A machine (or mechanical device) is a mechanical structure that uses power to apply forces and control movement to perform an intended action. Machines can be driven by animals and people, by natural forces such as wind and water, and by chemical, thermal, or electrical power, and include a system of mechanisms that shape the actuator input to achieve a specific application of output forces and movement. They can also include computers and sensors that monitor performance and plan movement, often called mechanical systems.
Renaissance natural philosophers identified six simple machines which were the elementary devices that put a load into motion, and calculated the ratio of output force to input force, known today as mechanical advantage.Modern machines are complex systems that consist of structural elements, mechanisms and control components and include interfaces for convenient use. Examples include a wide range of vehicles, such as automobiles, boats and airplanes, appliances in the home and office, including computers, building air handling and water handling systems, as well as farm machinery, machine tools and factory automation systems and robots.
MASHINE YA KUCHAKATA MAJANI | GRASS CHOPPING MACHINE | CHAFF CUTTER
Call/Text/WhatsApp: +255 712 25 31 02
joackcompany @kilimo_tz @mifugo_tz joackagrovet @joackanimalclinic @joackbagamoyo
Muda wetu wa kazi ni saa 1 Asubuhi hadi saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm)
Ofisi zetu zipo Tegeta...
Habari wadau.
Mali tajwa hapo juu zinauzwa. Bado zipo katika hali ya upya maana zimetumika mara moja tu na baada ya mradi kukamilika hazihitajiki tena hivyo nataka kubadilisha walau nirudishe pesa kidogo zinisaidie kwenye mambo mengine.
Kwa mwenye uhitaji namkaribisha sana.
Grinder
Angle...
Huyu kocha Morocco tumwangalie vizuri, anashida ya ku chagua kikosi. Feitoto ni nuksi timu ya Taifa. This is known.
Next time tunamwomba Awesu Awesu. Achana na Fei toto. International games ANAPOTEZA muda.
Baadhi ya wananchi mkoani kilimanjaro hususani katika Wilaya ya Hai, wamezikataa machine za mchina za kamari almaarufu kama Bonanza au kodokodo zinazotumia sarafu za 200 kuchezesha.
Wananchi wamechukua uamuzi huo baada ya watoto kuanza kuiba pesa majumbani na kwenda kucheza kamari,
Pia...
wazee wa kuchomelea vyuma vizito, vigumu
mashine hio hapo inafanya kazi vizuri sana.
niko mwanza igoma
bei elekezi ni Milioni moja Tsh.
Tuwasiliane Whatsapp +255772225555
Mashine za kufulia za kisasa zipo karibu yako kwa bei nafuu.
Ni za kilo 3.5 mpaka kilo 4
Mtu yoyote anaweza ku afford
Bei ni tsh 120,000 tu.
Offer hii si ya kukosa kwa kipindi hiki cha sabasaba.
Kwa mawasiliano zaidi tunapatikana
Kwa 0772835536.
Karibuni sana wateja
habari vijana.
nauza brand new machine ya kuprint tshirts fasta fasta.
bei ni laki nane tu ( 800,000/=) manufacture anaitwa ADKINS.
ukihitaji piga namba 0616 577 289 mashine ipo kimanga Dar es salaam, ni brand new haijawai tumika.
kwa kijana uliyopo mazingira ya chuo itakusaidia sana...
CAM STORE INCUBATORS - KIATAMISHI
MAYAI 60 / TREY 2
BEI 350,000 TU.
SIFA ZA MASHINE ZETU.
KITU CHA ZIADA UTAKACHOPATA KWETU.
■Elimu buree ya kitaalamu ya ufugaji.
■Usimamizi wa mradi wako.
■Utafutiwaji wa masoko
■Mayai ya kutest mashine
■Nakama haitoshi tutakupa zawadi kemu kemu...
Habari za weekend, Wakuu.
Husika na mada tajwa hapo juu, Waswahili wanasema kimfaacho mtu chake,
Ninauza iyo machine ya kukamulia Juice ya MIWA, ipo Tanga kwa Bei ya 850K,
Ipo katika hali nzuri inatumia umeme, na toka nimeinunua nimeitumia kwa mwezi mmoja Tu,
Karibu Sana.
Ile gari baada ya kuwaposted ika draw tension ya wapiga kura Maana ilikua chuma ya kitofauti sana. na as Samatime Magari tukaona sio vyema tukawaacha wapiga kura hivi hivi na kiu ya kuijua so ikabidi tuimulike vizuri..
.
Hapa MA paratrooper wazee wa kombat huwa wanasema Machine ya Pr...
Kuna viongozi wananufaika na hizi machine za ku bet ambazo zimesambaa kila mahali.
Kama sio hivyo basi tuambiwe faida ya hizi machine kwa taifa. Kila mahali kuna machine za wachina wanapita kukusanya pesa kila siku pesa badala ya kusaidia kamii inaenda kusaidia hawa wawekezaji fake na viongozi...
Ukuaji wa technology pamoja na fild zake kama AI, robots, autonomous na IoT
Umeongeza fursa hasa upande wa M2M.
Kama unampango wa kua billionea miaka ijayo anza sasa, fanya research na kuona fursa zinazokuja na hasa kwenye nyanja ya M2M
NB: Founder wa openAI alianza kujifunza ML and AI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.