machine

A machine (or mechanical device) is a mechanical structure that uses power to apply forces and control movement to perform an intended action. Machines can be driven by animals and people, by natural forces such as wind and water, and by chemical, thermal, or electrical power, and include a system of mechanisms that shape the actuator input to achieve a specific application of output forces and movement. They can also include computers and sensors that monitor performance and plan movement, often called mechanical systems.
Renaissance natural philosophers identified six simple machines which were the elementary devices that put a load into motion, and calculated the ratio of output force to input force, known today as mechanical advantage.Modern machines are complex systems that consist of structural elements, mechanisms and control components and include interfaces for convenient use. Examples include a wide range of vehicles, such as automobiles, boats and airplanes, appliances in the home and office, including computers, building air handling and water handling systems, as well as farm machinery, machine tools and factory automation systems and robots.

View More On Wikipedia.org
  1. J

    Mashine ya kukatia majani ( Grass Chopping Machine) inauzwa

    MASHINE YA KUCHAKATA MAJANI | GRASS CHOPPING MACHINE | CHAFF CUTTER Call/Text/WhatsApp: +255 712 25 31 02 joackcompany @kilimo_tz @mifugo_tz joackagrovet @joackanimalclinic @joackbagamoyo Muda wetu wa kazi ni saa 1 Asubuhi hadi saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm) Ofisi zetu zipo Tegeta...
  2. D

    Grinder mashine na welding machine vinauzwa

    Habari wadau. Mali tajwa hapo juu zinauzwa. Bado zipo katika hali ya upya maana zimetumika mara moja tu na baada ya mradi kukamilika hazihitajiki tena hivyo nataka kubadilisha walau nirudishe pesa kidogo zinisaidie kwenye mambo mengine. Kwa mwenye uhitaji namkaribisha sana. Grinder Angle...
  3. Duka Lipi Ntapata Vifaa Vya Washing Machine.

    Habari wadau! Naulizia duka lipi ntapata vifaa vya washing machine kwa Dar. Nashukuru sana.
  4. 3D CAD machine design services required

    Urgent!Temporary work for Machine 3D autoCAD layout design. DM for Details.
  5. D

    Awesu Awesu ni mashine hajaitwa timu ya Taifa ila Feitoto kaitwa. Kuna shida pale Taifa Stars

    Huyu kocha Morocco tumwangalie vizuri, anashida ya ku chagua kikosi. Feitoto ni nuksi timu ya Taifa. This is known. Next time tunamwomba Awesu Awesu. Achana na Fei toto. International games ANAPOTEZA muda.
  6. Baadhi ya wananchi mkoani kilimanjaro hususani katika Wilaya ya Hai, wamezikataa machine za mchina za kamari

    Baadhi ya wananchi mkoani kilimanjaro hususani katika Wilaya ya Hai, wamezikataa machine za mchina za kamari almaarufu kama Bonanza au kodokodo zinazotumia sarafu za 200 kuchezesha. Wananchi wamechukua uamuzi huo baada ya watoto kuanza kuiba pesa majumbani na kwenda kucheza kamari, Pia...
  7. Mwanza: Nauza Industrial Welding Machine.

    wazee wa kuchomelea vyuma vizito, vigumu mashine hio hapo inafanya kazi vizuri sana. niko mwanza igoma bei elekezi ni Milioni moja Tsh. Tuwasiliane Whatsapp +255772225555
  8. E

    Je naweza je kutengeneza Koni(Ice cream) bila machine kwaajili ya biashara?

    Wadau naomba mnielekeze namna naweza kutengeneza ice cream za koni bila kutumia machine
  9. B

    INAUZWA Je, unateseka kufua? Mini washing Machine (Mashine za Kufulia) zipo kwa ajili yako kwa bei rahisi mno

    Mashine za kufulia za kisasa zipo karibu yako kwa bei nafuu. Ni za kilo 3.5 mpaka kilo 4 Mtu yoyote anaweza ku afford Bei ni tsh 120,000 tu. Offer hii si ya kukosa kwa kipindi hiki cha sabasaba. Kwa mawasiliano zaidi tunapatikana Kwa 0772835536. Karibuni sana wateja
  10. Natafuta machine ya kukandia unga wa maandazi (mixer) ya kilo 12.5 hela mfuko wa shati

