ya drones na Ukraine

    Jamaa wanajipigia viwanda, kila siku wanabishana baina yao kipi wapige leo.... Strike drones attacked the Russian Smolensk Aviation Plant, where Kh-59 missiles are produced, on 1 October, with three of the four drones hitting the target. Source: press service for Defence Intelligence of...
  2. Miji miwili ya Urusi yapigwa mabomu ya drones na Ukraine

    Mifumo ya Urusi imeshindwa kuzuia mvua ya mabomu ya drones.....miji inapigwa kizembe sana. SCREENSHOT Drones attacked the Russian cities of Smolensk and Sochi on the morning of 1 October. Explosions can be heard on videos shared on social media. Source: Ostorozhno, Novosti (Careful, News)...
  3. Z

    Al Merrikh: Timu yenyewe ni ya wakimbizi, haishiriki ligi, inacheza huku ikiwaza mabomu yanavyopigwa nyumbani!! Kuifunga siyo kipimo!!

    Kumsukuma mlevi si kipimo kuwa una nguvu!! Timu ya Al Merrikh ni wakimbizi, wanalazimika kucheza ugenini, hakuna ligi huko kutokana na vita, wanacheza huku akili iko nyumbani wakiwaza mabomu yanavyotishia uhai wa jamaa zao! Kuna ajabu gani kuifunga timu kama hiyo!! Kuifunga na kufurahi ni...
  4. Ukraine wanatumia drones kugundua mabomu yaliyofukiwa na wanajeshi wa Urusi waliotoroka mapambano

    Wenzetu teknolojia zao ziko mbali sana, yaani drone inapaa na kumulika hadi chini ya ardhi na kugundua mabomu, Warusi waliposhindwa mapambano walifukia mabomu na kutoroka. A demonstration of the thermal vision of the new military-grade drone in Kyiv, Ukraine, on June 20. Alex Chan Tsz Yuk/SOPA...
  5. DOKEZO Mabomu ya machozi yanarindima Magu mjini

    Habarini wanajamvi, Leo kuna gari Moja ndogo ya abiria (hiace)imegonga watoto wawili wa shule na kuwaua karibu na sheli moja hivi. Sasa kuanzia asubuhi wananzengo wamefunga Barabara zote kuu hasa Ile ya Mwanza-Musoma. Gari linalolazimisha kupita linapigwa mawe balaa. Magari mengi yashaharibiwa...
  6. Kama mbwai iwe mbwai: Ukraine kupiga mabomu meli zinazopeleka mizigo Urusi

    Urusi juzi ilitangaza kupiga meli zinazoenda Ukraine, haya na Ukraine wamejibu, watapiga meli za mizigo zinazopita baharini kwenda Urusi. KYIV, July 20 (Reuters) - Ukraine's Defence Ministry said on Thursday it would consider all ships travelling to Russian ports and Ukrainian ports on the...
  7. Ukraine yafurahia shehena ya mabomu haramu, wako tayari kuyatumia

    Kamanda wa vikosi vya ardhini wa Ukraine Colonel General Olesksandr Syrskyi amekiri kupokea shehena ya mabomu haramu yanayoripuka kwa kuchawanyika na kwamba wataanza kuyatumia siku za hivi karibuni. Wakati huo huo waandishi wa habari wameiona mizinga aina ya American M777 howitzers karibu na...
  8. Msafara wa Raila Odinga wapigwa Mabomu ya Machozi akiongoza Maandamano

    Maandamano hayo ni wito wa Kiongozi huyo wa Upinzani kutoka Muungano wa Azimio kuelekea Jijini Nairobi yakiwa na lengo la kupinga gharama kubwa za maisha na Utawala wa Rais Ruto. Pia, Raila Odinga ameanzisha kampeni ya kukusanya Saini Milioni 10 za wananchi ili kupata uungwaji mkono wa...
  9. Wanaume wa Leo tumekuwa mabomu

    Muda wowote tunalipuka. Ushahidi upo humuhumu, nyuzi nyingi ni kulalamika tu wanawake hivi wanawake vile na mengine mengi lakini wanawake wenyewe hawalalamiki. Mzani umehama wanaume kwa sasa ni dhaifu mno kwenye afya ya akili, vitu vidogo tu tunatoka relini. Ni nini hiki?
  10. Panya "Ronin" kumpiku magawa kwa uteguaji mabomu

    Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kimesema panya dume "Ronin" anayefanya kazi ya kutafuta mabomu na vilipuzi nchini Cambodia, uwezo wake ni mkubwa unaokaribia kumzidi mtangulizi wake panya Magawa. Ofisa Mawasiliano wa Mradi wa Apopo SUA, Humphrey Makusa, alisema hayo juzi katika kituo...
  11. Kiwanda cha kusafisha mafuta (refinery) Urusi chalipuliwa na drones