    HABARI WANA JAMII NATAFUTA MASHINE YA KUKANDIA MAANDAZI .HATA IKIWA USED AS NEW ITAKUWA POA. Kwa mawasiliano zaidi pm wanangu.
  11. LG WASHING MACHINE 7KG

    Kwa wale mnaobanwa na majukumu mnashindwa pata mda wa kufua, machine hii Inafua Inasuuza Inakamua we ni kutoa na kuanika price-360k 0697224996
  12. M

    Nauza (Tshirt printing machine), inamfaa sana kijana aliyopo chuo. ni Biashara nzuri ya kufanywa na kijana chuoni.

    habari vijana. nauza brand new machine ya kuprint tshirts fasta fasta. bei ni laki nane tu ( 800,000/=) manufacture anaitwa ADKINS. ukihitaji piga namba 0616 577 289 mashine ipo kimanga Dar es salaam, ni brand new haijawai tumika. kwa kijana uliyopo mazingira ya chuo itakusaidia sana...
  13. INAUZWA Mashine za incubator zinauzwa

    CAM STORE INCUBATORS - KIATAMISHI MAYAI 60 / TREY 2 BEI 350,000 TU. SIFA ZA MASHINE ZETU. KITU CHA ZIADA UTAKACHOPATA KWETU. ■Elimu buree ya kitaalamu ya ufugaji. ■Usimamizi wa mradi wako. ■Utafutiwaji wa masoko ■Mayai ya kutest mashine ■Nakama haitoshi tutakupa zawadi kemu kemu...
  14. INAUZWA Mashine ya kukamua juice ya miwa inauzwa

    Habari za weekend, Wakuu. Husika na mada tajwa hapo juu, Waswahili wanasema kimfaacho mtu chake, Ninauza iyo machine ya kukamulia Juice ya MIWA, ipo Tanga kwa Bei ya 850K, Ipo katika hali nzuri inatumia umeme, na toka nimeinunua nimeitumia kwa mwezi mmoja Tu, Karibu Sana.
  15. 📍Tarehe 21/2/2024 Pr Tony Kapola Kwa IG yake Alipost Picha anafungua Buti La gari [Ineos Granadier] Bonge moja la machine twenda pamoja upate kuijua

    Ile gari baada ya kuwaposted ika draw tension ya wapiga kura Maana ilikua chuma ya kitofauti sana. na as Samatime Magari tukaona sio vyema tukawaacha wapiga kura hivi hivi na kiu ya kuijua so ikabidi tuimulike vizuri.. . Hapa MA paratrooper wazee wa kombat huwa wanasema Machine ya Pr...
  16. K

    Earth Auger Drilling Machine.

    Hiyo hapo mashine ya utafiti wa madini, utafiti wa udongo maeneo ya ujenzi wa barabara au magorofa. Mashine inauwezo wa kuchimba hadi mita 9.
  17. S

    Tunauza slot machine (dubwi)

    nauza dubwi 1700000, dogo 1200000
  18. K

    Hakuna umuhimu wa machine za kubeti mitaani

    Kuna viongozi wananufaika na hizi machine za ku bet ambazo zimesambaa kila mahali. Kama sio hivyo basi tuambiwe faida ya hizi machine kwa taifa. Kila mahali kuna machine za wachina wanapita kukusanya pesa kila siku pesa badala ya kusaidia kamii inaenda kusaidia hawa wawekezaji fake na viongozi...
  19. J

    Nauza welding machine

    Ni mashine mpya kama inavyoonekana pichani. 160 AMP Single phase. Bei 450000
  20. Machine To Machine (M2M) Sector nzuri upande upande wa Technology kwa vinaja ku invest

    Ukuaji wa technology pamoja na fild zake kama AI, robots, autonomous na IoT Umeongeza fursa hasa upande wa M2M. Kama unampango wa kua billionea miaka ijayo anza sasa, fanya research na kuona fursa zinazokuja na hasa kwenye nyanja ya M2M NB: Founder wa openAI alianza kujifunza ML and AI...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…