    Russian authorities say Ukraine drone strike responsible for oil refinery fire; governor of Belgorod accuses Kyiv of shelling region. --- Russian security council deputy chairman Dmitry Medvedev said on Wednesday that Britain was Moscow’s “eternal enemy” and that any British officials who...
  12. Mkoa wa Kursk, Urusi waendelea kupokea mabomu ya Ukraine, yaani Urusi ndani ndani

    Warusi hawana amani tena ndani ya Urusi.... A construction worker was killed near the Russian village of Plekhovo, a few kilometres from the border with Ukraine after shelling from the Ukrainian side, Roman Starovoit, governor of the Kursk region said on Telegram. Works were being carried out...
  13. Ukraine wapiga mabomu bomba la mafuta ndani ya Urusi

    Supapawa anaendelea kupigwa ndani kwake....tena ndani ndani kule alikosema siku kukiguswa atafanya kitu....na kweli alijaribu kufanya kitu kwa kutuma mizinga ya hypersonic yote ikashushwa na Patriot. =================== Ukraine struck oil pipeline installations deep inside Russia on Saturday...
  14. Somalia: Shehena za mabomu ziliyokua zinakwenda kwa Al-Shabaab zakamatwa

    Magaidi wa kidini wa Alshabaab wamekosa shehena za mabomu walizokua wanaletewa waendelee kujilipua. ======= Somalia's National Intelligence Agency (NISA) on Thursday said that it had seized two illicit shipments of military hardware and explosive materials that were apparently bound for the al...
  15. Wakenya sita washtakiwa kulipua mabomu DRC kisa dini

    Jameni huu uzombi wa kidini hunishangaza sana, Mwafrika unaingiwa na uzombi unakwenda kwenye nchi ya Mwafrika mwenzako na kulipuka mabomu huko. Yaani hata ndugu wa damu akishaingia kwenye hii dini inabidi kumsahau kabisa ndio keshamezwa, unatakiwa kuwa makini naye muda wote.....Sijui kitu gani...
  16. Kwa mabomu yote yale, bado umeme upo wa kumwaga Ukraine

    Urusi ilijaribu kila mbinu kupiga mabomu miundo mbinu ya kuzalisha na kusambaza umeme ili wananchi wa Ukraine wateseke, nawashangaa sana maustadhi wanaoshabikia ukatili wa Putin, amekua 'mungu' mtu.... Umeme bado upo wa kumwaga, wananchi pale Kyev bado wanaendelea na maisha yao, Putin alipiga...
  17. Mkulima adakwa na mabomu, risasi 30 za AK47

    Polisi mkoani Kigoma wamemtia mbaroni mkulima akiwa na mabomu mawili ya kurusha kwa mkono na risasi 30 za bunduki za kivita aina ya SAR/AKA 47 zikiwa kwenye magazine. Kamanda wa polisi wa mkoa huo, Filemon Makungu alisema mwananchi huyo mkazi wa Kijiji cha Nyambemba Wilaya ya Buhigwe alikamatwa...
  18. Al Shabaab wapigwa mabomu wakati yanajiandaa kwenda kulipukia watu

    Wananchi wema walitonya uongozi kuhusu magaidi wa Al Shabaab yaliyokua yanajiandaa kwenda kulipukia watu, ghafla yakashushiwa mabomu na kuwahishwa mbele za haki. ===================== A suspected US airstrike destroyed a would-be suicide car bomb in central Somalia on Friday, an official said...
  19. B

    CCM Momba Tunduma waandamana kuadhimisha kuzaliwa kwake

    02 February 2023 Tunduma, Tanzania CCM WAWASHA MITAMBO, WARUSHA "MAKOMBORA' KWA WALICHOKIITA CHAMA CHA UPANDE WA PILI Wanachama wa CCM jimbo la Momba wamejitokeza kwa wingi barabarani kufanya shughuli za kisiasa kujibu walichoita mapigo upande wa pili walioanza mikutano ya hadhara. Baada ya...
  20. Tarime: Polisi watumia mabomu ya machozi kutawanya wananchi waliotaka kumshushia kipigo ajuza

    Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Tarime-Rorya limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi waliokuwa wakitaka kumshushia kipigo ajuza ambaye jina lake halijafahamika anayekadiriwa kuwa na umri wa zaidi ya miaka 60, wakimtuhumu kuhusika na kupotea kwa watoto watatu kwa njia za...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…